MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Tuwe wepesi wa kupima athari za kiusalama tusiwe wepesi wa kutupa lawama.
Nani anatuhakikishia kwamba kama el shabab hawatashitakiwa Tanzania usalama wetu ni 100%.
Nani anatuhakikishia kwamba kama el shabab hawatashitakiwa Tanzania usalama wetu ni 100%.