Hakuna duniani upumbavu uliyo upumbavu mtupu, ambao mtu mwenye hekima atashindwa kupata kitu. Shabani Robert.Ukiona mtu haambui kitu chochote mahali popote ujue HANA HEKIMA
Mtikila nimchungaji aliyechanganyikiwa yeyote anayemsikiliza inawezekana naye amechanganyikiwa kama yeye