kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
- Thread starter
- #41
Amemtaja Juma Kapuya kama mwanahisa wa Kampuni ya Simons group iliyouziwa UDA, na anasema kamati ndogo iliyoundwa kuchunguza sakata lote Kapuya nae alikuwepo, kwa hiyo ni kama kesi ya nyani kumpelekea ngedere, amemtaka Kapuya kudeclare interest na kuomba radhi kwa kuidanganya kamati.
Amesema serikali haitaki kutoa tamko kazi yake ni kuomba miongozo tu na kuchukua hiyo hela na kujenga mahekalu Ulaya.
Amesema serikali haitaki kutoa tamko kazi yake ni kuomba miongozo tu na kuchukua hiyo hela na kujenga mahekalu Ulaya.