Nani kakwambia Rostam hakuwa kwenye system ya serekali?
Alikuwa na wadhifa gani serikalini?
kinachojaalisha ni influency yako kwa chama na serikali sio madaraka yako . Lowasa na Chenge hana madaraka serikalini kwa sasa lakini kutokana na pesa zao na uwezo wao wa kuwahonga wajumbe wa vikao mbalimbali na vya chama hata Kikwete anawaogopa! Same applie to RA, MO dewji,Alikuwa na wadhifa gani serikalini?
Tumetoka mbali