Tutafika
JF-Expert Member
- Nov 4, 2009
- 1,443
- 631
Hivi kuwa fisadi tanzania ni kosa chini ya sheria ipi?, na kama ipo nani anatakiwa kuisimamia na kuwashtaki mafisadi? Hamuoni kuwa huyo ndio fisadi mkubwa? Mi nadhani kumwita mtu fisadi huku hashtakiwi na we mwenyewe ndio jukumu lako la kuchukua hatua ni kutomtendea haki! Kama hawana makosa muwaache na kama wana makosa chukueni hatua! CHENGE USIONDOKE CCM MPAKA WATHIBITISHE WEWE NI FISADI GAMBA!, TENA IKIBIDI WASHTAKI WAACHE KUKUDHARIRISHA!