Wednesday, 27 April 2011 21:59
Ramadhan Semtawa
MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge amesema anasubiri taratibu za Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuona kama atapewa barua ya kumtaka ajivue nafasi zake za uongozi kwani hadi hivi sasa hajui kitu hicho.Kauli hiyo ya kwanza ya Chenge inakuja kipindi ambacho Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amekuwa akitangaza kwa nguvu mpango mkakati wa chama hicho kujivua gamba. Makada wa chama hicho wanaotakiwa kupima nafasi zao na uzito wa tuhuma zinazowakabili ni wale wanaohusishwa na kashfa mbalimbali zikiwamo za Richmond, Kagoda na wizi wa EPA.
Source: Mwananchi.
Kaazi kweli kweli, kumbe hata mafisadi hawajijui kama ni mafisadi, kazi ipo Tanzani. Ninani atakaye simama na kusema jamani natubu na ufisadi na uhacha? Kila mtu anajihesabu ni masafi. Labda ndo maana hata mkulu nae kajisahau, anataka mafisadi watoke ktk chama na yeye sijui atakuwa nani tena. Ni utata kweli.
Ramadhan Semtawa
MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge amesema anasubiri taratibu za Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuona kama atapewa barua ya kumtaka ajivue nafasi zake za uongozi kwani hadi hivi sasa hajui kitu hicho.Kauli hiyo ya kwanza ya Chenge inakuja kipindi ambacho Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amekuwa akitangaza kwa nguvu mpango mkakati wa chama hicho kujivua gamba. Makada wa chama hicho wanaotakiwa kupima nafasi zao na uzito wa tuhuma zinazowakabili ni wale wanaohusishwa na kashfa mbalimbali zikiwamo za Richmond, Kagoda na wizi wa EPA.
Source: Mwananchi.
Kaazi kweli kweli, kumbe hata mafisadi hawajijui kama ni mafisadi, kazi ipo Tanzani. Ninani atakaye simama na kusema jamani natubu na ufisadi na uhacha? Kila mtu anajihesabu ni masafi. Labda ndo maana hata mkulu nae kajisahau, anataka mafisadi watoke ktk chama na yeye sijui atakuwa nani tena. Ni utata kweli.