Cameron: Kikwete kakubali maharamia wa kisomali kushtakiwa TZ!

hapa DAR si tutakufa? Ee mola

Mradi kama JK kagangamaa ili kuhakikisha faida itakuwepo kwa TZ, la sivyo kukataa hado ni hasara kubwa kwa TZ na Afrika kwa Ujumla.
Lazima awepo wa kujitolea mhanga ili uharamia wa Somalia kudhibitiwa - hivyo TZ ikifaidika kufa wachache DAR is tatizo, watazaliwa mara kumi ya hao waliokufa.
 
429514_10150596081856225_33236101224_9445480_2018104053_n.jpg 407517_10150596081936225_33236101224_9445481_571250225_n.jpg
 
hivi tanzania al-shabub mnawaogopa nini, kwani mbinu za kijeshi zimeisha, tuondoe tamaa ya kuwaingiza nchini tuone watatokea wapi, uwezo tunao akili tunazo za kuweza kuwakabili.
 
chanzo cha taarifa yako hakieleweki tutajuaje kama ni porojo. Ni wapi umepata taarifa hizi?

Hee, Mama Porojo, hujaona chanzo jamaa ame court toka Al Jazeera news?english? anyway, mi sidahni kama Baba Mwanaasha anauwezo wa kuwakatalia hawa wakoloni, kila watakacho mwambia yeye jibu litakuwa YES tu, but nyie mnao ogopa uwepo wa Al shaabab, siwaelewi kwasababu shutuma alizopeleka Dr Mwakyembe polisi February, 2011 aliwataja Al shabaab, wakati huo walionekana wamekodiwa na kale kakikundi ka mafisadi kuja kutoa roho za waheshimia 11 akiwepo na yeye an tayari 2 wanaumwa, nachotaka kusema hapa ni kuwa, tayari tuna mkataba na Al shabaab wa kuua, hamna jipy kwenye hiyo mahakama, mimi ninachoomba tu kwa Mungu, 2015 ifike haraka ****** atoke tu pale jumba jeupe maana siku zinavyo kwenda ndivyo mashaka yetu yanavyo ongezeka.
 
Labda kuna kitu sijaelewa hapa!Hv hayo makubaliano ni kwamba hao maharamia watakuwa wanashitakiwa tu hapa nchini au shughuli zote za kuzuia uharamia tumepewa Tz?Kama ni kusikiliza kesi zao tu tena na watu wasiokuwa wa tz sidhani kama kuna haja ya kuhofia usalama wetu sisi raia tusiohusika!!
 
chanzo cha taarifa yako hakieleweki tutajuaje kama ni porojo. Ni wapi umepata taarifa hizi?

si amesema AL-JAZEERA MIMI PIA NIMESIKIA HABARI HIZI MWENYEWE KUTOKA KWA DAVID CAMERON WAKATI AKIHUTUBIA MKUTANO WA AMANI YA SOMALIA UNAOFANYIKA LONDON KUPITIA BBC WORLD NEWS NI ZA KWELI PIA MAURITIUS IMEAKUBALI PIA
 
Labda kuna kitu sijaelewa hapa!Hv hayo makubaliano ni kwamba hao maharamia watakuwa wanashitakiwa tu hapa nchini au shughuli zote za kuzuia uharamia tumepewa Tz?Kama ni kusikiliza kesi zao tu tena na watu wasiokuwa wa tz sidhani kama kuna haja ya kuhofia usalama wetu sisi raia tusiohusika!!
Ni kuwa maharamia wakishakamatwa wataletwa hapa kwetu kushitakiwa kwenye mahakama zetu na wakipatikana na hatia watufungwa kwenye jela zetu.. sasa sijui ni nani atakaye fund hizi mahakama na hizo jela!!
 
Yaani kwa kifupi ni kwamba tutakua na 'Guantenamo' pale Arusha.

Ni kuwa maharamia wakishakamatwa wataletwa hapa kwetu kushitakiwa kwenye mahakama zetu na wakipatikana na hatia watufungwa kwenye jela zetu.. sasa sijui ni nani atakaye fund hizi mahakama na hizo jela!!
 
Kumbe Mhe Membe huwa ni MSHOTO anavyoandika??????????????

Na hapa unakua vipi Mkuu wa taifa la Uingereza kutiliana sahihi na Waziri tu wa Mambo ya Nje na Rais Kikwete kubakia tu KUKATA SHINGO tu???

Au ndio tuseme mambo yameanza kuwa ni yale yale tuliowahi kusikia katika historia juu ya Moi ziarani na Waziri wake wa Mambo ya Nje Ouko kuonyesha kuthaminiwa sana na mkuu huyo kubakia kama shabiki tu kule Marekani????????


 
Kama kweli habari za tanzania kukubali kuweka mahakama ya kiharamia (Al-shaab Tanzania) basi tunaelekea kubaya kiusalama. Rais Kikwete atakua ameiza nchi kutokana na sababu anazozifahamu yeye. Kwa mfano vyama vya upinzanoa vilipoomba vibali kufanya maandamano, wakuu wapolisi waliyazuia maombi yao wakidai kwamba al-shaab wangehatarisha usalama wa Raia. Iweje leo, tukubali kichwa kichwa kuleta mahakama ya alshabaab Tanzania? Maghaidi wangapi watakuja kutubomoa? Ataakikishaje usalama wa Raia wake? Je aliwahusisha wakuu wa vyombo vya usalama? mbona wakenya wanaoumizwa na alshabaab hawakuchukua jukumu hilo Kikwete ndo kawa msamaria mwema? .....................Lawama moja kwa moja atatwikwa RAIS Kikwete................Maoni yangu tu
 
Anatafuta namna ya kuridhisha wakubwa wake bila kuangalia usalama wa nchi...kenya inawagharimu sasa kwa kujifanya wanaingia vita na Al-shabab..pilipili uili wewe inakuwashia nini?
 
Lowasa ataifutilia mbali 2015 na kuturudishia chuo chetu cha tanesco kwakuwa bado ni mali yetu
 
Kama kweli habari za tanzania kukubali kuweka mahakama ya kiharamia (Al-shaab Tanzania) basi tunaelekea kubaya kiusalama. Rais Kikwete atakua ameiza nchi kutokana na sababu anazozifahamu yeye. Kwa mfano vyama vya upinzanoa vilipoomba vibali kufanya maandamano, wakuu wapolisi waliyazuia maombi yao wakidai kwamba al-shaab wangehatarisha usalama wa Raia. Iweje leo, tukubali kichwa kichwa kuleta mahakama ya alshabaab Tanzania? Maghaidi wangapi watakuja kutubomoa? Lawama moja kwa moja atatwikwa RAIS Kikwete................Maoni yangu tu

Mkuu mbona hawa Al Shabaab wanateka meli za nchi ambazo hata hakuna Mahakama dhidi yao katika nchi hizo? Unafikiri "ukiwaheshimu" hawa Al Shabaab ndio wataacha kukulipua? It is a matter of time tuanze kuonja machungu yao kwa sababu mipaka yetu iko loose na hawa jamaa baadhi yao wanapata uraia nchini Tanzania!
 
Back
Top Bottom