Kwanza nimeshukuru Mhe. Chege - Mbunge wa Rorya kwa ufafanuzi na swali alilouliza kuhusu fedha za barabara zilizoidhinishwa kwenye bajeti na zilizopokelewa.
Mpaka sasa tumebakiza miezi minne tu kuanza na bajeti mpya ya 2024/25. Ninauliza ninyi Wabunge tuliwatuma kuisimamia Serikali, Je kazi tuliowatuma mnaifanya kwa usahihi?
Haingi akilini kuwa bajeti ya barabara ilikuwa 812 billioni na sasa imepokelewa tu 97 billioni. Nchi hii tunaelekea wapi?
Kama kwa wastani utekelezaji wa bajeti ya Serikali kwa mwaka ni 90% kwa mantiki hiyo kila Wizara ingekwishapokea angalau asilimia 70 ya bajeti yake na sasa Wizara zingine utakuta hata asilimia 10 hawajapokea. Ninaomba Mhe. Rais afanye mabadiliko makubwa katika Wizara ya Fedha.
Hakuna maana Wabunge kukaa Bungeni na kupitisha mambo ya hewa. Hii ni aibu kubwa sana.
Mpaka sasa tumebakiza miezi minne tu kuanza na bajeti mpya ya 2024/25. Ninauliza ninyi Wabunge tuliwatuma kuisimamia Serikali, Je kazi tuliowatuma mnaifanya kwa usahihi?
Haingi akilini kuwa bajeti ya barabara ilikuwa 812 billioni na sasa imepokelewa tu 97 billioni. Nchi hii tunaelekea wapi?
Kama kwa wastani utekelezaji wa bajeti ya Serikali kwa mwaka ni 90% kwa mantiki hiyo kila Wizara ingekwishapokea angalau asilimia 70 ya bajeti yake na sasa Wizara zingine utakuta hata asilimia 10 hawajapokea. Ninaomba Mhe. Rais afanye mabadiliko makubwa katika Wizara ya Fedha.
Hakuna maana Wabunge kukaa Bungeni na kupitisha mambo ya hewa. Hii ni aibu kubwa sana.