Private candidate wanafundishwa pake kama tution wakijiandaa na mitihaniNisaidie mimi binafsi nielewe vizuri. Mleta mada kasema 'inasemwa' nape kasoma pale kati ya 1998 na2000. Wewe unazungumzia kituo cha private candidate. Nilivyoelewa hujajibu hoja ya mleta mada, bali umekuja na hoja mpya kwamba nape alifanyia mtihani pale kama private candidate. Hebu njoo na ufafanuzi p'se.
Siyo kweli,hata Dr Mpango?Watu Wote wanaofanya Vizuri kwenye Siasa darasani walikuwaga mambwiga
Fanya Utafiti utagundua hilo
Hao wote ni watendaji bora kabisa lakini siyo WanasiasaSiyo kweli,hata Dr Mpango?
Hata Prof Lipumba?
Hata Dr John Pombe Magufuli?
Then ingesomeka kama Butimba TTC Center na siyo Secondary school. Nafikiri huo utofauti ndiyo unaogomba na una- nullify kila kitu.Huenda alifanya mtihani kama Private Candidate.
Kwenye pilau mbuzi wamebobea Sana ingawa cjui kwa sasa coz cjatembelea muda mrefu...Umenikumbusha pilau la hao jamaa.
Sikuona kwenye maelezo ya wasifu wa waziri huyo kuihusisha TTC kuwa kituo cha kufanyia mtihani.Kinachotambulika ni Kituo ulichofanyia mtihani
Uwage unaelewa na wewe!
Bahati mbaya Nape Hana vyote, akili zero na cheti Hana.Je,chadema ni kama nyumbu?
Butimba TCC (Tanzania Cigartte Company au TTC (Teachers' Training College)?
Yaani hujui maana ya PC?
Kenge wewe.
Hata hivyo tunahitaji watu wenye akili zaidi na siyo wenye mavyeti zaidi.
Registration yake ni S na sio P( Private)Makorokocho yote ulioandika yanafutwa na hoja Moja tuu. KITUO CHA PRIVATE CANDIDATE CHUONI HAPO KILIKUWEPO MIAKA MINGI