Isike Moses
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 2,789
- 4,243
Acha udini kwani niyeye peke yake aliyeongelea kura za siri! Mbona wacangiaji wengi tu ameliona hilo kuna haja gani kumpa misifa yote isiyo na maana.
"Wacangiaji wengi tu ameliona". Kwa wataalamu wa lugha adhimu ya kiswahili wanisaidie mnyumbuliko wa hiyo quoted sentens kabla sijamjibu.