Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,602
- 18,289
Awamu ya 5 imejitahidi sana kujenga miundo mbinu ya uchumi kama Stiglers Gorge Hydro Electric Power, Standard Gauge Railway na barabara mbali mbali zinazounganisha mikoa.
Kwa upande wa sekta binafsi ambayo ndiyo injini ya maendeleo inayopaswa kutumia hiyo miundo mbinu hali siyo nzuri. Kwa uchache tu nimeona kama kuna kitu sisi kama wananchi hatukijui.
Maana wale watu wote viongozi wa sekta binafsi na wafanya biashara wakuu ama hatunao au wanapata misukosuko mikubwa kama ifuatavyo;
1. Reginald Mengi pengine huyu ni natural death.
2. Yusuf Manji kawa harassed, kanyang'anywa biashara zake kama ile Tigo mwishowe kakimbilia Canada.
3. Ali Mufuruki alikufa kiajabu ajabu tu eti kwa Pneumonia, sawa bana.
4. Shamte Mwenyekiti wa Tanzania Private Sector Foundation yuko rumande kwa mashtaka ya kutakatisha fedha.
5. Simbeye ndiye naye last week ame resign kama Executive Secretary wa hiyo Tanzania Private Sector Foundation.
6. Mohamed Dewji alikuwa kidnapped na inadaiwa akarudi baada ya kulipa ransom.
7. Peter Zacharia wa Tarime alitaka kutekwa ila akawawahi kwa bastola. Then wakamkamata na kumfungulia mashtaka ya kutaka kujeruhi??
Yaweza kuwa ni wasiwasi wangu tu lakini ikiwa ni systematic process ya kuwa eliminate matajiri then tutajikuta tumejenga miundo mbinu ila tuna sekta binafsi DHAIFU. Na ndipo MDORORO wa UCHUMI utatokea.
Kamwe Serikali haiwezi kufanya biashara na tusitegemee sana makampuni ya kigeni kama kina DANGOTE au VODACOM. Tujenge tabaka la matajiri wetu
Kwa upande wa sekta binafsi ambayo ndiyo injini ya maendeleo inayopaswa kutumia hiyo miundo mbinu hali siyo nzuri. Kwa uchache tu nimeona kama kuna kitu sisi kama wananchi hatukijui.
Maana wale watu wote viongozi wa sekta binafsi na wafanya biashara wakuu ama hatunao au wanapata misukosuko mikubwa kama ifuatavyo;
1. Reginald Mengi pengine huyu ni natural death.
2. Yusuf Manji kawa harassed, kanyang'anywa biashara zake kama ile Tigo mwishowe kakimbilia Canada.
3. Ali Mufuruki alikufa kiajabu ajabu tu eti kwa Pneumonia, sawa bana.
4. Shamte Mwenyekiti wa Tanzania Private Sector Foundation yuko rumande kwa mashtaka ya kutakatisha fedha.
5. Simbeye ndiye naye last week ame resign kama Executive Secretary wa hiyo Tanzania Private Sector Foundation.
6. Mohamed Dewji alikuwa kidnapped na inadaiwa akarudi baada ya kulipa ransom.
7. Peter Zacharia wa Tarime alitaka kutekwa ila akawawahi kwa bastola. Then wakamkamata na kumfungulia mashtaka ya kutaka kujeruhi??
Yaweza kuwa ni wasiwasi wangu tu lakini ikiwa ni systematic process ya kuwa eliminate matajiri then tutajikuta tumejenga miundo mbinu ila tuna sekta binafsi DHAIFU. Na ndipo MDORORO wa UCHUMI utatokea.
Kamwe Serikali haiwezi kufanya biashara na tusitegemee sana makampuni ya kigeni kama kina DANGOTE au VODACOM. Tujenge tabaka la matajiri wetu