Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,462
- 4,364
Noma sasa hii.
hii gemu bado tunaweza kushinda tu, vijana wanacheza vizuri ilimradi yafanyike mabadiliko pale kati. Giggs leo siku nzuri kwake, yafaa awe-replaced.
Noma sasa hii.
kweli kuna dalili ya kadi nyekundu sana sana song nina wasi wasi nae sana.sipendi diaby anavyozubaa na mpira.ngoja nitulie manake presha hapa hipo juu.Hii mechi kuna mtu atakula red card.
nashangaa watu wameeka thread karibia 10 kwa ajili ya game moja mpaka inaboa.
Manu wetu leo
hii gemu bado tunaweza kushinda tu, vijana wanacheza vizuri ilimradi yafanyike mabadiliko pale kati. Giggs leo siku nzuri kwake, yafaa awe-replaced.
Kweli mkuu,tusubiri dakika 90,hata hivyo goli likiingia si lazima watu tushangilie mkuu,ama unataka tununee...Ila goli la Arshavin ni zuri sana mkuu...In Arsene We Trust...Keep The FaithWashabiki wa Arsenal mpira dakika 90 tafadhalini eeh?
Kweli mkuu,tusubiri dakika 90,hata hivyo goli likiingia si lazima watu tushangilie mkuu,ama unataka tununee...Ila goli la Arshavin ni zuri sana mkuu...In Arsene We Trust...Keep The Faith
Wakuu mbona Manu wanapotea hv?
Pinati.....
I am sure there is an "English Premier League Academy for Diving"; Good skills like Thorpe!!
Well done Manure
Clap Clap!!!
I am sure there is an "English Premier League Diving Academy"; Good skills like Thorpe!!
Well done Manure
Clap Clap!!!
Is it true?