KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 2,590
- 4,601
Leo Tanzania ni Mwalimu katika mambo mengi, inaaminiwa katika mengi na inatambulika Kwa mengi sio tu Afrika bali duniani Kwa ujumla. Licha ya kwamba wanasema Nabii hakubaliki kwao lakini anayeifanya Tanzania kuwa hivi alivyo Leo ni Nabii anayekubalika ndio maana nataka hongera kwake, HONGERA CHAMA CHA MAPINDUZI.
Hongera CCM mwanamapinduzi wa kweli kwenye uchumi,siasa na maendeleo. Bila CCM pengine Tanzania tuliyonayo ingekuwa ni historia. Unaamini uchumi bora na maendeleo na siasa safi yanaletwa na utulivu na umoja na msingi huo umetusaidia kujenga na kuleta Mapinduzi makubwa ya kimaendeleo. Hakika wewe ni Chama Cha Mapinduzi.
Hongera CCM, Umetusaidia kuonesha njia ya kutokuwa na Tamaa ya madaraka kwa viongozi, tunajivunia Hilo. Tangu awamu wa ya kwanza mpaka sasa hatujasikia wala kusimuliwa kwamba Kuna kiongozi aliyewahi kugoma kutoka madarakani na umekuwa mstari wa mbele kutukumbusha falsafa ya kuachiana vijiti vya uongozi.
Hongera CCM, mpaka sasa umetupatia wenyeviti 6 ,ambao wameomesha dhamira ya dhati katika utumishi na uongozi. Viongozi mashujaaa wenye kiu ya kulibadilisha Taifa na kuwa kielelezo Cha demokrasia duniani.
Hongera CCM, busara na hekima zako za uongozi zimevuka mipaka na bahari na kama Afrika Leo ingekuwa nchi ninaamini Bado ungekuwa ni Chama tawala.
Hongera CCM, Mwalimu bora wa wakati wote wa siasa safi, demokrasia ,uhuru wa kutoa maoni , uvumilivu na mageuzi ya kiuchumi. Bila wewe hivi vitu vingekuwa ni anasa kwenye maisha ya watanzania.
Hongera CCM, kutupatia Rais Samia ambaye ni nembo ya mabadiliko ya kisera Kwa Taifa letu katika karne ya 21. Tanzania inajivunia wewe.
Hongera sana CCM ,wewe ni zawadi bora katika vifurushi vya zawadi walizozawadiwa watanzania.HONGERA CCM
Hongera CCM mwanamapinduzi wa kweli kwenye uchumi,siasa na maendeleo. Bila CCM pengine Tanzania tuliyonayo ingekuwa ni historia. Unaamini uchumi bora na maendeleo na siasa safi yanaletwa na utulivu na umoja na msingi huo umetusaidia kujenga na kuleta Mapinduzi makubwa ya kimaendeleo. Hakika wewe ni Chama Cha Mapinduzi.
Hongera CCM, Umetusaidia kuonesha njia ya kutokuwa na Tamaa ya madaraka kwa viongozi, tunajivunia Hilo. Tangu awamu wa ya kwanza mpaka sasa hatujasikia wala kusimuliwa kwamba Kuna kiongozi aliyewahi kugoma kutoka madarakani na umekuwa mstari wa mbele kutukumbusha falsafa ya kuachiana vijiti vya uongozi.
Hongera CCM, mpaka sasa umetupatia wenyeviti 6 ,ambao wameomesha dhamira ya dhati katika utumishi na uongozi. Viongozi mashujaaa wenye kiu ya kulibadilisha Taifa na kuwa kielelezo Cha demokrasia duniani.
Hongera CCM, busara na hekima zako za uongozi zimevuka mipaka na bahari na kama Afrika Leo ingekuwa nchi ninaamini Bado ungekuwa ni Chama tawala.
Hongera CCM, Mwalimu bora wa wakati wote wa siasa safi, demokrasia ,uhuru wa kutoa maoni , uvumilivu na mageuzi ya kiuchumi. Bila wewe hivi vitu vingekuwa ni anasa kwenye maisha ya watanzania.
Hongera CCM, kutupatia Rais Samia ambaye ni nembo ya mabadiliko ya kisera Kwa Taifa letu katika karne ya 21. Tanzania inajivunia wewe.
Hongera sana CCM ,wewe ni zawadi bora katika vifurushi vya zawadi walizozawadiwa watanzania.HONGERA CCM