Amini usiamini, CCM ina jukumu la kutupatia Rais bora mwaka 2015...

I hope you are not taking him serious, though............... lemonade

Sawa....back to the topic
Ebu tusizunguke mbuyu ni kuwa in the light of everything sasa CDM inapewa nafasi kubwa, je nini kifanyike kubadili mfumo ulio prove failure kwa CCM?
Ebu msiwaongelee indivuals kama Mbowe na ku overlook mchango wao katika chama hadi kilipo sasa ni vyema tukaongelea maboresho zaidi
 
Last edited by a moderator:
huyu mnyika hata nyumba hana, huyu komu, huyu lema, hawa wabunge wao wengi njaa sasa watashikaje mabillioni ya wananchi bila ya kupata tamaa ya kuchopoa zao kwanza...ikizingatiwa kazi zinaweza zisifanyike kama vile wadanganyika wengi wanavyojipa matumaini ya uongo...naona hawa jamaa kama kwenye mziki kuna kitu kinaitwa one hit wonders- yaani wakibahatisha 2015 migogoro inaanza, wananchi wanawachoka kwa propaganda hewa au mabadilko makubwa ya kisiasa huku mkate hamna juu ya meza, binadamu kwa hulka zetu uwa tuko nostalgic sana, mambo yakibadilika jinsi tusivyotarajia tunaanza kukukumbuka ya kale na CCM ya wakati huo itapata cha kusema na kujibadilisha kuoanisha maslahi ya jamii na ya chama na hapo CCM wanachukua nchi yetu tena kupitia uhuru wa katiba mpya 2020..CDM inabaki historia Zitto anaenda CCM kuendeleza career yake, Slaa anastaafu siasa anafungua NGO, Mbowe anaendelea na UDJ wake bills
 
huyu mnyika hata nyumba hana, huyu komu, huyu lema, hawa wabunge wao wengi njaa sasa watashikaje mabillioni ya wananchi bila ya kupata tamaa ya kuchopoa zao kwanza...ikizingatiwa kazi zinaweza zisifanyike kama vile wadanganyika wengi wanavyojipa matumaini ya uongo...naona hawa jamaa kama kwenye mziki kuna kitu kinaitwa one hit wonders- yaani wakibahatisha 2015 migogoro inaanza, wananchi wanawachoka kwa propaganda hewa au mabadilko makubwa ya kisiasa huku mkate hamna juu ya meza, binadamu kwa hulka zetu uwa tuko nostalgic sana, mambo yakibadilika jinsi tusivyotarajia tunaanza kukukumbuka ya kale na CCM ya wakati huo itapata cha kusema na kujibadilisha kuoanisha maslahi ya jamii na ya chama na hapo CCM wanachukua nchi yetu tena kupitia uhuru wa katiba mpya 2020..CDM inabaki historia Zitto anaenda CCM kuendeleza career yake, Slaa anastaafu siasa anafungua NGO, Mbowe anaendelea na UDJ wake bills
[MENTION]
mharakati[/MENTION] tupembue upeo wao ni finyu......who is there ambaye ni kiongozi wa kutumainiwa................angalia hata Dr. Slaa sasa naye nimegundua ni bure kabisa..............................kwa sababu ameshindwa kukemea ufisadi wa bosi wake mbowe anaouendesha mchana kweupe wa kutafuna ruzuku na miradi hewa kibao.......................na hawa cdm wapenzi wao hata hawafuatili kujua matumizi ya ruzuku yamekaa vipi............
 
huyu mnyika hata nyumba hana, huyu komu, huyu lema, hawa wabunge wao wengi njaa sasa watashikaje mabillioni ya wananchi bila ya kupata tamaa ya kuchopoa zao kwanza...ikizingatiwa kazi zinaweza zisifanyike kama vile wadanganyika wengi wanavyojipa matumaini ya uongo...naona hawa jamaa kama kwenye mziki kuna kitu kinaitwa one hit wonders- yaani wakibahatisha 2015 migogoro inaanza, wananchi wanawachoka kwa propaganda hewa au mabadilko makubwa ya kisiasa huku mkate hamna juu ya meza, binadamu kwa hulka zetu uwa tuko nostalgic sana, mambo yakibadilika jinsi tusivyotarajia tunaanza kukukumbuka ya kale na CCM ya wakati huo itapata cha kusema na kujibadilisha kuoanisha maslahi ya jamii na ya chama na hapo CCM wanachukua nchi yetu tena kupitia uhuru wa katiba mpya 2020..CDM inabaki historia Zitto anaenda CCM kuendeleza career yake, Slaa anastaafu siasa anafungua NGO, Mbowe anaendelea na UDJ wake bills

Si ndiyo demokrasia hiyo Sheikh wangu? Au unaongelea kitu gani?
 
[MENTION]Makyomwango[/MENTION] khoja zako zote nazikubali ikwemo ya umbumbu wangu wa siasa ndani ya ccm......lakini tatizo lako ni kuwa pamoja na ufahamu wako umeshindwa kuona cdm is doing the same..............ni nani atamhoji Mbowe kwenye ufisadi wake wa ruzuku kama ule wa magari bomu?

Hapa umekwama.
Moja kati ya watu wenye post nyingi sana humu jf,ila kwa mara ya kwanza nashindwa kutambua unataka kuwaaminisha nini wananchi kwa posti yako ya leo.

Unataka uwatake waamini kuwa,mapenzi yako kwa ccm ni zaidi ya matatizo waliyonayo na ndio maana unajaribu kuwaaminisha ccm si tatitizo katika nchi hii?

Mangapi wameyafumbia macho ambayo wenzao wanayasema?na kuonesha dhamira yadhati ya kutolea ufumbuzi?

Ruta jf haina maana kwako kama wewe hauoni dhamira ya dhati ya ccm ya kuliangamiza taifa hili.
 
Hata mtu akificha jina ukisoma kwa makini maelezo yake utajua tu huyu ni mtu fulani. Nimesoma kwa makini ujumbe wa huyu jamaa na kugundua kuwa ni Wassira huyu aka mzee wa gombe.
 
[MENTION]
mharakati[/MENTION] tupembue upeo wao ni finyu......who is there ambaye ni kiongozi wa kutumainiwa................angalia hata Dr. Slaa sasa naye nimegundua ni bure kabisa..............................kwa sababu ameshindwa kukemea ufisadi wa bosi wake mbowe anaouendesha mchana kweupe wa kutafuna ruzuku na miradi hewa kibao.......................na hawa cdm wapenzi wao hata hawafuatili kujua matumizi ya ruzuku yamekaa vipi............

Tuntemeke type or what?
 
[MENTION]
mharakati[/MENTION] tupembue upeo wao ni finyu......who is there ambaye ni kiongozi wa kutumainiwa................angalia hata Dr. Slaa sasa naye nimegundua ni bure kabisa..............................kwa sababu ameshindwa kukemea ufisadi wa bosi wake mbowe anaouendesha mchana kweupe wa kutafuna ruzuku na miradi hewa kibao.......................na hawa cdm wapenzi wao hata hawafuatili kujua matumizi ya ruzuku yamekaa vipi............

Rutashubanyuma nilionya juu ya kugeuza hoja yako kuhusu watu kuliko kujikita katika mfumo....labda ungeuliza ni mfumo ndio ulioruhusu kutokuwa na utaratibu wa kuonyesha matumizi ya ruzuku na je Katibu ana nguvu ya kumbana Mwenyekiti?
Mbali ya hayo unajua circumstances za ununuzi wa hayo magari na hiyo miradi?
 
Last edited by a moderator:
Sawa....back to the topic
Ebu tusizunguke mbuyu ni kuwa in the light of everything sasa CDM inapewa nafasi kubwa, je nini kifanyike kubadili mfumo ulio prove failure kwa CCM?
Ebu msiwaongelee indivuals kama Mbowe na ku overlook mchango wao katika chama hadi kilipo sasa ni vyema tukaongelea maboresho zaidi

BIG POINT lemonade..........kumbe nawe umo kwenye huu ulimwengu....................mbowe ninamtaja kama mfano tu wa how rotten cdm is.........he epitomized grand graft in cdm and make them a party of thieves if not the real potential den of thieves gearing itself to assume power by deceit..............................lol

la muhimu ni kuwa cdm ought to live and walk according to its talk........

nafasi zote za wabunge ambao wana nyadhifa ndani ya chama wavuliwe......................kwa maana hiyo asiwepo mbunge au diwni ambaye ni mjumbe au kiongozi wa ngazi yopyate ndani ya cdm......................mbowe and his diciples kama akina mnyika watolewa kuwa wajumbe wa kamati kuu........nyadhifa zote za kichama zisimamiwe na watendaji ambao haana nyadhifa zzote serikalini na haya ni marekebisho ya kikatiba ambayo cdm yabidi wayafanye.............

pili nafasi zote za kisiasa ziwe hatma yake iamuliwe na wanachama wa cdm kwenye maeneo husika..............tatu watendaji wa kuajiriwa ndani ya cdm wapatikane kwa zoezi la kuwasaili kwa kuzitangaza nafasi husika na kamati husika ambazo wanasiasa siyo wajumbe wafanye kazi y kuwasaili kama kamati za wazee wahshauri n.k/////////////

cdm hawawezi kuzungumzia marekebisho y a katiba ya nchi iwe shirikishi wakati wao wamejenga umangi meza...................hata nafasi z aviti amaalumu wanapeana kwa kujuana na ndiyo maana kuna malalamiko chungu nzima.......................cdm wanadai wao ni chama makini lakini kwa lipi lile? Kama siyo ubababishaji.................unapoona mcheza disko kama mbowe naye ni kiongozi mahali popote na anakazana kujirundikia madaraka ujue..............................that party is going nowhere.........................hiyo mikutano itakuja uwaumbua siku moja kwa sababu ................it is all about themselves and their concubines.................................lol
 
Last edited by a moderator:
mharakati tupembue upeo wao ni finyu......who is there ambaye ni kiongozi wa kutumainiwa................angalia hata Dr. Slaa sasa naye nimegundua ni bure kabisa..............................kwa sababu ameshindwa kukemea ufisadi wa bosi wake mbowe anaouendesha mchana kweupe wa kutafuna ruzuku na miradi hewa kibao.......................na hawa cdm wapenzi wao hata hawafuatili kujua matumizi ya ruzuku yamekaa vipi............

..halafu mbowe kama M/kiti lakini siyo mgombea urais, huoni kama ni kiini cha migogoro baadae? yaani Rais wa Jamhuri anamuogopa m/kiti wa chama chake uh!!! Us wale wenyeketi hawana nguvu , wanafanya kazi katika framework ya national convention, China kuna party secreatary na kundi la powerful leaders kama 20 au zaidi wanaomchagua Rais wa jamhuri..Nyerere hakua mjinga kumvika mwinyi kofia mbili
 
mamajack wakuu wake ni wewe na mimi wapigakura wake ndiyo tutamweleza tunataka nini...........
Unashindwa nini kumweleza aliyepo sasa hivi kuwa;
1. Tumechoka Rushwa .
2. Tumechoka na uonevu wa Polisi dhidi ya wananchi (raia wema).
3. Tumezidiwa na mzigo wa kodi kubwa zisizoleta maendeleo huku wao wanapewa msamaha.
4. Tumechoka na kuporomoka kwa elimu
5. Huduma za jamii zimekuwa za kujuana kama si kutoa rushwa
6. Aache kuuza aridhi yetu kwa wageni
7. Mali asili zitumike tunufaisha sisi wananchi!.
8. Watu walipwe stahili zao baada ya kufanya kazi (madai ya wafanyakazi).
9. Aweke soko huru la mazo kwa wakulima na sio wafanyabihashara.
10.Afute wizara ya mambo ya nje maana yeye ana kofia mbili ya urais na waziri wa mambo ya nje.
11.
 
Kumbe Rutashubanyuma ni "CCM DAIMA" basi sitapoteza muda wangu na hekima yangu kwa mtu wa aina hii maana hakuna mwelevu kutoka CCM
 
Rutashubanyuma nilionya juu ya kugeuza hoja yako kuhusu watu kuliko kujikita katika mfumo....labda ungeuliza ni mfumo ndio ulioruhusu kutokuwa na utaratibu wa kuonyesha matumizi ya ruzuku na je Katibu ana nguvu ya kumbana Mwenyekiti?
Mbali ya hayo unajua circumstances za ununuzi wa hayo magari na hiyo miradi?

lemonade.................ili tuongelee mfumo na kuonekana tunaongelea mambo ya kweli lazima mifano itolewe ya watu hai na udaku walioufanya.................katibu mkuu ndiye mtendaji mkuu wa cdm sasa yawaje mbowe amruhusu afanye biashara na mwajiri wake na huku migongano ya masilahi iko wai namna hivyo? yawaje Dr. Slaa awe mwepesi kukemea ufisadi wa ccm na hata akawabandika majina ya kuwaabisha na shindwe kumtungii hata ubeti wa tenzi moja mbowe............kama halindi masilahi yake mle?.......mkuki kwa ccm lakini kwa cdm ni mchungu.........lol
 
Last edited by a moderator:
Moja ya Tatizo la CCM ni kutokuwajibishana ndani ya Chama Chao, Je unamaanisha Kwamba hata Chadema kuna hili tatizo?

Kitu cha pili, najua watu wanaoongoza CHADEMA ni binaadamu kama wale wanaoongoza CCM nachokuomba ni kwamba usisahau nguvu ya Culture katika uendeshaji wa Chama, ninaamini kwamba, kwa sasa CHADEMA kuna culture dhabiti ya kukabiliana na rushwa contrarly na CCM. Ninarudi kusoma upya kabisa post yako ya kwanza, sababu sijaelewa mpaka sasa unatumia basis gani kufananisha CHADEMA na CCM.
Hapo kwenye kuwajibishana Ruta atakwambia kuwa ni Demokrasia, kama vile kuwa mwanachama unapigiwa kura!
 
Kumbe Rutashubanyuma ni "CCM DAIMA" basi sitapoteza muda wangu na hekima yangu kwa mtu wa aina hii maana hakuna mwelevu kutoka CCM

Wa Ndima kuwa ccm haimanishi sote tunakubaliana na dhuluma utashangaa ccm wengi tuliwapigia kura cdm kwa kupinga wizi na ubadhirifu wa mali za umma...........tutangulize masilahi ya nchi halafu vyama vije baadaye.......
 
Last edited by a moderator:
Rutashubanyuma nilionya juu ya kugeuza hoja yako kuhusu watu kuliko kujikita katika mfumo....labda ungeuliza ni mfumo ndio ulioruhusu kutokuwa na utaratibu wa kuonyesha matumizi ya ruzuku na je Katibu ana nguvu ya kumbana Mwenyekiti?
Mbali ya hayo unajua circumstances za ununuzi wa hayo magari na hiyo miradi?

Lemonade..mfumo si unatekelezwa na watu? watu wasipokua na moyo wa kuufuata mfumo si yale yale maoza hata kama mfumo ni mzuri sana? In Africa my dear friend, we cant run away from discussing individual qualities of these so called political elites kwa sababu mifumo yetu, institutions zetu ni dhaifu mno...hata hii katiba mpya ikiwekwa viongozi wenye hulka na waoga watashindwa kuifuata...in short individuals are at the center of politics and discussing them is mandatory even US wanasema oh Romney ni tajiri, Obama hana values a, b, c haya yote ni kuongelea watu na siyo mfumo au policies
 
Hapo kwenye kuwajibishana Ruta atakwambia kuwa ni Demokrasia, kama vile kuwa mwanachama unapigiwa kura!

Kyaiyembe................mapungufu yote ya ccm yamo cdm tofauti tunayoweza kubishania ni ..........at what level and scale...............definitely aliyepo madarakani anasimamia pesa nyingi kulikoni huyo cdm na dhambi zake huwa lukuki....................kwa matazamo huo cdm wakibahatisha kuingia madarakani utawaona jinsi jeshi lao la viwavi jeshi litakavyotafuna hazina hadi utashangaa......
 
Last edited by a moderator:
Unashindwa nini kumweleza aliyepo sasa hivi kuwa;
1. Tumechoka Rushwa .
2. Tumechoka na uonevu wa Polisi dhidi ya wananchi (raia wema).
3. Tumezidiwa na mzigo wa kodi kubwa zisizoleta maendeleo huku wao wanapewa msamaha.
4. Tumechoka na kuporomoka kwa elimu
5. Huduma za jamii zimekuwa za kujuana kama si kutoa rushwa
6. Aache kuuza aridhi yetu kwa wageni
7. Mali asili zitumike tunufaisha sisi wananchi!.
8. Watu walipwe stahili zao baada ya kufanya kazi (madai ya wafanyakazi).
9. Aweke soko huru la mazo kwa wakulima na sio wafanyabihashara.
10.Afute wizara ya mambo ya nje maana yeye ana kofia mbili ya urais na waziri wa mambo ya nje.
11.

Kyaiyembe kila siku anaelezwa lakini mfumo uliopo unamfanya asitusikilize kwa sababu hahitaji kura zetu kututawala..........................hapo ndipo tatizo lilipo.........
 
Last edited by a moderator:
..halafu mbowe kama M/kiti lakini siyo mgombea urais, huoni kama ni kiini cha migogoro baadae? yaani Rais wa Jamhuri anamuogopa m/kiti wa chama chake uh!!! Us wale wenyeketi hawana nguvu , wanafanya kazi katika framework ya national convention, China kuna party secreatary na kundi la powerful leaders kama 20 au zaidi wanaomchagua Rais wa jamhuri..Nyerere hakua mjinga kumvika mwinyi kofia mbili
[MENTION]
mharakati[/MENTION].............mfumo ambao ninaupigania ni kuwa wanasiasa wakae mbali na nyadhifa ndani ya vyama vyao ili kuongeza uwajibikaji......kama wewe ni rais usiwe tena na wadhifa mwingine kama wewe ni mbunge unatoka wapi na cheo ndani ya chama ridhika na hicho kimoja tu.nahaya yatamkwe kwenye katiba za vyama vya siasa vinavyojiita makini kama cdm............
 
Back
Top Bottom