ebooo!!! Yanachimbwa wapi hayo mafuta hapa bongo? Tupe data kamili, usilete porojo mazee!!
Hiyo ni kutoka kwa mkutano wa London. Sasa tukae mkao wa kuliwa na ma Al shabab.
Hivi Ben yupo wapi kumfundisha huyu jamaa kusema "NO"?
Source - Al Jazeera news/English
Could you please stop politicising this global topical issue of immense international concerns by reducing its actual magnitudes into some petty and myopic vendettas Gamba la Nyoka?
For your information, Rostam Aziz and a number of his home-grown cohorts saw this coming long enough and with a kind of an unusual supersonic speed to deliver justice to their door-steps sooner than later.
And so was his itching to relocate the syphoned taxpayers' money of Tanzania to safer territories of choice before finally politically hybernating in a totality of the finest meaning of the word.
For now mkuu, let me tell you, there is ONLY one choice here ...
... a total Freedom from the claws of Terrorist networks wherever they are; including these home-grown pockets let by Rostam Aziz in our own backyards and stealing of our uranium into wrong and dangerous hands.
No more sactuaries and safe-heavens to exploit; not even the fast-mushrooming Kariakoo area sky-crappers. And it serves as a big bang warning to the ilks around before it is too late - why put people to live under costant fear????
Tushaona wanaojifanya wajanja kama wewe wananunua bidhaa kwa bei tena mbaya kwa kufuata label ya made in Germany kumbe made ni ile neno made in tu ndio la germany vingine vyote kuanzia kasha mpaka vifaa vya ndani ni china.... Upo hapo?????? Uzembe wako wa kotugundua au kutambua standards za Qulity usikufanye uadhani Quality ina uhusiano na nchi. Mnaibiwa sana watu kama ninyi.......unaitwa Zing wala sihitaji kubishana na wachina wazee wa bidhaa bandia ( hoja bandia)
wewe jamaa ni mgeni una mambo. Hapa Jf utaonekana wa maana kama utajenga hoja,, matusi yatatufanya kuhoji weredi na uwezo wako kichwani.
Sijui kwa nini watu wanapenda matusi! Tutaijenga JF kwa hoja na si vioja. Watu wanatukana wakidhani hawajulikani. Juzi kulikuwa na thread iliyokuwa inaongelea anonimity ya members wa JF ikabainika kwamba ni rahisi mtu kujulikana basi niliona wachangiaji wakiweweseka. Tunatakiwa tuchangie responsibly bila matusi.wewe jamaa ni mgeni una mambo. Hapa Jf utaonekana wa maana kama utajenga hoja,, matusi yatatufanya kuhoji weredi na uwezo wako kichwani.
Mkuu hivi ni both Alshab na pirates au ni pirates tuu? Tuepuke kupotosha watu.Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri masuala ya Jumuiya ya Madola, Umoja wa Mataifa na Afrika na Mazingira (Parliamentary Under Secretary responsible for Africa, United Nations, economic issues,conflict resolution,and climate change) wa Uingereza Bw Hendry Bellingham wakishuhudia Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh Bernad Membe akiweka saini sambamba na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza kuhusu makubaliano kati ya nchi hizo mbili juu ya taratibu za kukabadhiana watuhumiwa wa uharamia na mali zilizokamatwa katika matukio ya uharamia katika bahari kuu leo February 23, 2012 Lancaster House,London. Picha na IKULU
Taarifa hii haijakamilika japo great thinkers watairukia na kuanza kutoa maoni bila kujali ina mapungufu. Haiko kamili kaitoa wapi?
Hiyo Habari Haipo kwenye News zozote; hata Al-Jazeera siioni habari hiyo...
Unaweza kutusaidia; kutupa More Info??
Kwa nini wasitumie ICC yenye infastructure za kudumu na waliyounda kushghuikia matatizo kama haya , Au ICC ni kwa ajili ya wanasiasa kama kina Tylor, Omar ali bashir na Kina uhuru kenyata.?
hii habari imepotoshwa, siyo al shabab ni maharamia.
Kwa nini wasitumie ICC yenye infastructure za kudumu na waliyounda kushghuikia matatizo kama haya , Au ICC ni kwa ajili ya wanasiasa kama kina Tylor, Omar ali bashir na Kina uhuru kenyata.?
Hiyo ni kutoka kwa mkutano wa London. Sasa tukae mkao wa kuliwa na ma Al shabab.
Hivi Ben yupo wapi kumfundisha huyu jamaa kusema "NO"?
Source - Al Jazeera news/English
chanzo cha taarifa yako hakieleweki tutajuaje kama ni porojo. Ni wapi umepata taarifa hizi?
Inawezekana maharamia wanatokana na Al-Shaabab?