Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,059
Hahaha..huu mkutano hauna madhara yoyote. Tunawasindikiza tu viongoz wa CDM kusign posho zao za kesho. Tutakuwa tunayasikia yale tuliyoyazoea siku zote cuz always hawa jamaa hawana jipya.Mkuu ni kweli eti viongozi wawili waandamizi wa Magamba wapo Bagamoyo wakiwanga ili mvua kubwa inyeshe kesho darslamu?