Kitendo cha Andrew Chenge kutaka kurudi Bungeni ni kiashiria kuwa Mwenyekiti wa CCM 2020 aliwalazimisha wapishe wengine?

Mpinzire

JF-Expert Member
Jan 18, 2013
7,227
12,953
Wasalaam Members!

Tangia nisikie Mh Chenge amechukua form ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nimejikuta nikitafakari sana kuhusu kutokurudi kwake Bungeni 2020 na hizi mbio zasasa za Uspika.

Mwaka 2020 kwenye kura za maoni Mh Andrew Chenge alishinda japokuwa jina lake lilikatwa kwemye kamati kuu hivo halikurudi kwaajili ya kugombea Ubunge na hakuonesha kama anashida na ilo.

Sasa kajitosa kuwania nafasi ya Uspika wa Bunge la JMT rasmi na habari zilizopo huyu mwamba anaenda kuchukua hicho kiti, swali Je! Hayati Magufuli alimlazimisha astaafu siasa? Bado Mh Chenge alitakani kuendelea kuwa Bungeni?
 
Wasalaam Members!

Tangia nisikie Mh Chenge amechukua form ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nimejikuta nikitafakari sana kuhusu kutokurudi kwake Bungeni 2020 na hizi mbio zasasa za Uspika.

Mwaka 2020 kwenye kura za maoni Mh Andrew Chenge alishinda japokuwa jina lake lilikatwa kwemye kamati kuu hivo halikurudi kwaajili ya kugombea Ubunge na hakuonesha kama anashida na ilo.

Sasa kajitosa kuwania nafasi ya Uspika wa Bunge la JMT rasmi na habari zilizopo huyu mwamba anaenda kuchukua icho kiti, swali Je! Hayati Magufuli alimlazimisha astafu siasa? Bado Mh Chenge alitakani kuendelea kuwa Bungeni?
HTA CHADEMA WALIANZA KUMPIGIA DEBE SIJUI SABABU NI ZIPI..KUMBUKA MCHUNGAJI MSIGWA NDO ALIONGOZA KUPIGA DEBE
 
Wasalaam Members!

Tangia nisikie Mh Chenge amechukua form ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nimejikuta nikitafakari sana kuhusu kutokurudi kwake Bungeni 2020 na hizi mbio zasasa za Uspika.

Mwaka 2020 kwenye kura za maoni Mh Andrew Chenge alishinda japokuwa jina lake lilikatwa kwemye kamati kuu hivo halikurudi kwaajili ya kugombea Ubunge na hakuonesha kama anashida na ilo.

Sasa kajitosa kuwania nafasi ya Uspika wa Bunge la JMT rasmi na habari zilizopo huyu mwamba anaenda kuchukua icho kiti, swali Je! Hayati Magufuli alimlazimisha astafu siasa? Bado Mh Chenge alitakani kuendelea kuwa Bungeni?
Yule bwana alikuwa anatengeneza utawala wa ki syndicate
 
Wasalaam Members!

Tangia nisikie Mh Chenge amechukua form ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nimejikuta nikitafakari sana kuhusu kutokurudi kwake Bungeni 2020 na hizi mbio zasasa za Uspika.

Mwaka 2020 kwenye kura za maoni Mh Andrew Chenge alishinda japokuwa jina lake lilikatwa kwemye kamati kuu hivo halikurudi kwaajili ya kugombea Ubunge na hakuonesha kama anashida na ilo.

Sasa kajitosa kuwania nafasi ya Uspika wa Bunge la JMT rasmi na habari zilizopo huyu mwamba anaenda kuchukua icho kiti, swali Je! Hayati Magufuli alimlazimisha astafu siasa? Bado Mh Chenge alitakani kuendelea kuwa Bungeni?
Kila mtanzania mwenye sifa ana haki ya kugombea nafasi yoyote.
Chenge hana tatizo, tuhuma dhidi yake zimebaki kuwa tuhuma tu.

Mwacheni agombee maana sifa anazo.
 
Wasalaam Members!

Tangia nisikie Mh Chenge amechukua form ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nimejikuta nikitafakari sana kuhusu kutokurudi kwake Bungeni 2020 na hizi mbio zasasa za Uspika.

Mwaka 2020 kwenye kura za maoni Mh Andrew Chenge alishinda japokuwa jina lake lilikatwa kwemye kamati kuu hivo halikurudi kwaajili ya kugombea Ubunge na hakuonesha kama anashida na ilo.

Sasa kajitosa kuwania nafasi ya Uspika wa Bunge la JMT rasmi na habari zilizopo huyu mwamba anaenda kuchukua icho kiti, swali Je! Hayati Magufuli alimlazimisha astafu siasa? Bado Mh Chenge alitakani kuendelea kuwa Bungeni?

Mkuu kwani hujui kua alipigwa pini na JPM? Hata wakati wa kampeni ya ubunge bariadi aliitwa Jukwaani na JPM kwa mdomo wake akasema atamuunga mkono mgombea aliyepitishwa ila simply JPM hakutaka agombee tena.

Amechukua form kwa vile mzee wetu amekwenda ila angekuwepo asingesogelea!
 
Wasalaam Members!

Tangia nisikie Mh Chenge amechukua form ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nimejikuta nikitafakari sana kuhusu kutokurudi kwake Bungeni 2020 na hizi mbio zasasa za Uspika.

Mwaka 2020 kwenye kura za maoni Mh Andrew Chenge alishinda japokuwa jina lake lilikatwa kwemye kamati kuu hivo halikurudi kwaajili ya kugombea Ubunge na hakuonesha kama anashida na ilo.

Sasa kajitosa kuwania nafasi ya Uspika wa Bunge la JMT rasmi na habari zilizopo huyu mwamba anaenda kuchukua icho kiti, swali Je! Hayati Magufuli alimlazimisha astafu siasa? Bado Mh Chenge alitakani kuendelea kuwa Bungeni?
Chenge ni mtu sahihi kabisa kwa wakati sahihi
 
HTA CHADEMA WALIANZA KUMPIGIA DEBE SIJUI SABABU NI ZIPI..KUMBUKA MCHUNGAJI MSIGWA NDO ALIONGOZA KUPIGA DEBE

..Ni kwasababu ana uwezo mkubwa ktk masuala ya sheria na taratibu za bunge kuliko wana-ccm wengi mle bungeni.

..hujawahi kusikia kwamba ktk bunge maalum la katiba, ccm ilikuwa inamtegemea Chenge ktk kuandika katiba pendekezwa?

..zaidi, alipokalia kiti cha mwenyekiti wa bunge, Chenge aliongoza vikao kwa busara na weledi kuliko wenyeviti wengine.

..unaweza kumchukia Chenge kwasababu ya tuhuma za ufisadi lakini ukweli utabaki kuwa ana uwezo mkubwa na uzoefu kuhusu masuala ya bunge na taratibu zake.
 
..Ni kwasababu ana uwezo mkubwa ktk masuala ya sheria na taratibu za bunge kuliko wana-ccm wengi mle bungeni.

..hujawahi kusikia kwamba ktk bunge maalum la katiba, ccm ilikuwa inamtegemea Chenge ktk kuandika katiba pendekezwa?

..zaidi, alipokalia kiti cha mwenyekiti wa bunge, Chenge aliongoza vikao kwa busara na weledi kuliko wenyeviti wengine.

..unaweza kumchukia Chenge kwasababu ya tuhuma za ufisadi lakini ukweli utabaki kuwa ana uwezo mkubwa na uzoefu kuhusu masuala ya bunge na taratibu zake.
kumbuka ni team kikwete,, anawezakutumia uwezo wake kupitisha mamikatba ya ovyo wakati ni mwanasheria wa serikali
 
Mkuu kwani hujui kua alipigwa pini na JPM? Hata wakati wa kampeni ya ubunge bariadi aliitwa Jukwaani na JPM kwa mdomo wake akasema atamuunga mkono mgombea aliyepitishwa ila simply JPM hakutaka agombee tena.

Amechukua form kwa vile mzee wetu amekwenda ila angekuwepo asingesogelea!
Mzee wenu alienda, mama yetu yupo.
 
..Ni kwasababu ana uwezo mkubwa ktk masuala ya sheria na taratibu za bunge kuliko wana-ccm wengi mle bungeni.

..hujawahi kusikia kwamba ktk bunge maalum la katiba, ccm ilikuwa inamtegemea Chenge ktk kuandika katiba pendekezwa?

..zaidi, alipokalia kiti cha mwenyekiti wa bunge, Chenge aliongoza vikao kwa busara na weledi kuliko wenyeviti wengine.

..unaweza kumchukia Chenge kwasababu ya tuhuma za ufisadi lakini ukweli utabaki kuwa ana uwezo mkubwa na uzoefu kuhusu masuala ya bunge na taratibu zake.


Uzoefu wake utumike kama mshauli kwa watu wenye nguvu na Nchi kwa ujumla yeye apumzike awaachie vijana

Hatutaki speaker atakaekua anaenda India kutibiwa kila siku kwa kodi za watanzania kwa umri alionao
 
sasa tumeambiwa ndugai katumwa na sukuma gang sasa huyu chenge si ndio kindakindaki, sielewi kitu
 
Wasalaam Members!

Tangia nisikie Mh Chenge amechukua form ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nimejikuta nikitafakari sana kuhusu kutokurudi kwake Bungeni 2020 na hizi mbio zasasa za Uspika.

Mwaka 2020 kwenye kura za maoni Mh Andrew Chenge alishinda japokuwa jina lake lilikatwa kwemye kamati kuu hivo halikurudi kwaajili ya kugombea Ubunge na hakuonesha kama anashida na ilo.

Sasa kajitosa kuwania nafasi ya Uspika wa Bunge la JMT rasmi na habari zilizopo huyu mwamba anaenda kuchukua icho kiti, swali Je! Hayati Magufuli alimlazimisha astafu siasa? Bado Mh Chenge alitakani kuendelea kuwa Bungeni?
Watanzania wengi wameathirika mno kifikra, kimaono na hata kiakili kutokana na ghiliba, ulaghai na utapeli wa kisiasa uliofanywa hivi karibuni na wanasiasa. Hii ndiyo maana tunashuhudia anguko kubwa la kimaadili ambalo taifa letu linapitia kulinganisha na wakati mwingine wowote ule uliopita.

Tupo katika kizazi kilichojaa watu wachoyo na wabinafsi kupitiliza, kizazi chenye watu wenye kujifikiria wao wenyewe hata kama hawana sifa, ujuzi, maarifa, stadi za kazi, mafunzo, ujuzi, maadili, weledi ama elimu stahiki.

Imefikia kiwango watu wanadiriki kutafuta upenyo wa kuwaengua watu wenye sifa stahiki na kuwapa wemgine ajira si kwa vigezo stahiki bali eti tu kwa kuangalia umri ama jinsi. Hivi ni nani ambaye ameliloga taifa letu na wale wenye mamlaka? Hivi nani ambaye ametushawishi na kuona kuwa kigezo cha uanamke ama ujana ndicho pekee na muhimu kuweza kupata mtu stahiki katika nafasi za uanachama ama uongozi katika mihimili mikuu ya nchi?

Sibezi mtu kuwa na jinsi ya kike ama ujana kuwa hawezi hawezi kutenda mambo kwa ufanisi ili kuleta matokeo mkubwa. Bali hoja yangu ni kuwa vigezo vya kugombea nafasi husika ya ajira viwe wazi kutokana na unyeti wa majukumu. Ili uamuzi uwe rahisi kumpata yule ambaye anastahili, awe mzee au kijana, mwanaume au mwanamke, mwenye dini au mpagani na mengine yenye kufanana na hayo.


Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom