Barabara ya kifo - World's most dangerous road - Bolivia

Kusafiri njia hii inabidi mtu uwe na parachuti aisee..gari ikiporomoka unaendelea na parachuti...
 
Utashanga huku hakuna ajali wala nini kuonesha Mungu alivyo mkubwa. Ila best kwa hii barabara me natembea kwa mguu namwacha dreva aende mwenyewe hata kama ni kesho ntafika tu na kama naendesha mwenyewe nikikaribia tu nawatafuta madreva wa kukodi kama ilivyokuwa sekenke. Ila jamani duniani humu kuna hatari!
 
yungas-death-road-bolivia-4.jpg



yungas-death-road-bolivia-2.jpg

Nimeipenda hii
Ni moja ya barabara ya hatari kuliko zote duniani

our roads are good, Kitonga hapa cha mtoto, mliopita sekenke vipi hapa
Hawa jamaa ndo wameamua jambo la maana. Nadhani watu wa huko walikuwa walevi sana ndo maana ikajengwa hii ili madreva wapunguze ulevi. siyo siri mwenzenu nimeogopa nilipoziangalia kwa muda mrefu kwa mshangao I was taken up nikasahau kuwa niko chumbani tena mezani na nilipoangalia pembeni mwa meza kucheki chini tu nkatoa mwano nkidhani niko kwenye hii barabara!
<input id="gwProxy" type="hidden"><!--Session data--><input onclick="jsCall();" id="jsProxy" type="hidden">
 
Inasemekana hii barabara kwenye kuta zake kuna sumaku ambazo zinavuta magari ili zisidondokee upande wa pili!!
 
Utashanga huku hakuna ajali wala nini kuonesha Mungu alivyo mkubwa. Ila best kwa hii barabara me natembea kwa mguu namwacha dreva aende mwenyewe hata kama ni kesho ntafika tu na kama naendesha mwenyewe nikikaribia tu nawatafuta madreva wa kukodi kama ilivyokuwa sekenke. Ila jamani duniani humu kuna hatari!
<input id="gwProxy" type="hidden"><!--Session data--><input onclick="jsCall();" id="jsProxy" type="hidden">

Sure mkubwa!, barabara kama hzi rate y ajali huwa ndogo sana kulinganisha na sehemu nyingine. Chukulia mfano tu kitonga, rate ya ajali pale ni ndogo sana ukilinganisha na maeno mengne mazuri.

BTW; Ukute wenyeji wa huko walaaa hawana hata hofu wakipita hapo, ila kwa mm na ww nadhani waweza omba nusu kaputi b4 kushuka/kupanda.Lol!...ila sishangai, coz mm hadi leo, ndege ikiwa ina take off i hardly watch outside, huwa nahisi tumbo la kuharaaaaa!, hapo je?, nahsi nitaji*****... Lol!
 
Hapa kwetu Tanzania kuna barabara inayofanana na hiyo? Duh, kweli hii hatari.
 
Hata kama ntalipwa mamiliòni cjapanda gari katika hi barabara labda vimiguu vyangu 2 loh ya nini kutishana,waliojenga wenyewe cjui walifanyaje,
 
masharti nafuu ya kudrive hiyo barabara
1.usiwe na stress
2.usiwe na mvinyo kichwani
3.usiwe na nyumba ndogo
4.gari iwe na hali nzuri
5.usiwe ......................
.......................................
 
lol, hii hatari, mimi nafikiri abiria huwa wanapata nusu kaput kabla ya kuanza kukatisha hapo maana bila hivyo watamchanganya dereva
 
bolivia ni nchi yenye milima sana,hata pale cochabamba pana njia ambazo kupanda gari hadi usali kwanza,kibaya ni nchi maskini kama sisi ingawa sisi tuna rasilimali(yaani tunajitakia).Panaendana na kitonga japo hapo ni parefu zaidi na njia ni vumbi.Kuendesha hapo si mchezo.nimekubali
 
Back
Top Bottom