Ushauri: Nimemuacha mume wangu yeye hataki kumuacha mkewe

george aloyce

JF-Expert Member
Aug 22, 2017
1,177
1,823
MAJUTO; NAISHIJE NIMEMUACHA MUME WANGU YEYE HATAKI KUMUACHA MKE WAKE!

Mimi ni mama wa watoto watatu, nimeolewa kwa miaka 12 sasa. Mwanzoni, mimi na mume wangu tulikuwa sawa sana. Alikuwa mfanyakazi wa shirika moja kubwa, lakini alifukuzwa kazi wakati suala la vyeti feki lilipokuja. Alikuwa akitumia cheti cha kaka yake, ambaye naye ni mfanyakazi wa serikali.

Hapo ndipo kila kitu kilibadilika. Akaanza kuwa mtu wa kukaa tu nyumbani. Ukimwambia kuhusu kutafuta kazi, anasubiri kazi za kuajiriwa, lakini ikawa ngumu. Mimi ni mfanyakazi wa shirika moja la kimataifa, na kipato changu ni kizuri. Nilikuwa nahudumia familia vizuri bila shida, ingawa kama mwanamke, unachoka kwani unafanya kila kitu wewe.

Mume hana kazi wala hata hela ya kula. Kwa kuwa mimi ndiye nilikuwa tegemeo la familia, ikawa shida zaidi.

Hapa ofisini kuna kaka mmoja tunayefanya naye kazi. Alikuwa rafiki yangu sana. Mwanzoni tulikuwa tunaheshimiana kama kaka na dada, lakini baada ya kupata matatizo, nikajikuta tuko karibu zaidi.

Ikafika kipindi nilimwambia mambo ya ndoa yangu, akanishauri na kunipa moyo. Katika kuongea ongea, nikajikuta ninaingia naye kwenye mahusiano.

Nampenda kwa sababu ni mtu anayejali. Huna haja ya kumuomba hela. Akikuona una shida, anakusaidia. Anafanya vitu vidogo vidogo kama kuwachukua watoto wangu shuleni, kututoa out, bila hata ya kullalamika.

Kweli nilikuwa nafurahia. Akanisifia kuwa nampa furaha na akiwa kwangu anahisi huru kufanya chochote.

Mahusiano yaliendelea. Kipindi hicho nilikuwa na watoto wawili, hivyo akaniambia kuwa yeye anataka mtoto mwingine. Aliniambia kuwa mke wake ana matatizo ya uzazi. Ana watoto watatu wote wakiume, na kwa kuwa watoto wote mke wake alipata kwa upasuaji, aliambiwa hakuna kuzaa tena.

Basi nilimwelewa, na kwa kuwa ndiye akinihudumia kwa kiasi kikubwa, mume wangu hana kazi, nilihangaika kutafuta mtoto. Tulienda kuonana na daktari ili kutushauri kuhusu kupata mtoto wa kike. Kweli nilibeba mimba. Wakati huo mimi na mume wangu tulikuwa tunaishi pamoja, lakini baada ya kumpata huyu mwanaume, ni kama nilimsusa mume wangu. Awepo sijali, nikirudi nyumbani sihangaiki na chochote.

Kwa kuwa nilikuwa na binti wa kazi, sasa kila kitu ndiyo alikuwa anafanya yeye. Ilifikia kipindi hata tendo la ndoa sitaki kufanya naye. Akinigusa nahisi kutapika. Nilipojua nimebeba mimba ya yule kaka ndiyo nililazimisha nikafanya mapenzi na mume wangu ili tu asinisumbue, ajue mimba ni yake. Kweli mpaka najifungua alikuwa akiamini kuwa mimba ni yake.

Baada ya kujifungua, kuna kitu kilitokea. Siku moja nilikuwa naangalia simu ya mwanaume wangu mpya, kwani tulishakuwa kama mke na mume, niliona picha za mtoto mdogo kama miezi miwili tu, yaani ni kama kalingana na mtoto wangu.

Nilimuuliza huyu ni nani, akanambia ni mtoto wa dada yake, mke wake kamtumia kamtumia kwani kaenda kumsaidia dada yake uzazi. Nilishtuka, lakini kwa mahaba aliyonionyesha na vitu nilivyokuwa nikifanya naye, nilijua hawezi kunisaliti. Nilijua hata mke wake hampendi kama mimi.

Nikurudishe nyuma kidogo. Kipindi tunaanza mahusiano, aliniambia kuwa mke wake ni mshamba sana, kuna vitu hampatii, hivyo hafurahii ndoa. Aliniambia yeye huko nyuma alikuwa na mahusiano mengine. Kuna mwanamke alishawahi kumpa mapenzi kinyume na maumbile, na ameongea na mke wake lakini hataki kumpa.

Sikushtuka sana kwani kabla ya kuingia kwenye ndoa, kuna mwanaume nilikuwa naye, mume wa mtu, ambaye alikuwa ananifanyia hivyo hivyo. Ingawa baada ya ndoa niliacha na nilishaapa kutokufanya tena, ila aliponiambia na kunionyesha kua ananipenda, sikuona shida kumtunuku. Hivyo tulioshazoea kufanya mapenzi kinyume na maumbile, anayapenda sana.

Sasa baada ya kuona yule mtoto, nilishtuka kidogo. Kwa kuwa alishaniambia hakutani na mke wake kimwili, nilichukua namba ya mke wake, nikasajili namba nyingine kabisa kisha nikamtafuta mke wake na kujifanya namkumbuka tulisoma naye chuo ili tu asave namba yangu nione anapost nini kwenye status.

Kweli alisave ile namba akawa anapost status, naona ndiyo nikajua kuwa hakua mtoto wa dada yake bali alikuwa ni mtoto wa mwanaume wangu kwani mke wake alikua anampost mtoto mara kwa mara. Nilimuuliza, ndiyo akaomba msamaha kuniambia kuwa ilikuwa ni bahati mbaya kwani mwanamke alimlazimisha mpaka akafanya naye mapenzi, lakini bado ananipenda nimpe muda mtoto wao kifikisha mwaka atamuacha.

Kweli niliumia sana kwani mimi kwangu, ingawa mume wangu bado niko naye, nimemuonyesha dharau sana, nimemfanyia kila aina ya kituko na kumtukana sana, ila anavumilia kwa kuwa najua hana kazi na hana pakwenda.

Kweli nilivumilia, lakini baada ya miezi kama sita hivi, mwanaume alibadilika. Hakuwa anataka kupokea simu usiku, hataki kitu chochote, anakua makini kuhusu kuonana. Kuna nyumba tulikuwa tunajenga, na kwa kuwa wote ni wafanyakazi, kila mmoja alichangia. Hiyo ni nyumba ambayo mwanzoni kiwanja nilimkuta nacho lakini hakikuwa na kitu, kuanzia msingi mpaka nyumba imekamilika niko naye.

Mpaka fanicha za ndani nilichagua mimi ila baadaye ndiyo nasikia anaishi na mke wake, yaani kahamia bila mimi. Nilipomuuliza, akamniambia nifuatilie kwanza talaka kwa mume wangu ndiyo nije tuishi. Aliniambia hawezi kuishi kuacha nyumba tupu itadondoka ndiyo maanaa kaamua kuishi na mkewe.

Niliumia sana. Mwisho niliamua kumtafuta mke wake. Nilimpigia simu kwa staha kama mwanamke mwenzangu na kumwambia kila kitu kuhusu mume wake, nikisema nina mtoto. Alichonijibu ni: "Ninajua kila kitu. Mume wangu alishaniambia kuhusu wewe na ujinga mliokuwa mnafanya. Kajutia na nimemsamehe!"

Nilirudi kwa mwanaume yule kumuuliza. Aliniambia nisimsikilize mke wake kwani alimwambia maneno hayo ili kumzuga. Alisisitiza kuwa kuhusu kuoana na mimi na lazima atamuacha mke wake.

Niliendelea kuvumilia. Mwezi uliofuata, mume wangu alipata kazi. Rafiki yake alimuunganishia kazi mbeya huko kusimamia mgodi. Kwa kuwa ni kitu anachokijua vizuri, hata hawakuuliza kuhusu vyeti. Sasa hivi ana kazi nzuri na kipato kizuri.

Baada ya kuona mume wangu mambo yamebadilika, niliamua kujishusha kurudi kwake ili kulea familia kwani kule niliona kama ananidanganya.. Aliniambia hakuna shida, anaweza kunisamehe. Lakini, kwa kuwa kuna mambo ambayo mimi nilikuwa nashirikisha familia, alitaka turudi nyumbani tuitishe kikao ili tuongee kama ukoo.

Kweli tuliondoka mpaka kwetu. Watoto wakubwa waliniambia niwaache kwani wako shule. Mwezi uliopita tukaenda kwetu kuongea. Aliniambia wazazi wake nao watakuwepo. Lakini tulipofika, alikuwa ameshaandika talaka na kunikabidhi kwa wazazi wangu, akisema kuwa hanitaki kama mke wake na niendelee na maisha yangu.

Nilichanganyikiwa. Nilijua mambo yameshaisha. Aliwaambia wazazi wangu kuwa ameniacha kwa talaka tatu, hanihitaji kama mke wake, na niendelee na maisha yangu. Nilianza kujiuliza kama nimwambie kuwa nimemsaidia na kumvumilia kipindi hana kazi. Sasa hivi ana kazi ndiyo ananiacha, lakini alitoa kila kitu.

Kwanza alitoa kadi ya kliniki ya mtoto wetu mdogo ambapo nilikuwa na kadi mbili nikiamini hajui, ila alitoa ile ambayo ina majina ya mume wa mtu. Akatoa na screenshot za SMS zote nilizokuwa nachat na huyo mwanaume, nikimsifia namna ambavyo ananifanyia mapenzi kinyume na maumbile, namna ninavyopanga kumuacha mume wangu na kila kitu.

Kwa akili zangu nilikuwa naamini mume wangu hashiki simu yangu na kweli alikuwa hahangaiiki nayo, kumbe alikuwa kaiunganisha na kompyuta yake kila kitu ninachochat anaona. Niliishiwa nguvu nikazimia kwani ilikuwa ni aibu sana, ila nazinduka mume wangu kashaondoka ananiambia hanitaki tena na kuhusu watoto wale wakubwa atakaa nao, nibaki na mwanangu.

Kwa aibu niliondoka nyumbani kwani alitoa kila kitu mbele ya baba yangu, iliniuma sana kwani kila siku mimi ndiyo nilikuwa namlalamikia mume wangu. Nilirudi nikalazimika kuchukua likizo ambayo sasa inakaribia kuisha, ila siku inakuja narudi kazini, nafanya nini na huyu mwanaume, ashajua nimeachwa na mume wangu na hataki kusikia chochote kuhusu mimi.

Kuhusu hela zangu za kujenga ananiambia kwa sasa hana, atanilipa taratibu, kama siwezi niende mahakamani, ananijibu jeuri lakini mimi shida si pesa, shida ni kurudiana naye, kanipotezea muda. Kanifanya kumdharau mume wangu, kanirudisha kwenye ushetani ambao sasa hivi siwezi kuacha, nishaurini naishi vipi baada ya hapa, mume wangu hataki hata niwaone wanangu wakubwa na sijui nishi vipi.
1705827298145.jpg
 
MAJUTO; NAISHIJE NIMEMUACHA MUME WANGU YEYE HATAKI KUMUACHA MKE WAKE!

Mimi ni mama wa watoto watatu, nimeolewa kwa miaka 12 sasa. Mwanzoni, mimi na mume wangu tulikuwa sawa sana. Alikuwa mfanyakazi wa shirika moja kubwa, lakini alifukuzwa kazi wakati suala la vyeti feki lilipokuja. Alikuwa akitumia cheti cha kaka yake, ambaye naye ni mfanyakazi wa serikali.

Hapo ndipo kila kitu kilibadilika. Akaanza kuwa mtu wa kukaa tu nyumbani. Ukimwambia kuhusu kutafuta kazi, anasubiri kazi za kuajiriwa, lakini ikawa ngumu. Mimi ni mfanyakazi wa shirika moja la kimataifa, na kipato changu ni kizuri. Nilikuwa nahudumia familia vizuri bila shida, ingawa kama mwanamke, unachoka kwani unafanya kila kitu wewe.

Mume hana kazi wala hata hela ya kula. Kwa kuwa mimi ndiye nilikuwa tegemeo la familia, ikawa shida zaidi.

Hapa ofisini kuna kaka mmoja tunayefanya naye kazi. Alikuwa rafiki yangu sana. Mwanzoni tulikuwa tunaheshimiana kama kaka na dada, lakini baada ya kupata matatizo, nikajikuta tuko karibu zaidi.

Ikafika kipindi nilimwambia mambo ya ndoa yangu, akanishauri na kunipa moyo. Katika kuongea ongea, nikajikuta ninaingia naye kwenye mahusiano.

Nampenda kwa sababu ni mtu anayejali. Huna haja ya kumuomba hela. Akikuona una shida, anakusaidia. Anafanya vitu vidogo vidogo kama kuwachukua watoto wangu shuleni, kututoa out, bila hata ya kullalamika.

Kweli nilikuwa nafurahia. Akanisifia kuwa nampa furaha na akiwa kwangu anahisi huru kufanya chochote.

Mahusiano yaliendelea. Kipindi hicho nilikuwa na watoto wawili, hivyo akaniambia kuwa yeye anataka mtoto mwingine. Aliniambia kuwa mke wake ana matatizo ya uzazi. Ana watoto watatu wote wakiume, na kwa kuwa watoto wote mke wake alipata kwa upasuaji, aliambiwa hakuna kuzaa tena.

Basi nilimwelewa, na kwa kuwa ndiye akinihudumia kwa kiasi kikubwa, mume wangu hana kazi, nilihangaika kutafuta mtoto. Tulienda kuonana na daktari ili kutushauri kuhusu kupata mtoto wa kike. Kweli nilibeba mimba. Wakati huo mimi na mume wangu tulikuwa tunaishi pamoja, lakini baada ya kumpata huyu mwanaume, ni kama nilimsusa mume wangu. Awepo sijali, nikirudi nyumbani sihangaiki na chochote.

Kwa kuwa nilikuwa na binti wa kazi, sasa kila kitu ndiyo alikuwa anafanya yeye. Ilifikia kipindi hata tendo la ndoa sitaki kufanya naye. Akinigusa nahisi kutapika. Nilipojua nimebeba mimba ya yule kaka ndiyo nililazimisha nikafanya mapenzi na mume wangu ili tu asinisumbue, ajue mimba ni yake. Kweli mpaka najifungua alikuwa akiamini kuwa mimba ni yake.

Baada ya kujifungua, kuna kitu kilitokea. Siku moja nilikuwa naangalia simu ya mwanaume wangu mpya, kwani tulishakuwa kama mke na mume, niliona picha za mtoto mdogo kama miezi miwili tu, yaani ni kama kalingana na mtoto wangu.

Nilimuuliza huyu ni nani, akanambia ni mtoto wa dada yake, mke wake kamtumia kamtumia kwani kaenda kumsaidia dada yake uzazi. Nilishtuka, lakini kwa mahaba aliyonionyesha na vitu nilivyokuwa nikifanya naye, nilijua hawezi kunisaliti. Nilijua hata mke wake hampendi kama mimi.

Nikurudishe nyuma kidogo. Kipindi tunaanza mahusiano, aliniambia kuwa mke wake ni mshamba sana, kuna vitu hampatii, hivyo hafurahii ndoa. Aliniambia yeye huko nyuma alikuwa na mahusiano mengine. Kuna mwanamke alishawahi kumpa mapenzi kinyume na maumbile, na ameongea na mke wake lakini hataki kumpa.

Sikushtuka sana kwani kabla ya kuingia kwenye ndoa, kuna mwanaume nilikuwa naye, mume wa mtu, ambaye alikuwa ananifanyia hivyo hivyo. Ingawa baada ya ndoa niliacha na nilishaapa kutokufanya tena, ila aliponiambia na kunionyesha kua ananipenda, sikuona shida kumtunuku. Hivyo tulioshazoea kufanya mapenzi kinyume na maumbile, anayapenda sana.

Sasa baada ya kuona yule mtoto, nilishtuka kidogo. Kwa kuwa alishaniambia hakutani na mke wake kimwili, nilichukua namba ya mke wake, nikasajili namba nyingine kabisa kisha nikamtafuta mke wake na kujifanya namkumbuka tulisoma naye chuo ili tu asave namba yangu nione anapost nini kwenye status.

Kweli alisave ile namba akawa anapost status, naona ndiyo nikajua kuwa hakua mtoto wa dada yake bali alikuwa ni mtoto wa mwanaume wangu kwani mke wake alikua anampost mtoto mara kwa mara. Nilimuuliza, ndiyo akaomba msamaha kuniambia kuwa ilikuwa ni bahati mbaya kwani mwanamke alimlazimisha mpaka akafanya naye mapenzi, lakini bado ananipenda nimpe muda mtoto wao kifikisha mwaka atamuacha.

Kweli niliumia sana kwani mimi kwangu, ingawa mume wangu bado niko naye, nimemuonyesha dharau sana, nimemfanyia kila aina ya kituko na kumtukana sana, ila anavumilia kwa kuwa najua hana kazi na hana pakwenda.

Kweli nilivumilia, lakini baada ya miezi kama sita hivi, mwanaume alibadilika. Hakuwa anataka kupokea simu usiku, hataki kitu chochote, anakua makini kuhusu kuonana. Kuna nyumba tulikuwa tunajenga, na kwa kuwa wote ni wafanyakazi, kila mmoja alichangia. Hiyo ni nyumba ambayo mwanzoni kiwanja nilimkuta nacho lakini hakikuwa na kitu, kuanzia msingi mpaka nyumba imekamilika niko naye.

Mpaka fanicha za ndani nilichagua mimi ila baadaye ndiyo nasikia anaishi na mke wake, yaani kahamia bila mimi. Nilipomuuliza, akamniambia nifuatilie kwanza talaka kwa mume wangu ndiyo nije tuishi. Aliniambia hawezi kuishi kuacha nyumba tupu itadondoka ndiyo maanaa kaamua kuishi na mkewe.

Niliumia sana. Mwisho niliamua kumtafuta mke wake. Nilimpigia simu kwa staha kama mwanamke mwenzangu na kumwambia kila kitu kuhusu mume wake, nikisema nina mtoto. Alichonijibu ni: "Ninajua kila kitu. Mume wangu alishaniambia kuhusu wewe na ujinga mliokuwa mnafanya. Kajutia na nimemsamehe!"

Nilirudi kwa mwanaume yule kumuuliza. Aliniambia nisimsikilize mke wake kwani alimwambia maneno hayo ili kumzuga. Alisisitiza kuwa kuhusu kuoana na mimi na lazima atamuacha mke wake.

Niliendelea kuvumilia. Mwezi uliofuata, mume wangu alipata kazi. Rafiki yake alimuunganishia kazi mbeya huko kusimamia mgodi. Kwa kuwa ni kitu anachokijua vizuri, hata hawakuuliza kuhusu vyeti. Sasa hivi ana kazi nzuri na kipato kizuri.

Baada ya kuona mume wangu mambo yamebadilika, niliamua kujishusha kurudi kwake ili kulea familia kwani kule niliona kama ananidanganya.. Aliniambia hakuna shida, anaweza kunisamehe. Lakini, kwa kuwa kuna mambo ambayo mimi nilikuwa nashirikisha familia, alitaka turudi nyumbani tuitishe kikao ili tuongee kama ukoo.

Kweli tuliondoka mpaka kwetu. Watoto wakubwa waliniambia niwaache kwani wako shule. Mwezi uliopita tukaenda kwetu kuongea. Aliniambia wazazi wake nao watakuwepo. Lakini tulipofika, alikuwa ameshaandika talaka na kunikabidhi kwa wazazi wangu, akisema kuwa hanitaki kama mke wake na niendelee na maisha yangu.

Nilichanganyikiwa. Nilijua mambo yameshaisha. Aliwaambia wazazi wangu kuwa ameniacha kwa talaka tatu, hanihitaji kama mke wake, na niendelee na maisha yangu. Nilianza kujiuliza kama nimwambie kuwa nimemsaidia na kumvumilia kipindi hana kazi. Sasa hivi ana kazi ndiyo ananiacha, lakini alitoa kila kitu.

Kwanza alitoa kadi ya kliniki ya mtoto wetu mdogo ambapo nilikuwa na kadi mbili nikiamini hajui, ila alitoa ile ambayo ina majina ya mume wa mtu. Akatoa na screenshot za SMS zote nilizokuwa nachat na huyo mwanaume, nikimsifia namna ambavyo ananifanyia mapenzi kinyume na maumbile, namna ninavyopanga kumuacha mume wangu na kila kitu.

Kwa akili zangu nilikuwa naamini mume wangu hashiki simu yangu na kweli alikuwa hahangaiiki nayo, kumbe alikuwa kaiunganisha na kompyuta yake kila kitu ninachochat anaona. Niliishiwa nguvu nikazimia kwani ilikuwa ni aibu sana, ila nazinduka mume wangu kashaondoka ananiambia hanitaki tena na kuhusu watoto wale wakubwa atakaa nao, nibaki na mwanangu.

Kwa aibu niliondoka nyumbani kwani alitoa kila kitu mbele ya baba yangu, iliniuma sana kwani kila siku mimi ndiyo nilikuwa namlalamikia mume wangu. Nilirudi nikalazimika kuchukua likizo ambayo sasa inakaribia kuisha, ila siku inakuja narudi kazini, nafanya nini na huyu mwanaume, ashajua nimeachwa na mume wangu na hataki kusikia chochote kuhusu mimi.

Kuhusu hela zangu za kujenga ananiambia kwa sasa hana, atanilipa taratibu, kama siwezi niende mahakamani, ananijibu jeuri lakini mimi shida si pesa, shida ni kurudiana naye, kanipotezea muda. Kanifanya kumdharau mume wangu, kanirudisha kwenye ushetani ambao sasa hivi siwezi kuacha, nishaurini naishi vipi baada ya hapa, mume wangu hataki hata niwaone wanangu wakubwa na sijui nishi vipi.View attachment 2893924
Hizi stori za mapenzi ya kufikirikika tu.........sio reality.
 
MAJUTO; NAISHIJE NIMEMUACHA MUME WANGU YEYE HATAKI KUMUACHA MKE WAKE!

Mimi ni mama wa watoto watatu, nimeolewa kwa miaka 12 sasa. Mwanzoni, mimi na mume wangu tulikuwa sawa sana. Alikuwa mfanyakazi wa shirika moja kubwa, lakini alifukuzwa kazi wakati suala la vyeti feki lilipokuja. Alikuwa akitumia cheti cha kaka yake, ambaye naye ni mfanyakazi wa serikali.

Hapo ndipo kila kitu kilibadilika. Akaanza kuwa mtu wa kukaa tu nyumbani. Ukimwambia kuhusu kutafuta kazi, anasubiri kazi za kuajiriwa, lakini ikawa ngumu. Mimi ni mfanyakazi wa shirika moja la kimataifa, na kipato changu ni kizuri. Nilikuwa nahudumia familia vizuri bila shida, ingawa kama mwanamke, unachoka kwani unafanya kila kitu wewe.

Mume hana kazi wala hata hela ya kula. Kwa kuwa mimi ndiye nilikuwa tegemeo la familia, ikawa shida zaidi.

Hapa ofisini kuna kaka mmoja tunayefanya naye kazi. Alikuwa rafiki yangu sana. Mwanzoni tulikuwa tunaheshimiana kama kaka na dada, lakini baada ya kupata matatizo, nikajikuta tuko karibu zaidi.

Ikafika kipindi nilimwambia mambo ya ndoa yangu, akanishauri na kunipa moyo. Katika kuongea ongea, nikajikuta ninaingia naye kwenye mahusiano.

Nampenda kwa sababu ni mtu anayejali. Huna haja ya kumuomba hela. Akikuona una shida, anakusaidia. Anafanya vitu vidogo vidogo kama kuwachukua watoto wangu shuleni, kututoa out, bila hata ya kullalamika.

Kweli nilikuwa nafurahia. Akanisifia kuwa nampa furaha na akiwa kwangu anahisi huru kufanya chochote.

Mahusiano yaliendelea. Kipindi hicho nilikuwa na watoto wawili, hivyo akaniambia kuwa yeye anataka mtoto mwingine. Aliniambia kuwa mke wake ana matatizo ya uzazi. Ana watoto watatu wote wakiume, na kwa kuwa watoto wote mke wake alipata kwa upasuaji, aliambiwa hakuna kuzaa tena.

Basi nilimwelewa, na kwa kuwa ndiye akinihudumia kwa kiasi kikubwa, mume wangu hana kazi, nilihangaika kutafuta mtoto. Tulienda kuonana na daktari ili kutushauri kuhusu kupata mtoto wa kike. Kweli nilibeba mimba. Wakati huo mimi na mume wangu tulikuwa tunaishi pamoja, lakini baada ya kumpata huyu mwanaume, ni kama nilimsusa mume wangu. Awepo sijali, nikirudi nyumbani sihangaiki na chochote.

Kwa kuwa nilikuwa na binti wa kazi, sasa kila kitu ndiyo alikuwa anafanya yeye. Ilifikia kipindi hata tendo la ndoa sitaki kufanya naye. Akinigusa nahisi kutapika. Nilipojua nimebeba mimba ya yule kaka ndiyo nililazimisha nikafanya mapenzi na mume wangu ili tu asinisumbue, ajue mimba ni yake. Kweli mpaka najifungua alikuwa akiamini kuwa mimba ni yake.

Baada ya kujifungua, kuna kitu kilitokea. Siku moja nilikuwa naangalia simu ya mwanaume wangu mpya, kwani tulishakuwa kama mke na mume, niliona picha za mtoto mdogo kama miezi miwili tu, yaani ni kama kalingana na mtoto wangu.

Nilimuuliza huyu ni nani, akanambia ni mtoto wa dada yake, mke wake kamtumia kamtumia kwani kaenda kumsaidia dada yake uzazi. Nilishtuka, lakini kwa mahaba aliyonionyesha na vitu nilivyokuwa nikifanya naye, nilijua hawezi kunisaliti. Nilijua hata mke wake hampendi kama mimi.

Nikurudishe nyuma kidogo. Kipindi tunaanza mahusiano, aliniambia kuwa mke wake ni mshamba sana, kuna vitu hampatii, hivyo hafurahii ndoa. Aliniambia yeye huko nyuma alikuwa na mahusiano mengine. Kuna mwanamke alishawahi kumpa mapenzi kinyume na maumbile, na ameongea na mke wake lakini hataki kumpa.

Sikushtuka sana kwani kabla ya kuingia kwenye ndoa, kuna mwanaume nilikuwa naye, mume wa mtu, ambaye alikuwa ananifanyia hivyo hivyo. Ingawa baada ya ndoa niliacha na nilishaapa kutokufanya tena, ila aliponiambia na kunionyesha kua ananipenda, sikuona shida kumtunuku. Hivyo tulioshazoea kufanya mapenzi kinyume na maumbile, anayapenda sana.

Sasa baada ya kuona yule mtoto, nilishtuka kidogo. Kwa kuwa alishaniambia hakutani na mke wake kimwili, nilichukua namba ya mke wake, nikasajili namba nyingine kabisa kisha nikamtafuta mke wake na kujifanya namkumbuka tulisoma naye chuo ili tu asave namba yangu nione anapost nini kwenye status.

Kweli alisave ile namba akawa anapost status, naona ndiyo nikajua kuwa hakua mtoto wa dada yake bali alikuwa ni mtoto wa mwanaume wangu kwani mke wake alikua anampost mtoto mara kwa mara. Nilimuuliza, ndiyo akaomba msamaha kuniambia kuwa ilikuwa ni bahati mbaya kwani mwanamke alimlazimisha mpaka akafanya naye mapenzi, lakini bado ananipenda nimpe muda mtoto wao kifikisha mwaka atamuacha.

Kweli niliumia sana kwani mimi kwangu, ingawa mume wangu bado niko naye, nimemuonyesha dharau sana, nimemfanyia kila aina ya kituko na kumtukana sana, ila anavumilia kwa kuwa najua hana kazi na hana pakwenda.

Kweli nilivumilia, lakini baada ya miezi kama sita hivi, mwanaume alibadilika. Hakuwa anataka kupokea simu usiku, hataki kitu chochote, anakua makini kuhusu kuonana. Kuna nyumba tulikuwa tunajenga, na kwa kuwa wote ni wafanyakazi, kila mmoja alichangia. Hiyo ni nyumba ambayo mwanzoni kiwanja nilimkuta nacho lakini hakikuwa na kitu, kuanzia msingi mpaka nyumba imekamilika niko naye.

Mpaka fanicha za ndani nilichagua mimi ila baadaye ndiyo nasikia anaishi na mke wake, yaani kahamia bila mimi. Nilipomuuliza, akamniambia nifuatilie kwanza talaka kwa mume wangu ndiyo nije tuishi. Aliniambia hawezi kuishi kuacha nyumba tupu itadondoka ndiyo maanaa kaamua kuishi na mkewe.

Niliumia sana. Mwisho niliamua kumtafuta mke wake. Nilimpigia simu kwa staha kama mwanamke mwenzangu na kumwambia kila kitu kuhusu mume wake, nikisema nina mtoto. Alichonijibu ni: "Ninajua kila kitu. Mume wangu alishaniambia kuhusu wewe na ujinga mliokuwa mnafanya. Kajutia na nimemsamehe!"

Nilirudi kwa mwanaume yule kumuuliza. Aliniambia nisimsikilize mke wake kwani alimwambia maneno hayo ili kumzuga. Alisisitiza kuwa kuhusu kuoana na mimi na lazima atamuacha mke wake.

Niliendelea kuvumilia. Mwezi uliofuata, mume wangu alipata kazi. Rafiki yake alimuunganishia kazi mbeya huko kusimamia mgodi. Kwa kuwa ni kitu anachokijua vizuri, hata hawakuuliza kuhusu vyeti. Sasa hivi ana kazi nzuri na kipato kizuri.

Baada ya kuona mume wangu mambo yamebadilika, niliamua kujishusha kurudi kwake ili kulea familia kwani kule niliona kama ananidanganya.. Aliniambia hakuna shida, anaweza kunisamehe. Lakini, kwa kuwa kuna mambo ambayo mimi nilikuwa nashirikisha familia, alitaka turudi nyumbani tuitishe kikao ili tuongee kama ukoo.

Kweli tuliondoka mpaka kwetu. Watoto wakubwa waliniambia niwaache kwani wako shule. Mwezi uliopita tukaenda kwetu kuongea. Aliniambia wazazi wake nao watakuwepo. Lakini tulipofika, alikuwa ameshaandika talaka na kunikabidhi kwa wazazi wangu, akisema kuwa hanitaki kama mke wake na niendelee na maisha yangu.

Nilichanganyikiwa. Nilijua mambo yameshaisha. Aliwaambia wazazi wangu kuwa ameniacha kwa talaka tatu, hanihitaji kama mke wake, na niendelee na maisha yangu. Nilianza kujiuliza kama nimwambie kuwa nimemsaidia na kumvumilia kipindi hana kazi. Sasa hivi ana kazi ndiyo ananiacha, lakini alitoa kila kitu.

Kwanza alitoa kadi ya kliniki ya mtoto wetu mdogo ambapo nilikuwa na kadi mbili nikiamini hajui, ila alitoa ile ambayo ina majina ya mume wa mtu. Akatoa na screenshot za SMS zote nilizokuwa nachat na huyo mwanaume, nikimsifia namna ambavyo ananifanyia mapenzi kinyume na maumbile, namna ninavyopanga kumuacha mume wangu na kila kitu.

Kwa akili zangu nilikuwa naamini mume wangu hashiki simu yangu na kweli alikuwa hahangaiiki nayo, kumbe alikuwa kaiunganisha na kompyuta yake kila kitu ninachochat anaona. Niliishiwa nguvu nikazimia kwani ilikuwa ni aibu sana, ila nazinduka mume wangu kashaondoka ananiambia hanitaki tena na kuhusu watoto wale wakubwa atakaa nao, nibaki na mwanangu.

Kwa aibu niliondoka nyumbani kwani alitoa kila kitu mbele ya baba yangu, iliniuma sana kwani kila siku mimi ndiyo nilikuwa namlalamikia mume wangu. Nilirudi nikalazimika kuchukua likizo ambayo sasa inakaribia kuisha, ila siku inakuja narudi kazini, nafanya nini na huyu mwanaume, ashajua nimeachwa na mume wangu na hataki kusikia chochote kuhusu mimi.

Kuhusu hela zangu za kujenga ananiambia kwa sasa hana, atanilipa taratibu, kama siwezi niende mahakamani, ananijibu jeuri lakini mimi shida si pesa, shida ni kurudiana naye, kanipotezea muda. Kanifanya kumdharau mume wangu, kanirudisha kwenye ushetani ambao sasa hivi siwezi kuacha, nishaurini naishi vipi baada ya hapa, mume wangu hataki hata niwaone wanangu wakubwa na sijui nishi vipi.View attachment 2893924
Sema Joji unaipenda sana hiyo picha ya huyo manzi hapo
 
MAJUTO; NAISHIJE NIMEMUACHA MUME WANGU YEYE HATAKI KUMUACHA MKE WAKE!

Mimi ni mama wa watoto watatu, nimeolewa kwa miaka 12 sasa. Mwanzoni, mimi na mume wangu tulikuwa sawa sana. Alikuwa mfanyakazi wa shirika moja kubwa, lakini alifukuzwa kazi wakati suala la vyeti feki lilipokuja. Alikuwa akitumia cheti cha kaka yake, ambaye naye ni mfanyakazi wa serikali.

Hapo ndipo kila kitu kilibadilika. Akaanza kuwa mtu wa kukaa tu nyumbani. Ukimwambia kuhusu kutafuta kazi, anasubiri kazi za kuajiriwa, lakini ikawa ngumu. Mimi ni mfanyakazi wa shirika moja la kimataifa, na kipato changu ni kizuri. Nilikuwa nahudumia familia vizuri bila shida, ingawa kama mwanamke, unachoka kwani unafanya kila kitu wewe.

Mume hana kazi wala hata hela ya kula. Kwa kuwa mimi ndiye nilikuwa tegemeo la familia, ikawa shida zaidi.

Hapa ofisini kuna kaka mmoja tunayefanya naye kazi. Alikuwa rafiki yangu sana. Mwanzoni tulikuwa tunaheshimiana kama kaka na dada, lakini baada ya kupata matatizo, nikajikuta tuko karibu zaidi.

Ikafika kipindi nilimwambia mambo ya ndoa yangu, akanishauri na kunipa moyo. Katika kuongea ongea, nikajikuta ninaingia naye kwenye mahusiano.

Nampenda kwa sababu ni mtu anayejali. Huna haja ya kumuomba hela. Akikuona una shida, anakusaidia. Anafanya vitu vidogo vidogo kama kuwachukua watoto wangu shuleni, kututoa out, bila hata ya kullalamika.

Kweli nilikuwa nafurahia. Akanisifia kuwa nampa furaha na akiwa kwangu anahisi huru kufanya chochote.

Mahusiano yaliendelea. Kipindi hicho nilikuwa na watoto wawili, hivyo akaniambia kuwa yeye anataka mtoto mwingine. Aliniambia kuwa mke wake ana matatizo ya uzazi. Ana watoto watatu wote wakiume, na kwa kuwa watoto wote mke wake alipata kwa upasuaji, aliambiwa hakuna kuzaa tena.

Basi nilimwelewa, na kwa kuwa ndiye akinihudumia kwa kiasi kikubwa, mume wangu hana kazi, nilihangaika kutafuta mtoto. Tulienda kuonana na daktari ili kutushauri kuhusu kupata mtoto wa kike. Kweli nilibeba mimba. Wakati huo mimi na mume wangu tulikuwa tunaishi pamoja, lakini baada ya kumpata huyu mwanaume, ni kama nilimsusa mume wangu. Awepo sijali, nikirudi nyumbani sihangaiki na chochote.

Kwa kuwa nilikuwa na binti wa kazi, sasa kila kitu ndiyo alikuwa anafanya yeye. Ilifikia kipindi hata tendo la ndoa sitaki kufanya naye. Akinigusa nahisi kutapika. Nilipojua nimebeba mimba ya yule kaka ndiyo nililazimisha nikafanya mapenzi na mume wangu ili tu asinisumbue, ajue mimba ni yake. Kweli mpaka najifungua alikuwa akiamini kuwa mimba ni yake.

Baada ya kujifungua, kuna kitu kilitokea. Siku moja nilikuwa naangalia simu ya mwanaume wangu mpya, kwani tulishakuwa kama mke na mume, niliona picha za mtoto mdogo kama miezi miwili tu, yaani ni kama kalingana na mtoto wangu.

Nilimuuliza huyu ni nani, akanambia ni mtoto wa dada yake, mke wake kamtumia kamtumia kwani kaenda kumsaidia dada yake uzazi. Nilishtuka, lakini kwa mahaba aliyonionyesha na vitu nilivyokuwa nikifanya naye, nilijua hawezi kunisaliti. Nilijua hata mke wake hampendi kama mimi.

Nikurudishe nyuma kidogo. Kipindi tunaanza mahusiano, aliniambia kuwa mke wake ni mshamba sana, kuna vitu hampatii, hivyo hafurahii ndoa. Aliniambia yeye huko nyuma alikuwa na mahusiano mengine. Kuna mwanamke alishawahi kumpa mapenzi kinyume na maumbile, na ameongea na mke wake lakini hataki kumpa.

Sikushtuka sana kwani kabla ya kuingia kwenye ndoa, kuna mwanaume nilikuwa naye, mume wa mtu, ambaye alikuwa ananifanyia hivyo hivyo. Ingawa baada ya ndoa niliacha na nilishaapa kutokufanya tena, ila aliponiambia na kunionyesha kua ananipenda, sikuona shida kumtunuku. Hivyo tulioshazoea kufanya mapenzi kinyume na maumbile, anayapenda sana.

Sasa baada ya kuona yule mtoto, nilishtuka kidogo. Kwa kuwa alishaniambia hakutani na mke wake kimwili, nilichukua namba ya mke wake, nikasajili namba nyingine kabisa kisha nikamtafuta mke wake na kujifanya namkumbuka tulisoma naye chuo ili tu asave namba yangu nione anapost nini kwenye status.

Kweli alisave ile namba akawa anapost status, naona ndiyo nikajua kuwa hakua mtoto wa dada yake bali alikuwa ni mtoto wa mwanaume wangu kwani mke wake alikua anampost mtoto mara kwa mara. Nilimuuliza, ndiyo akaomba msamaha kuniambia kuwa ilikuwa ni bahati mbaya kwani mwanamke alimlazimisha mpaka akafanya naye mapenzi, lakini bado ananipenda nimpe muda mtoto wao kifikisha mwaka atamuacha.

Kweli niliumia sana kwani mimi kwangu, ingawa mume wangu bado niko naye, nimemuonyesha dharau sana, nimemfanyia kila aina ya kituko na kumtukana sana, ila anavumilia kwa kuwa najua hana kazi na hana pakwenda.

Kweli nilivumilia, lakini baada ya miezi kama sita hivi, mwanaume alibadilika. Hakuwa anataka kupokea simu usiku, hataki kitu chochote, anakua makini kuhusu kuonana. Kuna nyumba tulikuwa tunajenga, na kwa kuwa wote ni wafanyakazi, kila mmoja alichangia. Hiyo ni nyumba ambayo mwanzoni kiwanja nilimkuta nacho lakini hakikuwa na kitu, kuanzia msingi mpaka nyumba imekamilika niko naye.

Mpaka fanicha za ndani nilichagua mimi ila baadaye ndiyo nasikia anaishi na mke wake, yaani kahamia bila mimi. Nilipomuuliza, akamniambia nifuatilie kwanza talaka kwa mume wangu ndiyo nije tuishi. Aliniambia hawezi kuishi kuacha nyumba tupu itadondoka ndiyo maanaa kaamua kuishi na mkewe.

Niliumia sana. Mwisho niliamua kumtafuta mke wake. Nilimpigia simu kwa staha kama mwanamke mwenzangu na kumwambia kila kitu kuhusu mume wake, nikisema nina mtoto. Alichonijibu ni: "Ninajua kila kitu. Mume wangu alishaniambia kuhusu wewe na ujinga mliokuwa mnafanya. Kajutia na nimemsamehe!"

Nilirudi kwa mwanaume yule kumuuliza. Aliniambia nisimsikilize mke wake kwani alimwambia maneno hayo ili kumzuga. Alisisitiza kuwa kuhusu kuoana na mimi na lazima atamuacha mke wake.

Niliendelea kuvumilia. Mwezi uliofuata, mume wangu alipata kazi. Rafiki yake alimuunganishia kazi mbeya huko kusimamia mgodi. Kwa kuwa ni kitu anachokijua vizuri, hata hawakuuliza kuhusu vyeti. Sasa hivi ana kazi nzuri na kipato kizuri.

Baada ya kuona mume wangu mambo yamebadilika, niliamua kujishusha kurudi kwake ili kulea familia kwani kule niliona kama ananidanganya.. Aliniambia hakuna shida, anaweza kunisamehe. Lakini, kwa kuwa kuna mambo ambayo mimi nilikuwa nashirikisha familia, alitaka turudi nyumbani tuitishe kikao ili tuongee kama ukoo.

Kweli tuliondoka mpaka kwetu. Watoto wakubwa waliniambia niwaache kwani wako shule. Mwezi uliopita tukaenda kwetu kuongea. Aliniambia wazazi wake nao watakuwepo. Lakini tulipofika, alikuwa ameshaandika talaka na kunikabidhi kwa wazazi wangu, akisema kuwa hanitaki kama mke wake na niendelee na maisha yangu.

Nilichanganyikiwa. Nilijua mambo yameshaisha. Aliwaambia wazazi wangu kuwa ameniacha kwa talaka tatu, hanihitaji kama mke wake, na niendelee na maisha yangu. Nilianza kujiuliza kama nimwambie kuwa nimemsaidia na kumvumilia kipindi hana kazi. Sasa hivi ana kazi ndiyo ananiacha, lakini alitoa kila kitu.

Kwanza alitoa kadi ya kliniki ya mtoto wetu mdogo ambapo nilikuwa na kadi mbili nikiamini hajui, ila alitoa ile ambayo ina majina ya mume wa mtu. Akatoa na screenshot za SMS zote nilizokuwa nachat na huyo mwanaume, nikimsifia namna ambavyo ananifanyia mapenzi kinyume na maumbile, namna ninavyopanga kumuacha mume wangu na kila kitu.

Kwa akili zangu nilikuwa naamini mume wangu hashiki simu yangu na kweli alikuwa hahangaiiki nayo, kumbe alikuwa kaiunganisha na kompyuta yake kila kitu ninachochat anaona. Niliishiwa nguvu nikazimia kwani ilikuwa ni aibu sana, ila nazinduka mume wangu kashaondoka ananiambia hanitaki tena na kuhusu watoto wale wakubwa atakaa nao, nibaki na mwanangu.

Kwa aibu niliondoka nyumbani kwani alitoa kila kitu mbele ya baba yangu, iliniuma sana kwani kila siku mimi ndiyo nilikuwa namlalamikia mume wangu. Nilirudi nikalazimika kuchukua likizo ambayo sasa inakaribia kuisha, ila siku inakuja narudi kazini, nafanya nini na huyu mwanaume, ashajua nimeachwa na mume wangu na hataki kusikia chochote kuhusu mimi.

Kuhusu hela zangu za kujenga ananiambia kwa sasa hana, atanilipa taratibu, kama siwezi niende mahakamani, ananijibu jeuri lakini mimi shida si pesa, shida ni kurudiana naye, kanipotezea muda. Kanifanya kumdharau mume wangu, kanirudisha kwenye ushetani ambao sasa hivi siwezi kuacha, nishaurini naishi vipi baada ya hapa, mume wangu hataki hata niwaone wanangu wakubwa na sijui nishi vipi.View attachment 2893924
Fiction
 
MAJUTO; NAISHIJE NIMEMUACHA MUME WANGU YEYE HATAKI KUMUACHA MKE WAKE!

Mimi ni mama wa watoto watatu, nimeolewa kwa miaka 12 sasa. Mwanzoni, mimi na mume wangu tulikuwa sawa sana. Alikuwa mfanyakazi wa shirika moja kubwa, lakini alifukuzwa kazi wakati suala la vyeti feki lilipokuja. Alikuwa akitumia cheti cha kaka yake, ambaye naye ni mfanyakazi wa serikali.

Hapo ndipo kila kitu kilibadilika. Akaanza kuwa mtu wa kukaa tu nyumbani. Ukimwambia kuhusu kutafuta kazi, anasubiri kazi za kuajiriwa, lakini ikawa ngumu. Mimi ni mfanyakazi wa shirika moja la kimataifa, na kipato changu ni kizuri. Nilikuwa nahudumia familia vizuri bila shida, ingawa kama mwanamke, unachoka kwani unafanya kila kitu wewe.

Mume hana kazi wala hata hela ya kula. Kwa kuwa mimi ndiye nilikuwa tegemeo la familia, ikawa shida zaidi.

Hapa ofisini kuna kaka mmoja tunayefanya naye kazi. Alikuwa rafiki yangu sana. Mwanzoni tulikuwa tunaheshimiana kama kaka na dada, lakini baada ya kupata matatizo, nikajikuta tuko karibu zaidi.

Ikafika kipindi nilimwambia mambo ya ndoa yangu, akanishauri na kunipa moyo. Katika kuongea ongea, nikajikuta ninaingia naye kwenye mahusiano.

Nampenda kwa sababu ni mtu anayejali. Huna haja ya kumuomba hela. Akikuona una shida, anakusaidia. Anafanya vitu vidogo vidogo kama kuwachukua watoto wangu shuleni, kututoa out, bila hata ya kullalamika.

Kweli nilikuwa nafurahia. Akanisifia kuwa nampa furaha na akiwa kwangu anahisi huru kufanya chochote.

Mahusiano yaliendelea. Kipindi hicho nilikuwa na watoto wawili, hivyo akaniambia kuwa yeye anataka mtoto mwingine. Aliniambia kuwa mke wake ana matatizo ya uzazi. Ana watoto watatu wote wakiume, na kwa kuwa watoto wote mke wake alipata kwa upasuaji, aliambiwa hakuna kuzaa tena.

Basi nilimwelewa, na kwa kuwa ndiye akinihudumia kwa kiasi kikubwa, mume wangu hana kazi, nilihangaika kutafuta mtoto. Tulienda kuonana na daktari ili kutushauri kuhusu kupata mtoto wa kike. Kweli nilibeba mimba. Wakati huo mimi na mume wangu tulikuwa tunaishi pamoja, lakini baada ya kumpata huyu mwanaume, ni kama nilimsusa mume wangu. Awepo sijali, nikirudi nyumbani sihangaiki na chochote.

Kwa kuwa nilikuwa na binti wa kazi, sasa kila kitu ndiyo alikuwa anafanya yeye. Ilifikia kipindi hata tendo la ndoa sitaki kufanya naye. Akinigusa nahisi kutapika. Nilipojua nimebeba mimba ya yule kaka ndiyo nililazimisha nikafanya mapenzi na mume wangu ili tu asinisumbue, ajue mimba ni yake. Kweli mpaka najifungua alikuwa akiamini kuwa mimba ni yake.

Baada ya kujifungua, kuna kitu kilitokea. Siku moja nilikuwa naangalia simu ya mwanaume wangu mpya, kwani tulishakuwa kama mke na mume, niliona picha za mtoto mdogo kama miezi miwili tu, yaani ni kama kalingana na mtoto wangu.

Nilimuuliza huyu ni nani, akanambia ni mtoto wa dada yake, mke wake kamtumia kamtumia kwani kaenda kumsaidia dada yake uzazi. Nilishtuka, lakini kwa mahaba aliyonionyesha na vitu nilivyokuwa nikifanya naye, nilijua hawezi kunisaliti. Nilijua hata mke wake hampendi kama mimi.

Nikurudishe nyuma kidogo. Kipindi tunaanza mahusiano, aliniambia kuwa mke wake ni mshamba sana, kuna vitu hampatii, hivyo hafurahii ndoa. Aliniambia yeye huko nyuma alikuwa na mahusiano mengine. Kuna mwanamke alishawahi kumpa mapenzi kinyume na maumbile, na ameongea na mke wake lakini hataki kumpa.

Sikushtuka sana kwani kabla ya kuingia kwenye ndoa, kuna mwanaume nilikuwa naye, mume wa mtu, ambaye alikuwa ananifanyia hivyo hivyo. Ingawa baada ya ndoa niliacha na nilishaapa kutokufanya tena, ila aliponiambia na kunionyesha kua ananipenda, sikuona shida kumtunuku. Hivyo tulioshazoea kufanya mapenzi kinyume na maumbile, anayapenda sana.

Sasa baada ya kuona yule mtoto, nilishtuka kidogo. Kwa kuwa alishaniambia hakutani na mke wake kimwili, nilichukua namba ya mke wake, nikasajili namba nyingine kabisa kisha nikamtafuta mke wake na kujifanya namkumbuka tulisoma naye chuo ili tu asave namba yangu nione anapost nini kwenye status.

Kweli alisave ile namba akawa anapost status, naona ndiyo nikajua kuwa hakua mtoto wa dada yake bali alikuwa ni mtoto wa mwanaume wangu kwani mke wake alikua anampost mtoto mara kwa mara. Nilimuuliza, ndiyo akaomba msamaha kuniambia kuwa ilikuwa ni bahati mbaya kwani mwanamke alimlazimisha mpaka akafanya naye mapenzi, lakini bado ananipenda nimpe muda mtoto wao kifikisha mwaka atamuacha.

Kweli niliumia sana kwani mimi kwangu, ingawa mume wangu bado niko naye, nimemuonyesha dharau sana, nimemfanyia kila aina ya kituko na kumtukana sana, ila anavumilia kwa kuwa najua hana kazi na hana pakwenda.

Kweli nilivumilia, lakini baada ya miezi kama sita hivi, mwanaume alibadilika. Hakuwa anataka kupokea simu usiku, hataki kitu chochote, anakua makini kuhusu kuonana. Kuna nyumba tulikuwa tunajenga, na kwa kuwa wote ni wafanyakazi, kila mmoja alichangia. Hiyo ni nyumba ambayo mwanzoni kiwanja nilimkuta nacho lakini hakikuwa na kitu, kuanzia msingi mpaka nyumba imekamilika niko naye.

Mpaka fanicha za ndani nilichagua mimi ila baadaye ndiyo nasikia anaishi na mke wake, yaani kahamia bila mimi. Nilipomuuliza, akamniambia nifuatilie kwanza talaka kwa mume wangu ndiyo nije tuishi. Aliniambia hawezi kuishi kuacha nyumba tupu itadondoka ndiyo maanaa kaamua kuishi na mkewe.

Niliumia sana. Mwisho niliamua kumtafuta mke wake. Nilimpigia simu kwa staha kama mwanamke mwenzangu na kumwambia kila kitu kuhusu mume wake, nikisema nina mtoto. Alichonijibu ni: "Ninajua kila kitu. Mume wangu alishaniambia kuhusu wewe na ujinga mliokuwa mnafanya. Kajutia na nimemsamehe!"

Nilirudi kwa mwanaume yule kumuuliza. Aliniambia nisimsikilize mke wake kwani alimwambia maneno hayo ili kumzuga. Alisisitiza kuwa kuhusu kuoana na mimi na lazima atamuacha mke wake.

Niliendelea kuvumilia. Mwezi uliofuata, mume wangu alipata kazi. Rafiki yake alimuunganishia kazi mbeya huko kusimamia mgodi. Kwa kuwa ni kitu anachokijua vizuri, hata hawakuuliza kuhusu vyeti. Sasa hivi ana kazi nzuri na kipato kizuri.

Baada ya kuona mume wangu mambo yamebadilika, niliamua kujishusha kurudi kwake ili kulea familia kwani kule niliona kama ananidanganya.. Aliniambia hakuna shida, anaweza kunisamehe. Lakini, kwa kuwa kuna mambo ambayo mimi nilikuwa nashirikisha familia, alitaka turudi nyumbani tuitishe kikao ili tuongee kama ukoo.

Kweli tuliondoka mpaka kwetu. Watoto wakubwa waliniambia niwaache kwani wako shule. Mwezi uliopita tukaenda kwetu kuongea. Aliniambia wazazi wake nao watakuwepo. Lakini tulipofika, alikuwa ameshaandika talaka na kunikabidhi kwa wazazi wangu, akisema kuwa hanitaki kama mke wake na niendelee na maisha yangu.

Nilichanganyikiwa. Nilijua mambo yameshaisha. Aliwaambia wazazi wangu kuwa ameniacha kwa talaka tatu, hanihitaji kama mke wake, na niendelee na maisha yangu. Nilianza kujiuliza kama nimwambie kuwa nimemsaidia na kumvumilia kipindi hana kazi. Sasa hivi ana kazi ndiyo ananiacha, lakini alitoa kila kitu.

Kwanza alitoa kadi ya kliniki ya mtoto wetu mdogo ambapo nilikuwa na kadi mbili nikiamini hajui, ila alitoa ile ambayo ina majina ya mume wa mtu. Akatoa na screenshot za SMS zote nilizokuwa nachat na huyo mwanaume, nikimsifia namna ambavyo ananifanyia mapenzi kinyume na maumbile, namna ninavyopanga kumuacha mume wangu na kila kitu.

Kwa akili zangu nilikuwa naamini mume wangu hashiki simu yangu na kweli alikuwa hahangaiiki nayo, kumbe alikuwa kaiunganisha na kompyuta yake kila kitu ninachochat anaona. Niliishiwa nguvu nikazimia kwani ilikuwa ni aibu sana, ila nazinduka mume wangu kashaondoka ananiambia hanitaki tena na kuhusu watoto wale wakubwa atakaa nao, nibaki na mwanangu.

Kwa aibu niliondoka nyumbani kwani alitoa kila kitu mbele ya baba yangu, iliniuma sana kwani kila siku mimi ndiyo nilikuwa namlalamikia mume wangu. Nilirudi nikalazimika kuchukua likizo ambayo sasa inakaribia kuisha, ila siku inakuja narudi kazini, nafanya nini na huyu mwanaume, ashajua nimeachwa na mume wangu na hataki kusikia chochote kuhusu mimi.

Kuhusu hela zangu za kujenga ananiambia kwa sasa hana, atanilipa taratibu, kama siwezi niende mahakamani, ananijibu jeuri lakini mimi shida si pesa, shida ni kurudiana naye, kanipotezea muda. Kanifanya kumdharau mume wangu, kanirudisha kwenye ushetani ambao sasa hivi siwezi kuacha, nishaurini naishi vipi baada ya hapa, mume wangu hataki hata niwaone wanangu wakubwa na sijui nishi vipi.View attachment 2893924
Sasa kwa nini umeweka maboga kwenye mapaja yako?Mimi leo ni muflisi wa ushauri.
 
MAJUTO; NAISHIJE NIMEMUACHA MUME WANGU YEYE HATAKI KUMUACHA MKE WAKE!

Mimi ni mama wa watoto watatu, nimeolewa kwa miaka 12 sasa. Mwanzoni, mimi na mume wangu tulikuwa sawa sana. Alikuwa mfanyakazi wa shirika moja kubwa, lakini alifukuzwa kazi wakati suala la vyeti feki lilipokuja. Alikuwa akitumia cheti cha kaka yake, ambaye naye ni mfanyakazi wa serikali.

Hapo ndipo kila kitu kilibadilika. Akaanza kuwa mtu wa kukaa tu nyumbani. Ukimwambia kuhusu kutafuta kazi, anasubiri kazi za kuajiriwa, lakini ikawa ngumu. Mimi ni mfanyakazi wa shirika moja la kimataifa, na kipato changu ni kizuri. Nilikuwa nahudumia familia vizuri bila shida, ingawa kama mwanamke, unachoka kwani unafanya kila kitu wewe.

Mume hana kazi wala hata hela ya kula. Kwa kuwa mimi ndiye nilikuwa tegemeo la familia, ikawa shida zaidi.

Hapa ofisini kuna kaka mmoja tunayefanya naye kazi. Alikuwa rafiki yangu sana. Mwanzoni tulikuwa tunaheshimiana kama kaka na dada, lakini baada ya kupata matatizo, nikajikuta tuko karibu zaidi.

Ikafika kipindi nilimwambia mambo ya ndoa yangu, akanishauri na kunipa moyo. Katika kuongea ongea, nikajikuta ninaingia naye kwenye mahusiano.

Nampenda kwa sababu ni mtu anayejali. Huna haja ya kumuomba hela. Akikuona una shida, anakusaidia. Anafanya vitu vidogo vidogo kama kuwachukua watoto wangu shuleni, kututoa out, bila hata ya kullalamika.

Kweli nilikuwa nafurahia. Akanisifia kuwa nampa furaha na akiwa kwangu anahisi huru kufanya chochote.

Mahusiano yaliendelea. Kipindi hicho nilikuwa na watoto wawili, hivyo akaniambia kuwa yeye anataka mtoto mwingine. Aliniambia kuwa mke wake ana matatizo ya uzazi. Ana watoto watatu wote wakiume, na kwa kuwa watoto wote mke wake alipata kwa upasuaji, aliambiwa hakuna kuzaa tena.

Basi nilimwelewa, na kwa kuwa ndiye akinihudumia kwa kiasi kikubwa, mume wangu hana kazi, nilihangaika kutafuta mtoto. Tulienda kuonana na daktari ili kutushauri kuhusu kupata mtoto wa kike. Kweli nilibeba mimba. Wakati huo mimi na mume wangu tulikuwa tunaishi pamoja, lakini baada ya kumpata huyu mwanaume, ni kama nilimsusa mume wangu. Awepo sijali, nikirudi nyumbani sihangaiki na chochote.

Kwa kuwa nilikuwa na binti wa kazi, sasa kila kitu ndiyo alikuwa anafanya yeye. Ilifikia kipindi hata tendo la ndoa sitaki kufanya naye. Akinigusa nahisi kutapika. Nilipojua nimebeba mimba ya yule kaka ndiyo nililazimisha nikafanya mapenzi na mume wangu ili tu asinisumbue, ajue mimba ni yake. Kweli mpaka najifungua alikuwa akiamini kuwa mimba ni yake.

Baada ya kujifungua, kuna kitu kilitokea. Siku moja nilikuwa naangalia simu ya mwanaume wangu mpya, kwani tulishakuwa kama mke na mume, niliona picha za mtoto mdogo kama miezi miwili tu, yaani ni kama kalingana na mtoto wangu.

Nilimuuliza huyu ni nani, akanambia ni mtoto wa dada yake, mke wake kamtumia kamtumia kwani kaenda kumsaidia dada yake uzazi. Nilishtuka, lakini kwa mahaba aliyonionyesha na vitu nilivyokuwa nikifanya naye, nilijua hawezi kunisaliti. Nilijua hata mke wake hampendi kama mimi.

Nikurudishe nyuma kidogo. Kipindi tunaanza mahusiano, aliniambia kuwa mke wake ni mshamba sana, kuna vitu hampatii, hivyo hafurahii ndoa. Aliniambia yeye huko nyuma alikuwa na mahusiano mengine. Kuna mwanamke alishawahi kumpa mapenzi kinyume na maumbile, na ameongea na mke wake lakini hataki kumpa.

Sikushtuka sana kwani kabla ya kuingia kwenye ndoa, kuna mwanaume nilikuwa naye, mume wa mtu, ambaye alikuwa ananifanyia hivyo hivyo. Ingawa baada ya ndoa niliacha na nilishaapa kutokufanya tena, ila aliponiambia na kunionyesha kua ananipenda, sikuona shida kumtunuku. Hivyo tulioshazoea kufanya mapenzi kinyume na maumbile, anayapenda sana.

Sasa baada ya kuona yule mtoto, nilishtuka kidogo. Kwa kuwa alishaniambia hakutani na mke wake kimwili, nilichukua namba ya mke wake, nikasajili namba nyingine kabisa kisha nikamtafuta mke wake na kujifanya namkumbuka tulisoma naye chuo ili tu asave namba yangu nione anapost nini kwenye status.

Kweli alisave ile namba akawa anapost status, naona ndiyo nikajua kuwa hakua mtoto wa dada yake bali alikuwa ni mtoto wa mwanaume wangu kwani mke wake alikua anampost mtoto mara kwa mara. Nilimuuliza, ndiyo akaomba msamaha kuniambia kuwa ilikuwa ni bahati mbaya kwani mwanamke alimlazimisha mpaka akafanya naye mapenzi, lakini bado ananipenda nimpe muda mtoto wao kifikisha mwaka atamuacha.

Kweli niliumia sana kwani mimi kwangu, ingawa mume wangu bado niko naye, nimemuonyesha dharau sana, nimemfanyia kila aina ya kituko na kumtukana sana, ila anavumilia kwa kuwa najua hana kazi na hana pakwenda.

Kweli nilivumilia, lakini baada ya miezi kama sita hivi, mwanaume alibadilika. Hakuwa anataka kupokea simu usiku, hataki kitu chochote, anakua makini kuhusu kuonana. Kuna nyumba tulikuwa tunajenga, na kwa kuwa wote ni wafanyakazi, kila mmoja alichangia. Hiyo ni nyumba ambayo mwanzoni kiwanja nilimkuta nacho lakini hakikuwa na kitu, kuanzia msingi mpaka nyumba imekamilika niko naye.

Mpaka fanicha za ndani nilichagua mimi ila baadaye ndiyo nasikia anaishi na mke wake, yaani kahamia bila mimi. Nilipomuuliza, akamniambia nifuatilie kwanza talaka kwa mume wangu ndiyo nije tuishi. Aliniambia hawezi kuishi kuacha nyumba tupu itadondoka ndiyo maanaa kaamua kuishi na mkewe.

Niliumia sana. Mwisho niliamua kumtafuta mke wake. Nilimpigia simu kwa staha kama mwanamke mwenzangu na kumwambia kila kitu kuhusu mume wake, nikisema nina mtoto. Alichonijibu ni: "Ninajua kila kitu. Mume wangu alishaniambia kuhusu wewe na ujinga mliokuwa mnafanya. Kajutia na nimemsamehe!"

Nilirudi kwa mwanaume yule kumuuliza. Aliniambia nisimsikilize mke wake kwani alimwambia maneno hayo ili kumzuga. Alisisitiza kuwa kuhusu kuoana na mimi na lazima atamuacha mke wake.

Niliendelea kuvumilia. Mwezi uliofuata, mume wangu alipata kazi. Rafiki yake alimuunganishia kazi mbeya huko kusimamia mgodi. Kwa kuwa ni kitu anachokijua vizuri, hata hawakuuliza kuhusu vyeti. Sasa hivi ana kazi nzuri na kipato kizuri.

Baada ya kuona mume wangu mambo yamebadilika, niliamua kujishusha kurudi kwake ili kulea familia kwani kule niliona kama ananidanganya.. Aliniambia hakuna shida, anaweza kunisamehe. Lakini, kwa kuwa kuna mambo ambayo mimi nilikuwa nashirikisha familia, alitaka turudi nyumbani tuitishe kikao ili tuongee kama ukoo.

Kweli tuliondoka mpaka kwetu. Watoto wakubwa waliniambia niwaache kwani wako shule. Mwezi uliopita tukaenda kwetu kuongea. Aliniambia wazazi wake nao watakuwepo. Lakini tulipofika, alikuwa ameshaandika talaka na kunikabidhi kwa wazazi wangu, akisema kuwa hanitaki kama mke wake na niendelee na maisha yangu.

Nilichanganyikiwa. Nilijua mambo yameshaisha. Aliwaambia wazazi wangu kuwa ameniacha kwa talaka tatu, hanihitaji kama mke wake, na niendelee na maisha yangu. Nilianza kujiuliza kama nimwambie kuwa nimemsaidia na kumvumilia kipindi hana kazi. Sasa hivi ana kazi ndiyo ananiacha, lakini alitoa kila kitu.

Kwanza alitoa kadi ya kliniki ya mtoto wetu mdogo ambapo nilikuwa na kadi mbili nikiamini hajui, ila alitoa ile ambayo ina majina ya mume wa mtu. Akatoa na screenshot za SMS zote nilizokuwa nachat na huyo mwanaume, nikimsifia namna ambavyo ananifanyia mapenzi kinyume na maumbile, namna ninavyopanga kumuacha mume wangu na kila kitu.

Kwa akili zangu nilikuwa naamini mume wangu hashiki simu yangu na kweli alikuwa hahangaiiki nayo, kumbe alikuwa kaiunganisha na kompyuta yake kila kitu ninachochat anaona. Niliishiwa nguvu nikazimia kwani ilikuwa ni aibu sana, ila nazinduka mume wangu kashaondoka ananiambia hanitaki tena na kuhusu watoto wale wakubwa atakaa nao, nibaki na mwanangu.

Kwa aibu niliondoka nyumbani kwani alitoa kila kitu mbele ya baba yangu, iliniuma sana kwani kila siku mimi ndiyo nilikuwa namlalamikia mume wangu. Nilirudi nikalazimika kuchukua likizo ambayo sasa inakaribia kuisha, ila siku inakuja narudi kazini, nafanya nini na huyu mwanaume, ashajua nimeachwa na mume wangu na hataki kusikia chochote kuhusu mimi.

Kuhusu hela zangu za kujenga ananiambia kwa sasa hana, atanilipa taratibu, kama siwezi niende mahakamani, ananijibu jeuri lakini mimi shida si pesa, shida ni kurudiana naye, kanipotezea muda. Kanifanya kumdharau mume wangu, kanirudisha kwenye ushetani ambao sasa hivi siwezi kuacha, nishaurini naishi vipi baada ya hapa, mume wangu hataki hata niwaone wanangu wakubwa na sijui nishi vipi.View attachment 2893924
Inafikirishaaaaa...sanaa
 
Back
Top Bottom