Kweli bolivia hiyo ni barabar ya kifo nawavulia kofia, Hapa kwetu zilikuwepo mpaka sasa Kutoka kiwira Mbeya hadi Mbalizi kupitia Igogwe Hospital bado ipo, Makongorosi chunya bado ipo, Morning site Morogoro sehemu bado ipo kuelekea Bondwa kileleni mlima wa morogogo. sehemu moja upareni-Ugweno ipo lakini wa TZ hakuna anaefikiria jinsi ya kuiboresha mpaka sasa miaka 50 ya Uhuru. Milima ya bolivia ni ya bonde la ufa katika milima ya Andes. Mbinu mya wanatoboa milima. kama ilivyo China, Switzaland ,nk