Amini usiamini, CCM ina jukumu la kutupatia Rais bora mwaka 2015...

Kyaiyembe hilo swali lako linanithibitishia bado hujanielewa................cdm ni ccm-b kimfumo wa uendeshaji wa chama hicho sawa na vyama vyote vya upinzani.........................

matatizo ya ccm ni ya kimfumo na hivyo cdm inayo ila hayaonekani kwa sababu bado hawajakamata dola na watakapokamata dola ndipo yatajitokeza kuwa hakuna uthibiti wa wanasiasa kutoka ndani ya chama na hujithibiti wao wenyewe........................

Moja ya Tatizo la CCM ni kutokuwajibishana ndani ya Chama Chao, Je unamaanisha Kwamba hata Chadema kuna hili tatizo?

Kitu cha pili, najua watu wanaoongoza CHADEMA ni binaadamu kama wale wanaoongoza CCM nachokuomba ni kwamba usisahau nguvu ya Culture katika uendeshaji wa Chama, ninaamini kwamba, kwa sasa CHADEMA kuna culture dhabiti ya kukabiliana na rushwa contrarly na CCM. Ninarudi kusoma upya kabisa post yako ya kwanza, sababu sijaelewa mpaka sasa unatumia basis gani kufananisha CHADEMA na CCM.
 
huyo rais wa kutoka ccm atakuwa na wakati mugumi sana,maana atatakiwa afanye yale wakuu wake walichomwagiza.
hebu ona,ccm hii ninayoijua haina desturi ya kuwajibishana,mtu akaitenda tofauti na wajibu wake wa kazi,anahamishwa kitengo ili akaharibu sehemu ingine,pia kuna hili la kurithishana vyeo,ambalo nalo ni tatizo kubwa,wabadhilifu wa fedha za uma wanawalea na wakati mwingine wanawatetea wakidai eti ni watendaji wa chini ndio wanaosababisaha ubadhilifu,utasikia kila anaeombwa(maana kwao lazima uelezwe kirafiki,wakuu hawataki lawama bwana) kujihudhulu,eti sio yeye ila watendaji wa chini.
kwa hali tuliyonayo nchini sasa,tunapaswa tuwe na viongozi amabo watasimamia mapato na matumizi ya serikali kwa hali ya juu,urafiki,asante,bakshishi,m toto wa dada,inabidi viepukwe kwa kiwango kikubwa sana,ambacho ndo ccm imefanya hali hii iwepo.kila tukisikia mradi wowote nchini.ni kwamba tumesaidiwa na watu flani au nchi flani,sisi pesa yetu inafanya nini.??watu waliajiriwa ndo wanaolipa kodi effectively,wawekezaji wakubwa hawalipi kodi kabisa,utasikia mwaka huu mara paradise,baada ya mda jb.tunahitaji kupata viongozi wasifungamana na mambo haya ili nchi iendelee.na ikitokea ccm ikatoa raisi 2015,basi hali ya wananchi itakuwa mbaya mara tano zaidi ya sasa.watu wengine wanaongea,hawajui wananchi wa kawaida wanaishi vipi hikovijijini,

mamajack wakuu wake ni wewe na mimi wapigakura wake ndiyo tutamweleza tunataka nini...........
 
Last edited by a moderator:
mharakati asante naomba uniambie terms and conditions za casual friend....lol

Lemonade...usiwe na shaka na terms and conditions..forget about your meaning or what casual really mean, for me:

1. Meet and hang out without too much emotional attachment (we will stroll away from discussing relationships, family, love etc..
2. concentrate more on things which are not sentimental in person i.e politics, science, sports, development issues, professional issues, social justice, etc these can be passionate things but unlikely to be sentimental enough to ruin our casual relationship
3. No make up and tights...lol
 
Moja ya Tatizo la CCM ni kutokuwajibishana ndani ya Chama Chao, Je unamaanisha Kwamba hata Chadema kuna hili tatizo?

Kitu cha pili, najua watu wanaoongoza CHADEMA ni binaadamu kama wale wanaoongoza CCM nachokuomba ni kwamba usisahau nguvu ya Culture katika uendeshaji wa Chama, ninaamini kwamba, kwa sasa CHADEMA kuna culture dhabiti ya kukabiliana na rushwa contrarly na CCM. Ninarudi kusoma upya kabisa post yako ya kwanza, sababu sijaelewa mpaka sasa unatumia basis gani kufananisha CHADEMA na CCM.

Sangarara mtateteana sana lakini ukweli uko palepale ufisadi ni nchi nzima na ndani ya cdm nako kunafurukuta....hebu nielezee mlimchukulia hatua gani Mbowe na matumizi mabaya ya ruzuku kwenye ununuzi wa yale magari chakavu akidai ni mapya?
 
Last edited by a moderator:
Lemonade...usiwe na shaka na terms and conditions..forget about your meaning or what casual really mean, for me:

1. Meet and hang out without too much emotional attachment (we will stroll away from discussing relationships, family, love etc..
2. concentrate more on things which are not sentimental in person i.e politics, science, sports, development issues, professional issues, social justice, etc these can be passionate things but unlikely to be sentimental enough to ruin our casual relationship
3. No make up and tights...lol

Duh! Sounds good on paper but it can be achieved....
The last one i didn't get.....naona inai contradict no 2....lol
 
Ukisoma Katiba ya CCM toleo la 2010, ukalinganisha na mambo yalivyo nchini kwa sasa.
Huwezi kumwamini mtu hata mmoja aliyeko ndani ya chama hiki.
HILLI HAPA NI MOJA KATI YA MADHUMUNI YA CCM
(3) Kuhimiza ujenzi wa Ujamaa na
Kujitegemea kwa mujibu wa Azimio la
Arusha.
AZIMIO LA ARUSHA
Ni jambo la kijinga kuchagua fedha kuwa ndiyo chombo chetu
kikubwa cha maendeleo na hali tunajua kuwa nchi yetu ni maskini.
Ni ujinga vile vile, kwa kweli ni ujinga zaidi, tukidhani kuwa tunaweza
kuondoa hali hii ya unyonge wetu kwa kutegemea fedha za kutoka
nje badala ya fedha zetu wenyewe. Ni ujinga kwa sababu mbili.
1. Kwanza, hatuwezi kuzipata.
(MISAADA NA MIKOPO
VITAHATARISHA UHURU WETU)
2. Pili, japo kama tungeweza kuzipata; hivyo ndivyo tunavyotaka
kweli?.
 
Lemonade...usiwe na shaka na terms and conditions..forget about your meaning or what casual really mean, for me:

1. Meet and hang out without too much emotional attachment (we will stroll away from discussing relationships, family, love etc..
2. concentrate more on things which are not sentimental in person i.e politics, science, sports, development issues, professional issues, social justice, etc these can be passionate things but unlikely to be sentimental enough to ruin our casual relationship
3. No make up and tights...lol

mharakati You are out of order, man...........tuongelee matatizo ya kimfumo ndani ya vyama vya siasa na kipi kina mfumo mzuri wa kutupatia raisi bora ajaye........lol
 
Last edited by a moderator:
Sasa nyie watu wa CDM mnajifanya vipofu hamuoni huu mtego wa mbowe kwa Dr SLaa kama atakua Rais hapo 2015...CDM haina politburo kama ile ya China au kama kule US ambapo chairman wa chama hana nguvu kubwa kwenye chama...tatizo litakuja Mbowe atakua na nguvu kuliko SLaa/ au rais mwingine yeyote wa CDM kichama na mbowe atakua waziri labda Mkuu katika serikali sasa hapa nani ataongoza nchi? na Rais gani wa Jamhuri atataka kua chini ya au kuelekezwa na m/kiti wa chama chake? na Mbowe ana maturity ya namna hiyo ya kumpisha Rais wake kua mwenyekiti wa chama? au watakua marasia wawili sasa? unakumbuka ugomvi wa Mutharika Malawi? au proxy war ya JK na EL na jinsi ilivyoaharibu nchi

Hawa jamaa njaa sana wanataka tu kuitoa CCM lakini hawajui nini cha kufanya baada ya hapo..hata huu muundo unawasuta. Nyerere hakua mjinga kuweka kofia mbili kwa kichwa kimoja.
 
Kuwa na rais,anaye jiulza ni wapi ajawah kufka,ksha anatafuta 7babu,tena ikitokea kuna mcba,yaan yko radh achen chochote kile.mataifa ya G8,hawasfr km wa afrka.
 
Nimevipima vyama vya upinzani kwenye mizania yangu ya upembuzi yakinifu na kubaini bila ya mashaka yoyote yale bado havipo tayari kimfumo kutupatia Raisi bora na hizi ndizo nondo zangu zilizonifikisha hapo..:-

a) Vyama vyote vya upinzani vimeiga mfumo mbovu wa kidemokrasia wa ccm na vinaendeshwa kibabe-kibabe mno na huku wenzao wa ccm kuanzia 2010 walianza kujivua gamba la udikteta pale waliporuhusu wabunge wake wachaguliwe na wananchi moja kwa moja...ingawaje bado wana safari ndefu kwenye hili lakini lazima niwapongeze ccm kwa angalau kujaribu....rushwa na kuingiliwa na ngazi za juu katika maoni ya wananchi ni changamoto ambazo ccm itabidi waendelee kuzitafutia muarobaini wake.

Kwenye hili vyama vya upinzani wapo nyuma na tumeona hata chadema bila ya kupitisha kura ya maoni kwa wapigakura wa Arusha wakitumia kauli za kidikteta kukejeli kura za wanachama wao Arusha pale kamati kuu yao ilipotengua madiwani wakaidi wa Arusha...well, chadema worshippers...that was not democracy at all...it was dictatorship.........face it now before it is too late.....Only the truth will set you free

b) Vyama vyote vya siasa vyenye wabunge Bungeni vimekumbwa na dhoruba kali la wizi na ubadhirifu wa ruzuku ya hazina na hakuna uthibiti wa aina yoyote ile!!!!!

Kwa mtazamo wangu kama wapinzani wameshindwa hata kusimamia kidogo ambacho tumewapa ni kwa upuuzi upi utushawishi kuwakabidhi nchi yote?

Njaa ya viongozi wa upinzani ni kali kulikoni ya viongozi wa ccm ambao pamoja na bandubandu kweli humaliza gogo lakini ccm hawana uchu wa kututafuna kama upinzani walionao.....

c) Mchakato wa katiba mpya umenifungua macho hila na upofu wa wapinzani ambao waliipinga tume kwa vile wao hawajaweka mrija wao ndani yake na kunyonya Hazina baada ya CCM kuwaingiza kingi - au niseme mkenge? - hakuna anayehoji uhalali wa Tume ya kukusanya maoni.

Wote wanaimba wimbo wa CCM wa ya kuwa tume tajwa haina uwalakini na sasa wamehamia kwenye mabunge mawili ambako wanaona mirija yao ni michache na kwa hiyo wanatafuta nanma ya kuiongeza.

Hii siyo demokrasia hata chembe bali ni ubinafsi tu...period. Mwanamageuzi wa kweli atadai haki hata kama yeye ni mwathirika wa hayo mageuzi siyo yule ambaye hujigeuza mpiga filimbi ya hamelini pale anapoona masilahi yake yamepigwa na tufani kali sana...anachofanya ni kulinda tonge lake la ugali lisodondokee pabaya tu....lol hao kweli ni wababaishaji tu hawatufai kabisa

USHAURI:

Hivyo chama chochote kile cha siasa ambacho kitashirikisha wanachama wake katika kuteua viongozi watakaopeperusha bendera za vyama vyao katika ngazi zote ikiwemo ya URAISI, UBUNGE, UDIWANI hadi UENYEKITI WA KITONGOJI kina nafasi njema ya kutupatia viongozi bora...na kutumia utaratibu huohuo katika kuwavua madaraka itakuwa imepiga hatua katika demokraisa shirikishi.

Have your say too...unaridhika na demokrasia ndani ya vyama vya siasa hasa hivi vya upinzani hata sasa kuviamini kutupatia Raisi na viongozi wengineo bora bila ya kutushirikisha grassroots?

Ndugu yangu Ruta, naona uko ndani ya magamba lakini kidemokrasia hukijui chama chako. Jiulize nani anaunda kamati kuu ya CCM, nini nafasi ya kamati katika mustakabali wa nchi hii. Kwa kukusaidia kamati kuu inaundwa na Mwenyekiti wa magamba na ndiyo inafanya maamuzi katika uendeshaji wa nchi. pia uelewe kuwa wajumbe wa kamati kuu hawana la kusema mbele ya mwenyekiti, watasema nini, yeye ndiye aliye wateua au ana' undue influence' nao!

Kimfumo hakuna na wala haitakuwepo demokrasia ndani ya magamba. Kumbuka jinsi salm ahamed salim alivyo chafuliwa na kuonekana kama siyo mtanzani, hayo ndiyo magamba RUTa
 
Ruta...samahani kama nakuingilia kwenye topic yako..nataka kucheka kidogo nimekua serious mwaka mzima huu, hadi kichwa kinauma..hii waingereza wanaita satire..ni seriously configured joke..kule kwenye mapenzi na jokes sitopata vichwa vya maana
 
Duh! Sounds good on paper but it can be achieved....
The last one i didn't get.....naona inai contradict no 2....lol

I hope you are not taking him serious, though............... lemonade
 
Last edited by a moderator:
Ruta...samahani kama nakuingilia kwenye topic yako..nataka kucheka kidogo nimekua serious mwaka mzima huu, hadi kichwa kinauma..hii waingereza wanaita satire..ni seriously configured joke..kule kwenye mapenzi na jokes sitopata vichwa vya maana

mharakati..............kazi ya mwandishi pia ni kuburudisha............lol.......yes it is satirist's work too......tenzi nimepumzika kidogo lakini nitakuwa hewani next week bado nakusanya nguvu...................
 
Last edited by a moderator:
rutashubanya ngoja tusiyumbishe topic itungie shairi please....i'm sure we will come to an agreement ya terms za "friendship"
[MENTION]
lemonade[/MENTION]............umenipa sababu ya kuandika tenzi nono........lol but wait till next week........this week is about satirical works in ccm versus cdm...........................lol
 
Ndugu yangu Ruta, naona uko ndani ya magamba lakini kidemokrasia hukijui chama chako. Jiulize nani anaunda kamati kuu ya CCM, nini nafasi ya kamati katika mustakabali wa nchi hii. Kwa kukusaidia kamati kuu inaundwa na Mwenyekiti wa magamba na ndiyo inafanya maamuzi katika uendeshaji wa nchi. pia uelewe kuwa wajumbe wa kamati kuu hawana la kusema mbele ya mwenyekiti, watasema nini, yeye ndiye aliye wateua au ana' undue influence' nao!

Kimfumo hakuna na wala haitakuwepo demokrasia ndani ya magamba. Kumbuka jinsi salm ahamed salim alivyo chafuliwa na kuonekana kama siyo mtanzani, hayo ndiyo magamba RUTa
[MENTION]Makyomwango[/MENTION] khoja zako zote nazikubali ikwemo ya umbumbu wangu wa siasa ndani ya ccm......lakini tatizo lako ni kuwa pamoja na ufahamu wako umeshindwa kuona cdm is doing the same..............ni nani atamhoji Mbowe kwenye ufisadi wake wa ruzuku kama ule wa magari bomu?
 
Kuwa na rais,anaye jiulza ni wapi ajawah kufka,ksha anatafuta 7babu,tena ikitokea kuna mcba,yaan yko radh achen chochote kile.mataifa ya G8,hawasfr km wa afrka.

[MENTION]Senator p[/MENTION] matendo ya kiongozi huongozwa na mfumo uliopo kwa hiyo kama cdm wataendelea na mfumo wa ki-ccm ujue matendo yao wakikwa madarakani yatakuwa yaki-ccm ccm tu hakuna jipya ila kwa vila wana njaa kali basi ujue watalitafuan taifa hili ile mbaya hadi washibe tutakuwa tumekoma kabisa...........
 
First and formost naomba tukubaliane kuwa CCM washapoteza moral authority zamani mno na chochote wanachokifanya sasa ni kujaribu kutukosha tu
Nakubaliana na wewe Rutashubanyuma kuwa tunahitaji transparency na kurekebisha lakini sikubaliani na wewe kuipa CCM benefit of the doubt yani kwa sasa iko beyond repair....nashauri tujikite kuwa na CDM bora na sio kwa ku mock tu ebu utoe constructive opinion kuliko kuponda tu
[MENTION]
lemonade[/MENTION].............hadi sasa sijasema ccm tuipe benefit of doubt kama wengineo wanavyodhani bali nasema ya kuwa kama watarekebisha mfumo wa kumpata Raisi kwa kura za maoni ya wanachama wao basi watatusaidia kumpata raisi bora ambaye ni chaguo la wengi bdala ya mfumo wa sasa wa kupeana mlo walioko kamati Kuu
 
Back
Top Bottom