Barabara ya kifo - World's most dangerous road - Bolivia

Kweli bolivia hiyo ni barabar ya kifo nawavulia kofia, Hapa kwetu zilikuwepo mpaka sasa Kutoka kiwira Mbeya hadi Mbalizi kupitia Igogwe Hospital bado ipo, Makongorosi chunya bado ipo, Morning site Morogoro sehemu bado ipo kuelekea Bondwa kileleni mlima wa morogogo. sehemu moja upareni-Ugweno ipo lakini wa TZ hakuna anaefikiria jinsi ya kuiboresha mpaka sasa miaka 50 ya Uhuru. Milima ya bolivia ni ya bonde la ufa katika milima ya Andes. Mbinu mya wanatoboa milima. kama ilivyo China, Switzaland ,nk
 
Hapa kwetu Tanzania kuna barabara inayofanana na hiyo? Duh, kweli hii hatari.

Mombo - Lushoto, Gonja miamba, Sekenke ya zamani, na kitonga ni baadhi ya barabara zinazofanana kwa mbali na hiyo ila bado hazijaifikia kwa kutisha kwake.

Regards
Chacha
 
it is true this is a death road but i dont understand if a correct minded person can drive on that.Why has it been established overthere instaead somewhere else.Does it mean there was anywhere to introduce the new road.
 
Hii barbara ingewekwa kuwa moja ya maajabu ya dunia. nadhani hata mainjnia walioibuni hii barabara ni kiboko
 
Yaani mie nikifika huko nateremka kwenye basi kwanza kuchimba dawa ili nione mkojo unapodondokea
 
Wakuu wangu hapa kwtu pia ipo. ukienda lushoto kutokea mombo mambo ni hayo hayo. tufanye utalii wa ndani jamani.
kaka kwa hii baranara ya Lushoto ni cha mtoto huenda kidogo naweza kufananisha na ile ya Malawi ukitokea Tanzania kupitia Karonga kwenda Mzuzu ,hapo napo gari likidondoka tu ni moja kwa moja hadi kina cha Lake Nyasa
 
Wakuu wangu hapa kwtu pia ipo. ukienda lushoto kutokea mombo mambo ni hayo hayo. tufanye utalii wa ndani jamani.
kaka kwa hii baranara ya Lushoto ni cha mtoto huenda kidogo naweza kufananisha na ile ya Malawi ukitokea Tanzania kupitia Karonga kwenda Mzuzu ,hapo napo gari likidondoka tu ni moja kwa moja hadi kina cha Lake Nyasa
 
Mi nilidhani barabara yetu ya kupanda Ugweno nayo inatisha kumbe kuna nyingine ni noma especially hiyo ya bolivia. Dah!!

Kupanda hiyo ya bolivia lazima uwe umegonga msuba kidogo au vodka shots!
 
madereva wote wa bongo wanaosababisha ajali waende wakajifunzie udereva upya huko!
 
lushoto mombo napo ukipanda yale mabasi yaendayo huko,njiani unashilia roho mkononi
 
Kweli bolivia hiyo ni barabar ya kifo nawavulia kofia, Hapa kwetu zilikuwepo mpaka sasa Kutoka kiwira Mbeya hadi Mbalizi kupitia Igogwe Hospital bado ipo, Makongorosi chunya bado ipo, Morning site Morogoro sehemu bado ipo kuelekea Bondwa kileleni mlima wa morogogo. sehemu moja upareni-Ugweno ipo lakini wa TZ hakuna anaefikiria jinsi ya kuiboresha mpaka sasa miaka 50 ya Uhuru. Milima ya bolivia ni ya bonde la ufa katika milima ya Andes. Mbinu mya wanatoboa milima. kama ilivyo China, Switzaland ,nk

Du! duniani kuna mambo, tembea uone.
Nimeendesha gari Kitonga, Sekenke niliposhinda usiku kucha, Barabara ya Songea Tunduru, Tabora - Chunya - Mbeya kupitia Makongorosi, Lukumburu ya Songea kabla ya lami kujengwa, Njombe - Ludewa, Lakini hii ya Bolivia ni mwisho wa dunia na ni kuzimu ya ahera. Kumaliza mlima salama uwe unateremka au unapanda ni mwujiza wa Mungu. Binafsi ningehamia sehemu nyingine. Ndio maana hawa waspanish wanauwezo wa kuvumilia hali ngumu majuu kuliko waafrika, kumbe hali ndo hii, balaa tupu!
 
No! This ain't Tanzania my dear friends. This is Russia!
295090229_47ae1a154f.jpg



Angalia hii hali????
295090230_dc78c5a7d1.jpg


295090231_2cdd6b25f8.jpg


295090600_7d78481e51.jpg


Wizara yetu ya miundo mbinu ikiona hivi itajisifu kuwa kuna nafuu TZ mbona wenzao wa Urusi wana shida kama zetu, kwa hiyo tuvumilie (sic)!! Nadhani mtu aliyefanya utafiti huu hakufika TZ na sehemu zingine za Afrika akaona hali iliyopo.

weee ukome kabisa mwanangu ..wenzako warusi hapo wanaona kama ni very interesting hao hapo ni kama watalii ... na usijaribu hata siku moja kufananisha barabara za urusi na za bongo hata siku mmoja wale barabara zao ni nzuri sana ...hao hapo ni watu wanafanya tours ..
 
hiyo barabara ya bolivia hunipeleki hata siku moja hata kwa panfga au mkuki bora nitembee kwa mguu... hata baiskeli hapo siendeshi
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom