LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Mkuu heading na post zimenichanganya let be specific brother!
kama vipi tuingie barabarani haraka! OCD wa Arusha ni Kunyanzi la kutupwa, anafanya kazi ya Mukama! k.ma la mamake!
Mkuu! Nakwambia ya kesho itakuwa history hapa Nchini na kwa mawazo yangu na mtazamo nakwakikishia ya kwamba hapa ndiyo UKOMBOZI umekaribia na nimeona CCP toka Mkoani Kilimanjaro wameshatua hapa Mjini lakini nawaonya ya kwamba hiyo haitoshi hata kidogo na kama wanataka kujua wafikirie nchi za wenzetu ilikuwaje.
NGUVU YA UMMA itapishwa tu!