Amini usiamini, CCM ina jukumu la kutupatia Rais bora mwaka 2015...

wengine tunaamini katika mfumo wa kidicteta ndugu yangu, na katika hili ninaamini kwamba mfumo wa kimocrasia sisi tumerukia gari kwa mbele, mfumo wa kidemocrasia unaambatana na elimu, ni katika jamii zilizoelimika pekee ambako asilimia kubwa ya wananchi wanafanya rational decisions ndiko wanakofaidika na mfumo wa kidemocrasia.

Moja ya tatizo la democrasia ni kama ulilolionyesha wewe, kwamba umefumbia macho matatizo yoooote ambayo CCM imelifikisha Taifa letu na kuangalia weaknesses za kuhesabu za wapinzani kisha umeamua kwamba CCM ni bora zaidi ya wapinzani, katika hili umejiweka kundi moja na wale wanaofanya maamuzi baada ya kula wali na kugombania kanga.

Sangarara hebu tueleze hivi katika khali hii ya Chadema kuiga mfumo wa kiutawala kutoka ccm wanao ubunifu wa kutupatia viongozi bora au kama siyo kuangalia ccm wanafanya uppuzi gani nao kukemea tu?
 
Last edited by a moderator:
Ruta kwa hili sikubaliani nawewe japo kuna some point la kishibisha matumbo.
Mimi ningependa kwasababu ccm imeonyesha kushindwa na wapinzani wanafanana basi tumpate raisi asiyetoka chama cha siasa, independent candidate.

Remmy kama yupo mie naunga mkono khoja..............kwa kiukweli sina imani na vyama hivi vya siasa ila yupo ambaye tutamkubli huyo kutoka kwenye mgombea binafsi?
 
Last edited by a moderator:
Kwa kifupi ni kwamba wakichoka na kukata tamaa zaidi, wanaweza hata kumchagua kichaa kuongoza nchi au kuacha kwenda kupiga kura. Ulishawahi kujiuliza au kuuliza mtu ni kwa nini hakwenda kupiga kura ? na hivyo nchi yenye watu zaidi ya 40 milioni, watu milioni 5 tu wanajitokeza kupiga kura ? Ukiwahoji baadhi watakwambia "nilijua watashinda wale wale". Kitu ambacho sio kizuri, maana ipo siku wataacha kwenda wote.

Ni mara ngapi tumeshuhudia katika baadhi wa majimbo ya uchaguzi watu wakisema.... wananchi walikuwa wamemchoka kiasi kwamba hata angesimama na kichaa angeshindwa tu........Ogopa Jamii iliyokosa tumaini.
 
RUTA...wanasema the devil we know is better than the devil we dont know...hawa wapinzani hawaaminiki, hizi kelele za kishabiki wakiwa nje ukiwaingiza uwanjani hata dana dana mbili zitawashinda..sioni kitu kabisa pale.

2015 CCM inatoa Rais wakubali wasikubali, hii m4c ya bottom up, haina maana M4c uanza na wananchi wenyewe kupitia wanaharakati wa kijamii na kisiasa na siyo viongozi wa vyama vya siasa (haswa hawa wabinafsi kama CDM)
 
Ruta kuna kitu unakitafuta, kutoa hoja kama hizi kuhusu 2015 unataka kujiletea matatizo!
maana CCM wakigundua malengo yako, WAFA! unadiriki kusema waliotangulia wote BOMU!
Sasa mabomu waliwekwa na mabomu wenzao na katika mabomu hayo hayo hata wakitumia wananchi atatoka humohumo tu.
Yaani sasa umewasiliba ungesema wamo wachache wazuri tungesema watabaahatisha tena 2015,
Lakini umesema MABOMU.
Na nikiangalia wanavyolipuana ndani ya chama Duh Kweli ni MABOMU.
Na sisi tu nasema tumechoka kulipuka wamelipua vyakutosha sasa basi.

Sina shaka unalo lako jambo weye!.

Kyaiyembe.........usifanya kazi kwa kukhofia lolote mwanadamu ulizaliwa siku moja na utakufa siku moja...la muhimu hapa ni mfumo upi utatusaidia kupata Raisi bora 2015? CCM wanakubali wana mapungufu na ndiyo hayo ya kujivua gamba kwa maana ya kubadilishamfumo wa uongozi mzima.............Chadema wana matatizo makubwa ya kimfumo lakini wameyafumbia macho na wanataka wao tuwaamini na mfumo wa ki-ccm-ccm sasa yawezekana kweli.....waanze kurekebisha mfumo wao kwa kutenganisha kazi za wabunge una uongozi ndani ya chama chao.............khalafu ndiyo waone kibwenzi ndani ya jicho la ccm
 
Last edited by a moderator:
Kwa kifupi ni kwamba wakichoka na kukata tamaa zaidi, wanaweza hata kumchagua kichaa kuongoza nhi au kuacha kwenda kupiga kura. Ulishawahi kujiuliza au kuuliza mtu ni kwa nini hakwenda kupiga kura ? na hivyo nchi yenye watu zaidi ya 40 milioni, watu milioni 5 tu wanajitokeza kupiga kura ? Ukiwahoji baadhi watakwambia "nilijua watashinda wale wale". Kitu ambacho sio kizuri, maana ipo siku wataacha kwenda wote. Ni mara ngapi tumeshuhudia katika baadhi wa majimbo ya uchaguzi watu wakisema.... wananchi walikuwa wamemchoka kiasi kwamba hata angesimama na kichaa angeshindwa tu........Ogopa Jamii iliyokosa tumaini.

sawabho hayo ni matatizo ya kimfumo tu na yaanzie ndani ya vyama kurekebishw asiyo chama kidai kinasubiri kukamata dola ndiyo kianze marekebisho hicho tukiogope kama mwenye ukoma............
 
Last edited by a moderator:
lemonade.........acha kukufuru ccm ingelikuwa imeshindikana hadi binguni na duniani yote si nchi ingelikuwa kwenye vurugu kubwa.............asubuhi unakaa na kunywa kikombe cha chai khalafu unatoa mahuzuniko.................au wadaia gharika ya chadema ikufikie kama kule zambia ilivyotokea khalafu baadaye turudi tena ccm?

Rutashubanyuma you are missing my point....kuendelea kuipatia CCM credibility ya kutupatia mgombea bora bila ya kuangali udhaifu mkubwa iliyokuwa nayo ni kutotutakia mema.......mapenzi aside ninaweza kukubaliana na wewe kuhusu reforms ili tupate mfumo mzuri zaidi na hilo halitatakiwa kufanywa kwa pupa, kumbuka CDM imetoka wapi na wako wapi sasa....focus iko wapi sasa? Tusibeze CDM na juhudi zake bali tujiulize kama kuna room for change...
By the way...i'm not enjoying a cup of tea right now...maisha magumu courtesy of CCM....lol
 
Last edited by a moderator:
RUTA...wanasema the devil we know is better than the devil we dont know...hawa wapinzani hawaaminiki, hizi kelele za kishabiki wakiwa nje ukiwaingiza uwanjani hata dana dana mbili zitawashinda..sioni kitu kabisa pale.

2015 CCM inatoa Rais wakubali wasikubali, hii m4c ya bottom up, haina maana M4c uanza na wananchi wenyewe kupitia wanaharakati wa kijamii na kisiasa na siyo viongozi wa vyama vya siasa (haswa hawa wabinafsi kama CDM)

mharakati.,.................tatizo la chadema ni kuwa .............wanadai wako serious but they are not serious.......................wangelikuwa makini wangelianzia kurekebisha chama chao na kuwaondoa wabunge wote kwenye ngazi za uongozi wa chama ili kuongeza uwajibikaji khalafu ndiyo waanze kukikejeli ccm.....vinginevyo why should we trust a ccm imposter while we can have a real deal in ccm?
 
Last edited by a moderator:
Kyaiyembe......tuanza na nafasi ya upatikanaji wa wabunge uchaguzi wa 2010............je tofauti ya ccm na chadema ilikuwa ni nini?..................mwezetu ambaye unajua............
Chadema inapendwa sana na watu lakini haina wanachama wengi kiasi hicho, na ndiyo maana unaweza kukuta katika Jimbo husika kulikuwa kuna wanachama kama 200 kwa mwaka 2010.

Ukiacha maeneo ya mijini lakini vijijini ni wapenzi sana sana.

Pamoja na kuvuna wengi kutoka CCM kwa kipindi hiki lakini sidhani kama tumeishafikia wanachama 600,000 (laki sita); Sasa ebu linganisha na Chama chenye watu karibu 5,000,000 (milioni tano).

Kwa kifupi ni vigumu vyama hivi kufanya michakato inayolingana kwa muonekano japo yaweza kuwa inafanana.

Kuhusu madiwani wao wanajua taratibu za CDM sema uroho wao uliwaponza, chama hakiwezi kuwa na taratibu na sheria bubu!.

Hayo yapo CCM ndiyo mila zao
 
Rutashubanyuma you are missing my point....kuendelea kuipatia CCM credibility ya kutupatia mgombea bora bila ya kuangali udhaifu mkubwa iliyokuwa nayo ni kutotutakia mema.......mapenzi aside ninaweza kukubaliana na wewe kuhusu reforms ili tupate mfumo mzuri zaidi na hilo halitatakiwa kufanywa kwa pupa, kumbuka CDM imetoka wapi na wako wapi sasa....focus iko wapi sasa? Tusibeze CDM na juhudi zake bali tujiulize kama kuna room for change...
By the way...i'm not enjoying a cup of tea right now...maisha magumu courtesy of CCM....lol

lemonade..........................then the feeling is very mutual...........hata mimi naona hujanielewa............katika hii makala ninachoongelea siyo ccm itatupatia Raisi bora..............bali wanajukumu la kihistoria la kufanya hivyo kama watakamilisha zoezi la kujivua gamba kwa maana ya kubadilisha mfumo wa upatikanaji uongozi ndani ya ccm na kufifilisha vyanzo vya rushwa kwenye chaguzi zake na kufutilia mbali uongozi wa kitaifa kuinglia chaguzi tajw apale ambapo mpambe wao hajashinda............kama wangeliyafanya hayo mwaka 1995 mathalani hadi leo Dr. Slaa angelikuwa ccm.............
 
Last edited by a moderator:
Kyaiyembe.........usifanya kazi kwa kukhofia lolote mwanadamu ulizaliwa siku moja na utakufa siku moja...la muhimu hapa ni mfumo upi utatusaidia kupata Raisi bora 2015? CCM wanakubali wana mapungufu na ndiyo hayo ya kujivua gamba kwa maana ya kubadilishamfumo wa uongozi mzima.............Chadema wana matatizo makubwa ya kimfumo lakini wameyafumbia macho na wanataka wao tuwaamini na mfumo wa ki-ccm-ccm sasa yawezekana kweli.....waanze kurekebisha mfumo wao kwa kutenganisha kazi za wabunge una uongozi ndani ya chama chao.............khalafu ndiyo waone kibwenzi ndani ya jicho la ccm

Hivi ndugu Rutashubanyuma you call hii joke ya kujivua gamba ni kubadilisha mfumo....mimi naona kulikuwa hakuna nia ya dhati katika hilo zaidi motives tu
Regardless of CDM's shortcomings usitake kutuaminisha CCM wana dhamira safi popote
 
Last edited by a moderator:
Chadema inapendwa sana na watu lakini haina wanachama wengi kiasi hicho, na ndiyo maana unaweza kukuta katika Jimbo husika kulikuwa kuna wanachama kama 200 kwa mwaka 2010.

Ukiacha maeneo ya mijini lakini vijijini ni wapenzi sana sana.

Pamoja na kuvuna wengi kutoka CCM kwa kipindi hiki lakini sidhani kama tumeishafikia wanachama 600,000 (laki sita); Sasa ebu linganisha na Chama chenye watu karibu 5,000,000 (milioni tano).

Kwa kifupi ni vigumu vyama hivi kufanya michakato inayolingana kwa muonekano japo yaweza kuwa inafanana.

Kuhusu madiwani wao wanajua taratibu za CDM sema uroho wao uliwaponza, chama hakiwezi kuwa na taratibu na sheria bubu!.

Hayo yapo CCM ndiyo mila zao

Kyaiyembe..........kumbe haya yote wayajua.......lakini tuzame ni namna gani tutaishawishi Chadema iachane na ukritimba wa ccm kwa maana yakimfumo ili tuweze kukichagua kwa mfumo huu ilichonacho itaanguka tu comes 2015............na sasa watakuwa hawana kisingizio cha kusema tume huru maana tume huru itakuwepo kazini..........
 
ccm kuanzia 2010 waliporuhusu wabunge wake wachaguliwe na wananchi moja kwa moja...

chadema bila ya kupitisha kura ya maoni kwa wapigakura wa Arusha... ilipotengua madiwani wakaidi wa Arusha...


USHAURI:

... chama chochote kile cha siasa ambacho kitashirikisha wanachama wake katika kuteua viongozi watakaopeperusha bendera za vyama vyao katika UBUNGE...

Have your say too...unaridhika na demokrasia ndani ya vyama vya siasa hasa hivi vya upinzani hata sasa kuviamini kutupatia Raisi na viongozi wengineo bora bila ya kutushirikisha grassroots?

Try to be smart next time mkuu, unapotaka kuzunguka mbuyu...

Nikiunganisha hizo dots tatu tu (sikuwa hata na haja ya kusoma between lines), clearly nimegundua una chuki binafsi na CHADEMA inayotokana na CHAGUZI ZIJAZO hapo jijini Arusha, kwa maana kwamba upepo wa kuteua wagombea hauelekei yaliko maslahi yako...

Unabisha???
 
Rutashubanyuma maana ya demokrasia ni nini?

NAONA CCM WAMEUFANYA HUO MSAMIATI KWAKO KUWA MGUMU SANA NA SIJUI HUO UTAFITI WAKO UMEUFANYA KWA MUDA GANI? SINA UHAKIKA SANA NA UKUSANYAJI WAKO WA DATA MAANA INAONEKANA ULIKURUOUKA ISHU YA ARUSHA UKIUKAJI WA UNAOIITA DEMOKRASIA NI UPI? THEN UNAWEZA KUNIELEZA CCM KATIKA KURA ZA MAONI YA UBUNGE WANAFUATA DEMOKRASIA KWELI NA UTHIBITISHE HAYA
 
Last edited by a moderator:
Hivi ndugu Rutashubanyuma you call hii joke ya kujivua gamba ni kubadilisha mfumo....mimi naona kulikuwa hakuna nia ya dhati katika hilo zaidi motives tu
Regardless of CDM's shortcomings usitake kutuaminisha CCM wana dhamira safi popote

lemonade...dhamira haipo lakini angalau hata wameanza na cdm wako wapi katika kurekebisha mfumo wa uendeshaji wa chama chao kwa kutenganisha shughuli za chama na za serikalini ambalo ndilo chimbuko kuu la ufisadi?.wanadai vua gamba vaa gwanda ........................gwanda lipi ambalo lina gamba la mfumo wa ki-ccm?...............let us be serious and talk some serious issues about governance inside cdm.......................nobody knows anything there apart from cashing in on our poverty...............
 
Last edited by a moderator:
Rutashubanyuma


Wewe Ruta si unatoka eneo anakotoka aliyetenda DHAMBI ya kumuhukumu Kamanda LEMA kweli?, kama unamawazo hayo basi wewe utabaki peke yako pamoja na aliyenuhukumu Kamanda wetu. Umelishwa na nini Kaka, wewe ni msomi bwana unatuangusha aisee, change your mind.
 
Try to be smart next time mkuu, unapotaka kuzunguka mbuyu...

Nikiunganisha hizo dots tatu tu (sikuwa hata na haja ya kusoma between lines), clearly nimegundua una chuki binafsi na CHADEMA inayotokana na CHAGUZI ZIJAZO hapo jijini Arusha, kwa maana kwamba upepo wa kuteua wagombea hauelekei yaliko maslahi yako...

Unabisha???

Tuko.............pole sana hivi kuhoji mfumo mbovu wa utawala ndani ya CDM sasa hizo ndizo chuki binafsi?
 
Last edited by a moderator:
sawabho hayo ni matatizo ya kimfumo tu na yaanzie ndani ya vyama kurekebishw asiyo chama kidai kinasubiri kukamata dola ndiyo kianze marekebisho hicho tukiogope kama mwenye ukoma............

Ruta. Ni kweli ni matatizo ya Kimfumo, lakini ni nani alyekuwa Mratibu mpaka mfumo huo ukawa kama ulivyo ? Kwa maana kwamba huyo tayari ameishasababisha watu kukata tamaa na watu wake; hivyo, kwa mfumo huo huo tutashuhudia idadi ndogo ikijitokeza kupiga kura kwa kisingizi kuwa mfumo utatoa viongozi wale wale wasiofaa kwa hiyo ni afadhali mtu akae mtaani akipiga soga kuliko kushiriki kuchagua kiongozi asiyefaa.
 
Rutashubanyuma maana ya demokrasia ni nini?

NAONA CCM WAMEUFANYA HUO MSAMIATI KWAKO KUWA MGUMU SANA NA SIJUI HUO UTAFITI WAKO UMEUFANYA KWA MUDA GANI? SINA UHAKIKA SANA NA UKUSANYAJI WAKO WA DATA MAANA INAONEKANA ULIKURUOUKA ISHU YA ARUSHA UKIUKAJI WA UNAOIITA DEMOKRASIA NI UPI? THEN UNAWEZA KUNIELEZA CCM KATIKA KURA ZA MAONI YA UBUNGE WANAFUATA DEMOKRASIA KWELI NA UTHIBITISHE HAYA
SAMRICH1,

Sijui kwanini mnashupalia suala la Arusha tu huo ni mfano tu wa kuonyesha mapungufu ndani ya cdm na mfano mwingine ni jinsi vibosile wa cdm wanavyotafuna ruzuku kama ccm inavyotafunwa...... Ninaomba unipe maeneo ambayo mfumo wa uendeshaji wa cdm jinsi unavyotofautian na wa ccm ili tukione kweli ni chama makini lakini kama ubunifu wao ni kuiga mfumo wa ccm je wako tayari kukamata dola na kutuletea mageuzi ambayo yameishinda ccm?
 
Last edited by a moderator:
Kyaiyembe.........usifanya kazi kwa kukhofia lolote mwanadamu ulizaliwa siku moja na utakufa siku moja...la muhimu hapa ni mfumo upi utatusaidia kupata Raisi bora 2015? CCM wanakubali wana mapungufu na ndiyo hayo ya kujivua gamba kwa maana ya kubadilishamfumo wa uongozi mzima.............Chadema wana matatizo makubwa ya kimfumo lakini wameyafumbia macho na wanataka wao tuwaamini na mfumo wa ki-ccm-ccm sasa yawezekana kweli.....waanze kurekebisha mfumo wao kwa kutenganisha kazi za wabunge una uongozi ndani ya chama chao.............khalafu ndiyo waone kibwenzi ndani ya jicho la ccm
Unataka wawaige CCM? muhimu ni kukomesha Ufisadi na Rushwa hata ukiwa na wabunge wasio viongozi kama Badwel wa BAhi nchi itaenda wapi?
Kifupi rudi ukafanye tena huo 'Upembuzi Yakinifu' tangu 2010.
Mambo ya msingi kimaamuzi yaliyofikiwa hapa kwetu, yamefikiwa kwa nguvu ya CHAMA gani?
Na mambo hayo hayo yalikuwa yakipingwa na CHAMA gani?
Na kama hautakuwa na aibu ebu jaribu kutaja mashujaa 10 wa kisiasa wapigania haki za wananchi katika kipindi cha miaka kumi iliyopita hapa nchini!.
 
Back
Top Bottom