rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Watanzania tuna background mbovu kabisa, siasa na maisha tuliyoishi yametuharibu na hatufai hata kidogo, hapa tukisema chadema hawafai tutapigwa mawe mchana mchana, kuna watu wanalinda kwa gharama yoyote ile chadema iendelee mbele bila sisi wanachama kuona upande wa pili wa shilingi, by the way wewe Rutashubanyuma si mmojawapo wa warundi mliochukua uraia kienyeji hapa tanzania,nimesoma post zako nyingi inaonekana kama huna uzalendo na nchi yetu, hata mambo ya east africa unavyoongea ni kama una maslahi na wakenya.
Sitaki kuongea mengi kwenye post hii kwa sababu imeletwa na wewe,ila nipo busy naandaa post ya kutaka mambo yote ya chadema yawekwe wazi ili tuweze kuwajua,nafanya hivyo kwa sababu najua chadema imetoka kwa watanzania hao hao waliandaliwa na ccm na hakuja kutoka mbinguni,nipe muda kidogo
Sitaki kuongea mengi kwenye post hii kwa sababu imeletwa na wewe,ila nipo busy naandaa post ya kutaka mambo yote ya chadema yawekwe wazi ili tuweze kuwajua,nafanya hivyo kwa sababu najua chadema imetoka kwa watanzania hao hao waliandaliwa na ccm na hakuja kutoka mbinguni,nipe muda kidogo
Last edited by a moderator: