Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi yagaragazwa Bungeni

Bado inanipa wakati mgumu kama hawa wenzetu wa chama cha magamba watakosa kupitisha bajeti hii, coz itakuwa ngumu au wakikumbuka mpango wa posho wanaweza wasipitishe maana wasipopitisha c itasogezwa mbele na posho inasogea!
 
Kila mbunge anayesimama mpaka sasa ameiponda bajeti na hauingi mkono, si wa ccm si wa upinzani. Nanusa harufu ya bajeti hii kurudi kwa marekebisho, tusubiri tuone.

Sema yoooooooooooooote ila kumbuka USANII wa CCM.
 
Yaani wakati tunapiga vita udini kwa nguvu zote,imeibuka mijitu yenyewe imekaa kichamachama tu no maslahi ya taifa! Kila kitu yenyewe ni chadema and ccm!! Kafilie mbali na uchama wako<br />
<br />

Chadema wameonyesha na wameongoza njia kama hutaki utajiju, zamani walikuwa wapi hao magamba nafikiri sasa wameanza kuamka kutoka usingizini na bado! ngoja tusubiri jinsi wanawanchi wengi mijini na vijijini wanavyoamka kwa kasi toka usingizini Mungu atujalie uhai tushuhudie mabadiliko ya kweli ya nchi hii.

Chadema Twende kazi safari ndio inaanza hatujafika hata robo bado.
 
Hii wizara imepewa fedha kidogo na Wizara ya Fedha, inaonekana ni kuikomoa menejimenti ya TRL kwa kumtimua mwekezaji RITES. Mbunge wa MAFIA amemwambia mama Mwamnyange asifurahiye kuona mabilioni ya mihela imemzunguka ofisini kwake, atoe hela ziende Wizara ya uchukuzi kwa sababu ni Wizara muhimu katika kuleta maendeleo ya nchi. Sisi tunasema wabunge vilaza wa CCM wakitumia wingi wao kupitisha budget ya Wizara hii leo -Tunaandamana- BAVICHA Jiandaeni kuitisha maandamano nchi nzima kwa sababu huu ni ujinga.
 
Kaka wapinzani hawaja toa yao iweke hapa kaka unajua tena ngeleja hatunae

Join Date : 1st August 2011
Posts : 4

Rep Power : 0

Hapo kwenye RED what do you mean. Je ulimaanisha UMEME Umekatika? au Ngereja katutoka / au kafukuzwa / au Kaachia ngazi! Wana JF tunaomba uliweke wazi.
 
Yaani wakati tunapiga vita udini kwa nguvu zote,imeibuka mijitu yenyewe imekaa kichamachama tu no maslahi ya taifa! Kila kitu yenyewe ni chadema and ccm!! Kafilie mbali na uchama wako&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
usihamaki!! kuna element za ukweli, somo limeanza kuwaingia ccm, ile naunga mkono 100% imeanza kupungua, hongera cdm. pole kama utajinyonga kwa kuambiwa ukweli.
 
Kila mbunge anayesimama mpaka sasa ameiponda bajeti na hauingi mkono, si wa ccm si wa upinzani. Nanusa harufu ya bajeti hii kurudi kwa marekebisho, tusubiri tuone.
Haya mambo ya bajeti kurudi ni mageni katika historia ya nchi yetu.Kikwete should leave ,ameshindwa kuongoza.It's as simple as that.
 
Haya mambo ya bajeti kurudi ni mageni katika historia ya nchi yetu.Kikwete should leave ,ameshindwa kuongoza.It's as simple as that.

BRAVO!
NA MAWAZIRI,M/WAZIRI,MAKATIBU WAKUU,
Na huwa anakaa na mawaziri kabla ya kuletwa bungeni,
 
Waweke maslahi ya taifa mbele. Upinzani umesaidia hata magamba nao wanajitahidi kuchachamaa
 
Mabumba ndio mwenyekiti jioni hii, mijadala imeanza, ameanza Machemli (Chadema Ukerewe) anasema bila ndege tunarudi kwenye ujima, anahoji chama makini chama sikivu, usikivu uko wapi, kazi yao kuvuliwa magamba, nani kakwambia nyoka anavuliwa gamba, nyoka akizeeka anajivua gamba mwenyewe.
ametaja akina mataka wamefilisi chi, nani kachukua hatua, si waziri mkuu wala rais, anasema haungi mkono hoja.
 
Reli, ATC, na UDA vilianza kufa taratibu siku nyingi. Kwa nini wabunge wa ccm hawakuwa wakali wakati huo? Kwa nini sasa wakati mgonjwa yuko 'brain dead'? Tuwaamini kwa lipi wakati walikuwa kimya? Hivi ni leo watu wamekuwa wanalala stesheni ya Treni kwa kukosa usafiri? Ni leo watu wameanza kukusoa mkataba wa RITES? Where were these so called wabunge wa ccm wenye uchungu? Kama sio usanii ni nini?

Leo hii Reli ya kati ingekuwa inafanya kazi vizuri wabunge wengi (kama sio wote) wasingechoma mafuta na mashangingi yao kwenda Dodoma, wangepanda Treni off they go to Dodoma. Lakini bunge na nisema nchi inaingia gharama kubwa ya kumlipa kila mbunge posho ya mafuta kwa sababu hakuna usafiri mwingine.

Na ilikuwaje bajeti kama hizi za nishati na madini na hii ya uchukuzi kufika bungeni? Ikulu hawakuona makosa? Baraza la Mawaziri hawaoni kama bajeti imejaa upuuzi? Waziri mkuu anayesema serikali iko makini ana maoni gani kuhusu hizi aibu?

Mwisho, mbunge yeyote wa ccm anaekosoa hii bajeti ya wizara ya uchukuzi hasa kwenye Reli na ATC ajibu alikuwa wapi muda wote huo?
 
Machemli anasema kampuni ya TRL ilipewa watu weupe kichwani hawana uwezo wa kuiendesha reli, anasema atawaelekeza sehemu ya kupata pesa ili watengeneze reli.
 
Mabumba ndio mwenyekiti jioni hii, mijadala imeanza, ameanza Machemli (Chadema Ukerewe) anasema bila ndege tunarudi kwenye ujima, anahoji chama makini chama sikivu, usikivu uko wapi, kazi yao kuvuliwa magamba, nani kakwambia nyoka anavuliwa gamba, nyoka akizeeka anajivua gamba mwenyewe.
ametaja akina mataka wamefilisi chi, nani kachukua hatua, si waziri mkuu wala rais, anasema haungi mkono hoja.

AHSANTE SANA ENDELEA KUTUJUZA MKUU NAAMINI UNA JENERETA WEWE,HUKU TANESCO TOKEA ASUBUHI WAMETUGAWIA GIZA SIJUI JIONI WATATUGAWIA nini
 
hivi siku hizi hamna kitufe cha THANKS au?nilikuwa ban ndio nimerudi recently ila KAPOTOLO kula tano mwana endelea kutujuza
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom