Mods, naomba hii thread ikae kwa muda hapa mpaka baada ya mechi hii:
Tukiwa tunajiandaa kuona mtanange huu na baada ya Arsenal kutokutumia mapesa kusajili majina makubwa na kubakia na kuendelea kulea vipaji. Je, wataweza kuhimili vishindo vya Manu hapo Ngome Kongwe? Je, ushindi wa mechi na hasa ya jana kuwa chachu ya ushindi hapo Ngome Kongwe[sema: Old Trafold]? Je, Manu na migoli ya kulazimishia na kupulizwa na vijana wachanga katika EPL wanaweza kuzinduka na kuzima bunduki za wanaimarati? Je, Rooney anaweza kusimama bila mapande ta Tevez na Ronald? Karibu katika kutoa michango yako kuelekea katika kipute hiki hapo Ngome Kongwe.
Tukiwa tunajiandaa kuona mtanange huu na baada ya Arsenal kutokutumia mapesa kusajili majina makubwa na kubakia na kuendelea kulea vipaji. Je, wataweza kuhimili vishindo vya Manu hapo Ngome Kongwe? Je, ushindi wa mechi na hasa ya jana kuwa chachu ya ushindi hapo Ngome Kongwe[sema: Old Trafold]? Je, Manu na migoli ya kulazimishia na kupulizwa na vijana wachanga katika EPL wanaweza kuzinduka na kuzima bunduki za wanaimarati? Je, Rooney anaweza kusimama bila mapande ta Tevez na Ronald? Karibu katika kutoa michango yako kuelekea katika kipute hiki hapo Ngome Kongwe.