nosspass
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 5,800
- 4,756
Bro, naomba ukumbuke huyo ni mke wa mtu,,,sio take away.....kuwa makini sana.....utashughulikiwa kaka....kama ni small hse mbona warembo wako kibao tena available........kumbuka UKIMWI upo na UNAKILL....Ikitokea mimba ikaingia nitafanyaje?