Madhara ya sera mbovu za awamu ya tano zimeanza kuonekana awamu hii

deblabant

JF-Expert Member
Oct 7, 2022
901
1,334
Kipindi Cha Magufuli shule binafsi zilipata kibano sana na nyingi zilifunga biashara kwa kuwekewa mikodi kibao na wazazi wengi kuondoa watato wao kwa sababu ya vyuma kukaza kila kukicha mana watu walikuwa wanapoteza kazi daily kwenye sector binafsi. Sector binafsi ilikufa kabisa mfano mabank mengi yalifungwa, bereau de change nyingi zingafungwa, makampuni kibao yakafungasha virago.

Zamani graduates walikuwa proud na shule binafsi mana zilikuwa zinalipa sana na zipo nyingi. Mpaka watu hawakuwa interested kwenda serikalini kabisa. Sasa kila ukienda kuomba kazi kwenye shule binafsi ama hawataki kabisa kuajiri au waliopo wanatosha.

Jpm was a disaster in our country. Sasa hivi graduates wanatangata ga tu hasa walimu kwa consequences za Magufuli.
Kipindi Cha JK hakuna mwalimu aliyekosa kazi Aliacha kwenda serikalini basi private zipo tena zinalipa sana.
 
Ndiyo maana misa zinaandaliwa ili aombewe na kusamehewa madhambi yake. Msirudie tena kuijaribu sumu kwa kuionja.
 
Sikupingi pale alipoharibu ni muhimu pasemwe ili tusijerudia makosa sekta binafsi iliumia sana nilikuwa napita Mkuki house unakuta pamebaki na Pizza Hut pekee jengo limekuwa gofu unaishia kushangaa
 
Ongezeko la wasomi la wanaoandaliwa kuajiriwa kila mwaka limekuwa kubwa tatizo lipo kwenye mfumo wetu wa elimu
 
Naona huruma sana roho yake ilivyonyakuliwa japo he was a Beast "the evil one"
 
Kipindi Cha jpm shule binafsi zilipata kibano sana na nyingi zilifunga biashara kwa kuwekewa mikodi kibao na wazazi wengi kuondoa watato wao kwa sababu ya vyuma kukaza kila kukicha mana watu walikuwa wanapoteza kazi daily kwenye sector binafsi. Sector binafsi ilikufa kabisa mfano mabank mengi yalifungwa, bereau de change nyingi zingafungwa, makampuni kibao yakafungasha virago.

Zamani graduates walikuwa proud na shule binafsi mana zilikuwa zinalipa sana na zipo nyingi. Mpaka watu hawakuwa interested kwenda serikalini kabisa. Sasa kila ukienda kuomba kazi kwenye shule binafsi ama hawataki kabisa kuajiri au waliopo wanatosha.

Jpm was a disaster in our country. Sasa hivi graduates wanatangata ga tu hasa walimu kwa consequences za jpm.
Kipindi Cha jk hakuna mwalimu aliyekosa kazi Aliacha kwenda serikalini basi private zipo tena zinalipa sana.
Upotoshaji na uchochezi dhaifu zaidi huu 🐒
 
JPM Chuma bado ananyoosha nchi hata akiwa mbinguni, Mwaka wa tatu huu nchi inaongozwa na 4R ila hakuna R hata moja iliyofanikiwa kufuta kivuli cha Chuma, Pumzika Pema mwamba.
 
Hali ya ajira kwa walimu imekuwa ni tete kweli kweli. Imagine mhitimu wa kada ya ualimu amefikia hatua ya kukubali kuajiriwa kwa posho ya laki moja tu kwa mwezi!! Tena ni mhitimu mwenye shahada safi kabisa ya ualimu kutoka chuo kikuu!

I wish ningekuwa na mamlaka ya kimaamuzi! Hakika ningesitisha udahili wa fani ya ualimu kwenye vyuo vyote nchini walau hata kwa miaka 5 ili wahitimu waliotapakaa mtaani waajiriwe kwanza.
 
Hakuna jipya hapa, na bado hamjasema, na kuandika
iu



Imeandikwa....

Magulification of Tanzania, Africa, and beyond will go on.
 
Kipindi Cha Magufuli shule binafsi zilipata kibano sana na nyingi zilifunga biashara kwa kuwekewa mikodi kibao na wazazi wengi kuondoa watato wao kwa sababu ya vyuma kukaza kila kukicha mana watu walikuwa wanapoteza kazi daily kwenye sector binafsi. Sector binafsi ilikufa kabisa mfano mabank mengi yalifungwa, bereau de change nyingi zingafungwa, makampuni kibao yakafungasha virago.

Zamani graduates walikuwa proud na shule binafsi mana zilikuwa zinalipa sana na zipo nyingi. Mpaka watu hawakuwa interested kwenda serikalini kabisa. Sasa kila ukienda kuomba kazi kwenye shule binafsi ama hawataki kabisa kuajiri au waliopo wanatosha.

Jpm was a disaster in our country. Sasa hivi graduates wanatangata ga tu hasa walimu kwa consequences za Magufuli.
Kipindi Cha JK hakuna mwalimu aliyekosa kazi Aliacha kwenda serikalini basi private zipo tena zinalipa sana.
Magufulification
 
Nashauri watu msioongee sana kwa hisia sasa ngoja nikupeleke kwenye uhakisia
Je wajua ni vyuo zaidi ya 50 vinatoa shahada mbalimbali zinazohusu kada ya ualimu.
Hata kama iwe serikali gani inaweza kumudu kuajiri utitiri wa wasomi weng wanaomaliza kila mwaka?
Hivyo basi unapaswa ujue tatizo la ajira bado litakuwa kubwa sana tofauti na Hili la sasa Yani litakuwa kubwa mno mno ngoja msubiri muone
 
Nashauri watu msioongee sana kwa hisia sasa ngoja nikupeleke kwenye uhakisia
Je wajua ni vyuo zaidi ya 50 vinatoa shahada mbalimbali zinazohusu kada ya ualimu.
Hata kama iwe serikali gani inaweza kumudu kuajiri utitiri wa wasomi weng wanaomaliza kila mwaka?
Hivyo basi unapaswa ujue tatizo la ajira bado litakuwa kubwa sana tofauti na Hili la sasa Yani litakuwa kubwa mno mno ngoja msubiri muone
Je Shule zote zina walimu wa kutosha? Usiangalie idadi.ya vyuo tazama mahitaji ya Walimu ni kiasi gani.
 
Back
Top Bottom