Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,882
- 10,193
Kaibua kipaji gani wakati wachezaji wote hao wametengenezwa yeye akawanunuaKwa mwaka huu Arsenal ni wakali. Kwanza wameanza kwa kipigo tu kwa wote waliocheza nao. Hii ni balaa. Man U wajiandae kuaibika kwa kweli........ DHAHAMA ITAWAJIA KWA KASI SANA.....
FURGUSON SI MTAALAM SANA WA KUIBUA VIPAJI VYA WAJEZAJI.... WENGER NI KIBOKO YAO...
MWENZIO AKINYOLEWA WEWE TIA MAJI