Mvina
JF-Expert Member
- Aug 2, 2009
- 998
- 34
daaaaa kimegeuka
Bado lakini mkuu...
daaaaa kimegeuka
daaaaa kimegeuka
kajifunga duh!
Washabiki wa Arsenal mpira dakika 90 tafadhalini eeh?
ni bahati mbaya lkn siyo kwamba ilikuwa lazima ajifunge..Pale ilikuwa ni lazima hakuwa na namna
Man U 2- Arsenal 1
Arsenal kama vile tunapoteana vile..
babatov hivi ni mchezaji wa kimataifa kweli au kaamua kutubeba Arsenal
kwanini MvinaNg'ombe wa masikini hazani ...