Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,739
- 18,453
- Thread starter
- #61
Subiri nayo Precision Air itashughulikiwa muda si mrefu. Maana inaonekana kwenye ruti za Kilimanjaro Precision inajaza wakati ATCL inakuwa nusu emptyBinafsi niliumia sana kufa kwa Fastjet. Kwa serikali zinazojali uwekezaji, wale akina Masha (Fastjet) wangepewa BAILOUT, then waendelee na biashara, waje walipe baadaye wanapozalisha faida. Naamini lingetendeka hili basi wangeendelea na biashara na huenda wangefika maeneo mengi sana ya nchi hii ikiwemo Chato.