Awamu ya 5 na sekta binafsi, kuna tusilolijua

Stuxnet

JF-Expert Member
Feb 12, 2011
10,602
18,289
Awamu ya 5 imejitahidi sana kujenga miundo mbinu ya uchumi kama Stiglers Gorge Hydro Electric Power, Standard Gauge Railway na barabara mbali mbali zinazounganisha mikoa.

Kwa upande wa sekta binafsi ambayo ndiyo injini ya maendeleo inayopaswa kutumia hiyo miundo mbinu hali siyo nzuri. Kwa uchache tu nimeona kama kuna kitu sisi kama wananchi hatukijui.

Maana wale watu wote viongozi wa sekta binafsi na wafanya biashara wakuu ama hatunao au wanapata misukosuko mikubwa kama ifuatavyo;

1. Reginald Mengi pengine huyu ni natural death.

2. Yusuf Manji kawa harassed, kanyang'anywa biashara zake kama ile Tigo mwishowe kakimbilia Canada.

3. Ali Mufuruki alikufa kiajabu ajabu tu eti kwa Pneumonia, sawa bana.

4. Shamte Mwenyekiti wa Tanzania Private Sector Foundation yuko rumande kwa mashtaka ya kutakatisha fedha.

5. Simbeye ndiye naye last week ame resign kama Executive Secretary wa hiyo Tanzania Private Sector Foundation.

6. Mohamed Dewji alikuwa kidnapped na inadaiwa akarudi baada ya kulipa ransom.

7. Peter Zacharia wa Tarime alitaka kutekwa ila akawawahi kwa bastola. Then wakamkamata na kumfungulia mashtaka ya kutaka kujeruhi??

Yaweza kuwa ni wasiwasi wangu tu lakini ikiwa ni systematic process ya kuwa eliminate matajiri then tutajikuta tumejenga miundo mbinu ila tuna sekta binafsi DHAIFU. Na ndipo MDORORO wa UCHUMI utatokea.

Kamwe Serikali haiwezi kufanya biashara na tusitegemee sana makampuni ya kigeni kama kina DANGOTE au VODACOM. Tujenge tabaka la matajiri wetu
 
Wazungu wana uchungu na Tanzania kuliko Chadema
IMG_20200124_145425.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni Mtanzania hasa 100%, kila kitu ni lazima ufikiri kuna foul play, mtu akifa kuna mkono wa mtu, Muhindi akushitakiwa anaonewa, hivi nikuulize hao matajiri wako kama Manji wakati anakopa hakusaini na kuahidi kulipa?

Na kama halipi madeni wengine watapata wapi pa kukopa kwa maana kama kila anayekopa akigoma kulipa? Na huko Kanada unakodai ameenda akikopa hatolipa lipa deni?
 
Aliaapa kuhakikisha waliokuwa wanaishi kama malaika wataishi kama mashetani, nguvu aliyotumia kuhakikisha hili angewekeza kuhakikisha wanaoishi kama mashtani waiahi kama. Malaika angekuwa wa maana lakini kutokana na ushamba, roho mbaya na ushamba wa kuchunga mang'ombe hudhani alikuwa maskini kwa sababu ya matajiri.
 
Wewe ni Mtanzania hasa 100%, kila kitu ni lazima ufikiri kuna foul play, mtu akifa kuna mkono wa mtu, Muhindi akushitakiwa anaonewa, hivi nikuulize hao matajiri wako kama Manji wakati anakopa hakusaini na kuahidi kulipa? Na kama halipi madeni wengine watapata wapi pa kukopa kwa maana kama kila anayekopa akigoma kulipa? Na huko Kanada unakodai ameenda akikopa hatolipa lipa deni?
Asante kwa mawazo yako
 
Wewe ni Mtanzania hasa 100%, kila kitu ni lazima ufikiri kuna foul play, mtu akifa kuna mkono wa mtu, Muhindi akushitakiwa anaonewa, hivi nikuulize hao matajiri wako kama Manji wakati anakopa hakusaini na kuahidi kulipa? Na kama halipi madeni wengine watapata wapi pa kukopa kwa maana kama kila anayekopa akigoma kulipa? Na huko Kanada unakodai ameenda akikopa hatolipa lipa deni?
Amesema Mengi amekufa natural death au hujui kusoma
 
Khe khe khe kheeeeee nicheke mie. Wapinzani ooops mawazo ya majority in Chadema. Kwamba Serikali ni ovu wakati waovu wenyewe wanajifahamu.

Awamu ya 5 imejikita katika kuwaletea maendeleo Watanzania bila wivu wala ubaguzi na kazi inaonekana. Hongera JPM kwa kubadili mindset ya Watanzania wengi. Chadema endeleeni kufikiria Watanzania ni wajinga.

Endeleeni kumtegemea uncle wenu ambaye hivi sasa anahaha na ile swaga aliyokuwa nayo ndio hiyo inayoyoma, hatuwezi kuendelea kuwafanyia kazi mabeberu waishi kama malaika na sisi tuishi kama kondoo wasiokuwa na mchungaji.
 
Wazungu wana uchungu na Tanzania kuliko ChademaView attachment 1356981

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kwamba watanzania hawana uchungu,bali walizoea ubadhirifu,uzembe kazini na ujanjanja mtu analipwa hata hajasupply kitu serikalini.Pia walizoea kusikia kuna pesa zimepigwa mpaka watu wakabeba kwenye masandarusi ili tu muda wote wakae wanaizodoa serikali. Sasa haya mambo hayapo. Wamebaki wanaduaa.
 
Hahahaha Mengi na hicho ulichoita Natural death, ndugu wanawake wenye tamaa wanaweza kutumika kwa njia yoyote.Ndio unakuta tukianza kumshutumu ananyanyuka kiongozi mmoja anabwabwaja kumbe kuna something nyuma ya camera, so don't concludes kwamba ni natural death.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kwanza kapime IQ yako ndiyo uje uone kama comment yako ni sahihi. Wewe si ndiyo nyie mnapiga kura kwa doti ya kanga. Peleka umalaya wako huko
Aibu kutumia maneno ya kwenye kanga kwenye important issues za kitaifa, kwa ki-mtu/Jitu kinachojifanya kinafahamu issues za kitaifa. Aliyepima IQ ni yule aliyekuwa anawadekeza kwa peremende. Yaani wanaume wazima waliishiwa kuhongwa na kuridhika wakatumika kama majalala kujitunisha kwa vitisho na picha fake.
 
Mungu anawalipia usijali,waambie watamke stiglers gorge kama hawajang'ata ulimi,sgr speaking wamesahau na ndege haziruki chezea mungu,na hayo yote baada ya kulamba mtungi wote, usiombe malaria inakuja mfukoni patupu.
 
hakuna sekta sensitivity kama Private sector, sector binafsi in kama Kobe ,ukimgusa kichwa anaficha ndani,kukitoa tena ni shughuli,tulip marehemu mengi alivyosakamwa sana na watawala, kimsingi matajiri wazalendo hawana nafasi ,kama dewiji alitekwa,zakaria kanusurika, wewe unautaka utajiri bado

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom