MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Nonsense!! Ndio ushauri aliopewa na baraza letu la usalama?
Unaweza kujikuta wewe ndio Nonsense hujifahamu tu.
Nonsense!! Ndio ushauri aliopewa na baraza letu la usalama?
Kama ni umbali basi Uganda ipo mbali kuliko TZ. Kama ni umbali basi wakashitakiwe kwa Cameroun. Hivi unajua kwa nini Cameroun aliitisha huo mkutano? Anataka Alshabab waangamizwe ili wasije wakasambaza ugaidi huko uingereza has ikizingatiwa kwamba kuna Wasomali wengi huko Uingereza. Cameroun anawaogopa sisi hatuwaogopi!UMBALI NINAOZUNGUMZIA NI KULINGANISHA NA KENYA, UGANDA NA ETHIOPIA kwa mujibu wa jamaa hapo juu. Tanzania iko nafuu japo nakubaliana nawe kwamba sio mbali kwa mashambulizi ya El shabab.
Kwa hiyo kwa akili yako ya jikoni, unaona kuwa unakuwa salama zaidi dhidi ya mbwa wa jirani kwa kumrushia mawe zaidi ya kumuacha apite zake?
Kwa hiyo wewe kwa akili yako unaona wakishtakiwa Tanzania ndio tutakuwa salama!
....mpaka leo hajasema lolote
mafuta yanachimbwa nchini kwetu na yanachukuliwa na wamarekani na wabrazil,......??
tatizo ni kingereza,
taarifa inasema
"Britain signed an agreement Thursday with Tanzania to handle suspected pirates captured by British vessels."
tatizo ni kingereza,
taarifa inasema
"Britain signed an agreement Thursday with Tanzania to handle suspected pirates captured by British vessels."
source: World - The Globe and Mail
Heee kumbe ni maharamia? Mimi nikidhani ni wale Alshabab watakaokamatwa huko Somalia wakati wa hizi operations zinazoendeshwa huko ikiwemo ya Wakenya ya Linda Nchi. Hiki kizungu kweli kizungumkuti.tatizo ni kingereza,
taarifa inasema
"Britain signed an agreement Thursday with Tanzania to handle suspected pirates captured by British vessels."
source: World - The Globe and Mail
tatizo ni kingereza,
taarifa inasema
"Britain signed an agreement Thursday with Tanzania to handle suspected pirates captured by British vessels."
source: World - The Globe and Mail
Kama ni umbali basi Uganda ipo mbali kuliko TZ. Kama ni umbali basi wakashitakiwe kwa Cameroun. Hivi unajua kwa nini Cameroun aliitisha huo mkutano? Anataka Alshabab waangamizwe ili wasije wakasambaza ugaidi huko uingereza has ikizingatiwa kwamba kuna Wasomali wengi huko Uingereza. Cameroun anawaogopa sisi hatuwaogopi!
Kama ni umbali basi Uganda ipo mbali kuliko TZ. Kama ni umbali basi wakashitakiwe kwa Cameroun. Hivi unajua kwa nini Cameroun aliitisha huo mkutano? Anataka Alshabab waangamizwe ili wasije wakasambaza ugaidi huko uingereza has ikizingatiwa kwamba kuna Wasomali wengi huko Uingereza. Cameroun anawaogopa sisi hatuwaogopi!
aksante mkuu kwa ufafanuzi maana tumevamiwa na ma great thinker wa 'kichina',hawajui tofauti kati ya al shabab na pirates!!
Kwa mtazamao wangu uko sahihi
Hawa alshabab sio Threat kwa tanzai iasi hicho kama iivyo kwa UK. kama wasomai Kusumbua wamesumbua Miaka mingi sana na wa ujagili na hatukuata msaada.
Sasa defence strategy na security strategy za Tanznaia inaonekana zina kidhi matakwa ya waku sio mahitaji yetu tanzania.
Miezie michache iliyopita wamrekani wametoa msaada wa boti ya kupatrol bahari hindi kwa JWTZ . Najiuliza ni lini watafirikia hata kutusaidia japo Ambulence helicopter walau moja. kusaidia kwenye majanga ya ajali na maafa kama mafuriko.
Wakati huo hakuna anayesema wala kutoa sauti kuhusu matukio ya uharamia kwenye ziwa Tanganyika na hata ziwa victoria sometime .....
Pale wizara ya fedha wameanzisha kitengo cha Financial inteegence unit. (FIU) Lakini kitengo hakina intellgence ya kumfatilia chege ambaye ufisadi wake unaeta madhara kwa watanzania bali kipo kuzuia na kumonitor pesa zinaweza kupeeka madhara USA na UK.
Mkuu nadhani yote yana muktadha unaofananani wazo zuri lakini inahitaji thread tofauti kwa uchambuzi wa kina. mawazo mawili katika thread moja hatutapata hitimisho sahihi kwa mada iliyopo mbele yetu.
hapa DAR si tutakufa? Ee mola
Aksante sanani wazo zuri lakini inahitaji thread tofauti kwa uchambuzi wa kina. mawazo mawili katika thread moja hatutapata hitimisho sahihi kwa mada iliyopo mbele yetu.
Kwahiyo kakubali waislam wenzake waje wahukumiwe nchini mwake? Masaburi at work!!Hawa watoto waliovamia JF kero sana kwakweli yaani vitu vya msingi wanatanguliza Masaburi mbele!Aaagh!!
Aksante sana
Mada gani ambayo ina hitimisho hapa JF.???
Nnaona unataka kuwafungia watu gavana kwenye bongo zao . Wewe chukua unayoweza kutafakari. then yakubali au yaponde kwa hoja . Yaache mengine . Nina uhakika nilichoandika kiko within scope ya thread.