Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
- Thread starter
- #41
wengine tunaamini katika mfumo wa kidicteta ndugu yangu, na katika hili ninaamini kwamba mfumo wa kimocrasia sisi tumerukia gari kwa mbele, mfumo wa kidemocrasia unaambatana na elimu, ni katika jamii zilizoelimika pekee ambako asilimia kubwa ya wananchi wanafanya rational decisions ndiko wanakofaidika na mfumo wa kidemocrasia.
Moja ya tatizo la democrasia ni kama ulilolionyesha wewe, kwamba umefumbia macho matatizo yoooote ambayo CCM imelifikisha Taifa letu na kuangalia weaknesses za kuhesabu za wapinzani kisha umeamua kwamba CCM ni bora zaidi ya wapinzani, katika hili umejiweka kundi moja na wale wanaofanya maamuzi baada ya kula wali na kugombania kanga.
Sangarara hebu tueleze hivi katika khali hii ya Chadema kuiga mfumo wa kiutawala kutoka ccm wanao ubunifu wa kutupatia viongozi bora au kama siyo kuangalia ccm wanafanya uppuzi gani nao kukemea tu?
Last edited by a moderator: