Wapendwa habari za majukumu ya kulijenga taifa;
Nikiwa katika pitapita zangu miezi mitatu iliyopita; nikikutana na mwanadada mrembo; nikawa nimekaa naye meza moja. Katika kuongea ongea akanipa historia ya maisha yake. Kikubwa ni kwamba aliolewa lakini tabia ya mume wake kumpa kichapo mara kwa mara aliamua kuomba uamisho kazini na kuhama toka kwenye mji anapoishi mume wake.
Kwa kuwa tuliendelea kuwa na mawasiliano; siku moja akanikaribisha nyumbani kwake; nikakuta amejiandaa kisawasawa; mambo ya kikubwa yakaendelea, jioni nikatoka naye out; haikuishia hapo tukaendelea kama wapenzi. Majuzi ananambia eti anataka anizalie mtoto na anitambulishe hadi kwa ndugu zake.
Nashindwa kumpa ok kwa kuwa mi tayari nina mke; na mume wake bado anambembeleza warudiane. Yeye anadai awezi kurudiana na huyo mwanaume kwa sababu ni mkorofi na anamdunda mara kwa mara; mtoto wa watu ana makovu hadi namuonea huruma. Naomba ushauri wako we unayesoma hii habari.
Ruksa ila usizae nae
Eh! we dada; mke wangu
namjali sana na anavutia kinomi; nikitaka kwenda kwenye mitoko rasmi
kama vile harusi ndo naenda na wife; nikitaka kwenda club kama vile
villa ndo naenda na huyo toto.
nampenda, namuheshimu ndo
maana mambo mengine nafanya tena kwa siri kubwa. ikitokea niko kwa
bi-mdogo; wife akapiga sm kwamba ananihitaji - naondoka haraka sana
nisijemkwaza mama watoto wangu.
Wapendwa habari za majukumu ya kulijenga taifa;
Nikiwa katika pitapita zangu miezi mitatu iliyopita; nikikutana na mwanadada mrembo; nikawa nimekaa naye meza moja. Katika kuongea ongea akanipa historia ya maisha yake. Kikubwa ni kwamba aliolewa lakini tabia ya mume wake kumpa kichapo mara kwa mara aliamua kuomba uamisho kazini na kuhama toka kwenye mji anapoishi mume wake.
Kwa kuwa tuliendelea kuwa na mawasiliano; siku moja akanikaribisha nyumbani kwake; nikakuta amejiandaa kisawasawa; mambo ya kikubwa yakaendelea, jioni nikatoka naye out; haikuishia hapo tukaendelea kama wapenzi. Majuzi ananambia eti anataka anizalie mtoto na anitambulishe hadi kwa ndugu zake.
Nashindwa kumpa ok kwa kuwa mi tayari nina mke; na mume wake bado anambembeleza warudiane. Yeye anadai awezi kurudiana na huyo mwanaume kwa sababu ni mkorofi na anamdunda mara kwa mara; mtoto wa watu ana makovu hadi namuonea huruma. Naomba ushauri wako we unayesoma hii habari.
Siyo wazo baya. Hivyo ndivyo alivyokuwa anafanya Kawawa. Alikuwa ana mke wake Sophia,halafu alikuwa na nyumba ndogo.
ABEEEE?!:confused3: Kumbe mshajiaminisha wenyewe eeh? Duuh!Ikitokea mimba ikaingia nitafanyaje?
Kuna post humu inaitwa "Ukitaka kuwa na nyumba ndogo- the guide " nadhani itakusaidia . Ila moja ya ushauri ulikuwa kuwa ,nyumba ndogo ikipata mtoto haiwi ndogo tena ,kwa hiyo utakuwa na nyumba kubwa mbili ,na usipokuwa makini unaweza jikuta ukitafuta nyumba ndogo tena.
Nakufaham vilivyo Tutor B bora uachane tuu na hiyo nyumba ndogo yako tarajiwa maana nilivo na speed gavana 0 mdomoni, hapa nlipo nawashwa kwenda kumwambia mkeo, na amenipigia kesho twende wote kwenye kiche party. Sasa sijui ntaweza kukaa muda wote huo bila kumwambia???
uwezi kumuoa kwasababu yule alikua na m2 wake na wewe unaye mke!licha ya ivyo yule mpnz wake anataka kurudiana nae uoni kua utajutia baadaye baada ya ugomvi utakao tokea?Coz ndoa siyo siri ila mnaweza kujifcha mkiwa mnafanya mapenzi! SIKUSHAURI HATA KIDOGO!kumwoa