Aliyechomwa moto South Beach afariki! Kigamboni vurugu tupu

mimi kuna mjinga mjinga moja wa temeke bakery iliyopo karibu na libya street? nilikwenda chukua keki ya birthday ya mtoto, basi naye akaja moto moto nitoe gari, basi zilipanda zile hasira za kimasai nilimbonda mbele ya staff wake halafu nikamwambia akalete hao mabwana zake anaofikiria wata mtetea, washenzi saana hawa watu, na ni sisi wenyewe tunawaachia wanatutia vodole machoni, kutokana na kuwa na viongozi wabovu wabofu

Mimi kuna mzungu mmoja alimleta mbwa wake aje kunya kwenye ka kampaundi kangu. Halafu mi mtu mwenyewe safari kitambo, nishabaguliwa sana na wazungu kwao siwafagilii hata kidogo, na najua kwao mtu hatembezi mbwa bila kuwa na kifuko mkononi ili akichafua mazingira unaokota njee la mbwa wako. Basi hasira zilinipanda kuzidi sniper, nikamfata yule mzungu nikamwambia yani unamtoa mbwa wako ndani kwako unamleta aje kuachia njee kwenye eneo langu? Okota mavi yenu sasa hivi kabla sijashuti hicho kijibwa manyoya, e bwana mzungu akajua kweli nimebeba kubwa, alitoka nduki huku anatukana nilimwonea huruma...na njia akabadili

Foreigners wana dharau sana, na ni sisi ndio tunawaendekeza.
 
mimi ni mtanzania na ninaishi Tanzania na huko nje (1) unakosema nimeenda mara kibao- tazama vizuri tukio hili- Lilah alikamatwa na wamatumbi wenzzie, alichomwa moto na wamatumbi wenzie, wewe unakomazza issue kwa kuwa eti meneja unayethani alifanya unyama huu ni foreigner. My point which i wanted you and others to understand is unyama wa ainahii unafanyika kila siku mitaani- hapa badala ya kukemea unyama tuna-discuss unyama wa foreigner. (2) To me this is missing the track. (3) Nataka tutafute namna ya kumaliza unyama huu.
1. Umekwenda mara kibao lakini inaonekana kila mara ulikuwa unachungulia tu. Hujakaa vya kutosha (according to my experience, it takes a minimum of 15 years to start to grasp the realities)!

2. Looks like it is you that is missing the track here.

3. I fully agree with you, but I do not think we should use this particular case as a starting point.
 
Hii ndio bongo haki si, haki ila haki isubilie mungu atakapokulipia, nazani ndio nchi pekee chini ya uso wa dunia watu wake wanaishi kwa kutegemea mapenzi na kudra za Mwenyezi Mungu.Bongo ukiwa na Mkwanjaa wewe Don.Mfumo umejitoa kwenye kutetea haki na unaongoza kutetea wavunja na wanyanganya haki za wengine.

Jamii nayo imekumbatia wahalifu wakubwa na wanakua kioo cha jamii vibaka ndio wanaochomwa moto na hawana haki ya kuishi, waishi wao kama nani wakati hawana chochote cha kuwapa wenye maitaji yao.Mfumo una furahia matendo hayo kwa sababu jamii imechanganywa kiasi kuwa mfumo unatishwa [Confusion] kila mtu anaogopa kivuli chake,ukikuta wenzetu wahindi wana ufahamu na hilo wanacheza na mfumo na wanafaidika na mgongano huo.

Ndio maana watakachofanya kiongozi mpya akiingia madalakani ngazi yoyote ile iwe Serikalini na sehemu zingine zenye maamuzi watajisogeza mpaka kwa kiongozi wanaejua ana dhamana watajiweka karibu yake, na kumfanya mkubwa huyo kuona kuwa ni mbalikiwa na mteule ambae hata ngozi nyeupe inamtetemekea.Wakishajua wamewekeza wanacheza na mfumo kama wanavyotaka.

Utawaambia nini wakati jana walikua na mtoa maamuzi wakinywa mvinyo pamoja, na kwa sababu mfumo hauko kuoji mahusiano ya viongozi na jamii hizi bali huko kusikiliza nani anasema nini kuhusu kiongozi wa ngazi ya maamuzi, hivyo kuwapa tiketi ya kula pepo au bata uku walinzi wetu wakiamini mkubwa anajua na amebaliki hicho kinachoendelea na huku mkubwa huyo ajui chochote kinachoendelea kwa jamaa hawa walio mzunguka akifikilia yeye ni mbalikiwa kwa kuzungukwa na ngozi nyeupe zenye kumnyenyekea.

Wenzetu hawa wanajua jinsi mfumo wetu ulivyojichanganya na kuwa viongozi wengi wamekua wahanga wa vitisho mpaka wanapata madalaka hawajui nani ni kivuli kinachoogopeka, zamani alikua Mwalimu,tena kwa wakati ule ni afadhali kwa maaana mwalimu alikua ndie msimamizi wa mfumo kwa maana ndio kinala wa mwisho kuamua na kutoa majibu ya utata na mwelekeo wa kuivusha jamii toka hatua moja kwenda nyingine.

Lakini kwa sasa ajulikani nani anamwogopa nani, mfumo umechanganywa mpaka controller wa mfumo ajulikani ni nani, kila mtu mtu ni mhanga wa woga, hofu kile cha kutishana na matumizi mabaya ya ufahamu wa elimu ya kuinua ustaraabu wa maisha ya binadamu.[Mbaya sana mfumo ukiwa umeangukia kwa mtu asiye mwamini mungu [ambayo Mwalimu JK alisema yeye ni muumini wa Imani ya Kikristo na anaamini kuna mungu hapa duniani kuliko kutokuamini kisha siku ya mwisho akute kuna Mungu,aliamini kwa kuamini kwake akiwa hai aimpunguzii chochote.]

Kukosa imani kwa wasiamaizi a mfumo ndio hiyo wengine wanachukua sheria mkononi kupoteza uhai wa wengine uenda kwa issue ya Jero ama Buku imeondoa uhai wa mtu.Lakini zama za wasio imani kuongoza jamii na kumilki philosophy zenye zaidi mwelekeo wa kanuni za mbugani [Survive of the fittest];the court break become the court breaker.Na kufukuzia mbali zile kanuni za mwasis wa Taifa ili, kanuni za kistaarabu zenye kujali utu wa binadamu,zenye kuthamini na kulinda haki ya kila mmoja wetu, hata kama amevunja sheria mahakama ndio itatoa hukumu ya makosa yake.Wanasocialogy wakitanzania mtusaidie kutoa ushauri kuhusu Minority kumilki uchumi wa majority ni philosophy hatarishi kwa ulimwengu wa sasa.
 
mimi ni mtanzania na ninaishi Tanzania na huko nje unakosema nimeenda mara kibao- tazama vizuri tukio hili- Lilah alikamatwa na wamatumbi wenzzie, alichomwa moto na wamatumbi wenzie, wewe unakomazza issue kwa kuwa eti meneja unayethani alifanya unyama huu ni foreigner. My point which i wanted you and others to understand is unyama wa ainahii unafanyika kila siku mitaani- hapa badala ya kukemea unyama tuna-discuss unyama wa foreigner. To me this is missing the track. Nataka tutafute namna ya kumaliza unyama huu.
wewe ndio una-miss ze point, kibaka wa mtaani anaweza kutumia nguvu, kisu nk kukwapua chupi, saa, simu nk kwa mtu aliye kipata hicho kitu kwa shida saana, huyu hakutumia nguvu kuingia hapo, na hela yenyewe kama kweli ya kiiongilio ni shs ngapi aliyo ? aliyo poteza maisha, umewahi kusikia neno kutumia nguvu kupita kiasi? kibaka ambaye atatumia kisu etc kuni vamia mimi na watu kuona mimi ninaonewa wakatumia nguvu/umoja wao kumthibiti ni tofauti na huyu jamaa ambaye haja tumia nguvu kuingia hapo, kwanza hiyo kuvikwa kitambaa nk ni tabia gani, umekuwa kuku, au begi la mizigo mpaka uwekewe alama hizo.
 

TITAN - Today 06:03 AM
progress.gif
Edit Report
KWAHILI LA KIJANA MWENZETU KUAMRIWA KUCHOMWA MOTO LINATUFUNDISHA NINI?
Imekuwa ni lawaida kwa baaadhi ya maboss katika sehemu mbalimbali kujichukulia sheria mikononi na kunyanyasa sana wafanyakazi wao.
Kitendo kilichotokea hivi karibuni katika fukwe ya kigamboni kwa Kijana kuchomwa moto kimenisikitisha na kunitisha sana na si kwasababu ya unyama huu la hasha ni kwa kiburi na amri iliyotolewa na huyo boss kwa kijana huyu achomwe moto,
Si kwamba alikamatwa amekwapua au ameiba kitu kwa mtu yeyote eti ni kwasababu AMEZAMIA DISCO aingii akilini kabisa kwamba binadamu anapoteza maisha kwa sababu tuu ya Sh 10,000.00
Tunaomba sana mkono wa sheria utende aki na iwe fundisho kwa watu wanao jichululia sheria mikononi
Jamani tujadili na tuangalie jinsi ya kutoa maoni nini kifanyike kusaidia jamii yetu ya watu maskini ambao tumedharauliwa mpaka tunachomwa moto kwa amri ya mtu mmoja asiye na upeo wa kufikiria.
 
fafanua alichomwa moto kigamboni kwa ajili ya kuvamia disco lipi?? lililoandaliwa na nani?? kwa ajili ya nani? na akina nani waliamuriwa kuchoma huyo kijana? waliamuriwa na boss wao yupi? wa idara gani? na aliyechomwa moto ni nani akiwa mbele ya watu gani? Source ya taarifa??Tukijua mambo kama hayo, mjadala utakuwa mzuri.
 
Si naskia amevuta? apumzike kwa amani! ok, ndio vivutio tulivyowawekea wawekezaji kuwa wawe na amri hata ya kuua!!!!!
 
Hapa tuna mengi ya kutazama:
1. Kuwa watanzania sasa wanaakili moja tu juu ya mharifu= mudhibu mwenewe utakavyo. Ndo maana kijana alichomwa moto na wamatumbi wenzie tene wanaomjua.
2. Watanzania hawathamini masha yao, ndo maana marehemu(RIP) ali gatecrush bila kuzingatia madhara yanayoweza kumpata.
3. Kuwa wengi wetu hatujui ukubwa wa tatizo hili, ndo maana ktk dhahma hii badala ya kujadili tatizo la watanzania wengi kupotezza maisha kwa kuchomwa moto kwa kisingizio cha wizi tumamjadili meneja wa hotel(kisa ni muwekezaji), hii haitupi solution. Kunawatanzania wamepoteza maisha kwa kupigiwa kelele za mwizi kumbe wao ndo walikuwa wameporwa mali zao-who to blem?. Let us have non spuriousness on this.
 
Hivi wawekezaji wana haki ya kunyanyasa wazawa kwa sababu ya mitaji yao? Hivi hii ingekuwa India kule kungetokea nini? Huwa tunasoma tu kwenye news kwamba wabongo wanaosoma India wanauawa huko kumbe hata hapa wahindi bado wanaweza wakaamuru raia wa bongo apigwe moto, kisa kazamia disco pale south beach kigamboni! Tutafakari
 
Sisi wenye watoto matumbo yanauma, tena yanauma hadi tunapata uchungu kama wa kuzaa.

RIP mtafutaji.
 
Nadhani ni maeneo ya South Beach Kigambo Mjimwema,, jana nilipita maeneo hayo nikasikia habari kwamba wananchi wa hapo nao wameamua kulipiza kisasi kwa wahusika hao ambao ni wahindi,,

bahati mbaya sikupata source imara ya habari hiyo kwasababu kila ulieokutana nae hakua tayari kukueleza kwa kina lakini nilishuhudia matairi yakichomwa njiani kueleka hoteli ya kipepeo
 
Hapa tuna mengi ya kutazama:
1. Kuwa watanzania sasa wanaakili moja tu juu ya mharifu= mudhibu mwenewe utakavyo. Ndo maana kijana alichomwa moto na wamatumbi wenzie tene wanaomjua.
2. Watanzania hawathamini masha yao, ndo maana marehemu(RIP) ali gatecrush bila kuzingatia madhara yanayoweza kumpata.
3. Kuwa wengi wetu hatujui ukubwa wa tatizo hili, ndo maana ktk dhahma hii badala ya kujadili tatizo la watanzania wengi kupotezza maisha kwa kuchomwa moto kwa kisingizio cha wizi tumamjadili meneja wa hotel(kisa ni muwekezaji), hii haitupi solution. Kunawatanzania wamepoteza maisha kwa kupigiwa kelele za mwizi kumbe wao ndo walikuwa wameporwa mali zao-who to blem?. Let us have non spuriousness on this.

Kweli ndugu,tumekubali kuondoa thamani ya utu wa mtanzania.... kwanzia serikalini mpaka uraiani, tujikumbushe watz waliokwama kwenye nchi zenye machafuko, kisa cha wale wanafunzi waliotelekezwa kule ukraine (kama sijakosea)
Polisi kupiga risasi raia (kesi ya Zombe) na hata kuwaua waandamanaj, wawekezaji kwenye mashamba huko mbozi na babati na maeneo mengine, hiyo yote ni kutelekeza maadili ya utu wa kitaifa kwa kutozingatia sheria ambapo wananchi wanageuka victim matokeo yake na wao wanaanza kushughulikiana sababu wanaona "who cares??"
Hii sio nzuri sana hasa tukizingatia nchi ina ombwe la uongozi, ni vigumu kwa raia kubadilika kama hawaoni mkondo wa uwajibikaji toka juu (Viongozi).... Viongozi watakapo anza kuonyesha kujali na kuheshimu masikini wa nchi hii ndivyo ambavyo hiyo itapita kati ya masikini kwa masikini, kwa tajiri na kwa kizazi kijacho.
 
Nasikia huyo mhindi sio mara yake ya kwanza kufanya tukio kama hili,alishawahi kuua mtu ila polisi wakapozwa, likaisha kimya
 
Hivi wawekezaji wana haki ya kunyanyasa wazawa kwa sababu ya mitaji yao? Hivi hii ingekuwa India kule kungetokea nini? Huwa tunasoma tu kwenye news kwamba wabongo wanaosoma India wanauawa huko kumbe hata hapa wahindi bado wanaweza wakaamuru raia wa bongo apigwe moto, kisa kazamia disco pale south beach kigamboni! Tutafakari

Ndiyo tutafakari, lakini tujadili tatizo na si kumjadili mhindi, kumbuka kesi ya zombe- inasemekana aliamrisha wauza madini wauawe?, kama ni kweli je, na yeye ni muwekezaji? , vijana /watu wangapi wanuawa kila siku mitaani ati ni wezi- ni amri ya muwekezaji?
 
ushauri wangu mi naona wakimuona huyo ponjori nae wamchome moto kwan ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga..lkn kuwa subiri hawa wala rushwa watoe hukumu inakula kwetu so kinatakiwa auwawe mara moja na kama dola itajitokeza na yenyewe iwajibike I HATE NEO-COLONIALISM....
 
ni Nchi hii tu ambapo wawekezaji wanafanya wanachotaka hakuna ma labour Inspector ambao wanatakiwa wawe wanapita kwa dharura kuangalia usalama wa wafanyakazi na wananchi wanaozunguka maeneo hayo hawa wawekezaji wanawanyanyasa sana wafanyakazi kuwageuza wanaume kuwa mabibi,kuwavunja mbavu na miguu,kuwafanyia kazi masaa mengi ujira mdogo,kuwalaza kwenye mazingira ya ovyo,kuwafanyisha kazi bila vifaa vya kinga kama mabuti gloves na mask,yaani watu wanatoka kwao machokoraa wanakuja Tanzania wantajirika na kuwa wafalme nashangaa sana nchi yangu hii sijui tutafika wapi nadhani watanzania wahakikishe huyo muwekezaji anafunga hiyo hoteli
 
Nimejikuta natetemeka baada ya kusoma hii habari!! Siku zote tukatae tukubali hizi ngozi nyeupe zina assume superioty complex!! Kama wamefkia hatua ya kuamrsha mtu achomwe moto hadharani!!! Ths is terrible!! Watanzania tulio wengi hasa vijana hatuna akili ya kupima mambo! Kila cku twalalama nchi imeuzwa,iko mikononi mwa watu!lakin tukiwaona hatuwafanyi kitu!? Swali gumu ni je,MHINDI katoa amri sawa,,waliomchoma je,nao ni Wahindi??kama tunaweza kuamriwa kufanya unyama huo na tukafanya,nani mjinga na mpumbavu?? Tukiendelea hivi hawa wataendelea kutuona Tabu la lasa sawa sawa na babu zetu walio sain mikataba ya ukoloni!! UKOMBOZI UKO MIKONONI MWETU!!
 
Ni Tatizo la Dola sasa hivi wanaingia kama mchwa wanakuja na visitors visa wanakaa wanatafuta kazi wanakaa nchi wanaanzisha NGO,kampuni hewa wanajitahidi sana kujifunza kiswahili wanasema wajinga ndio waliwao,na kweli dola na vyombo vyake ni wajinga wasio na muelekeo wakujali sheria za uhamiaji na kazi vijana wetu wanapata shida hawawezi hata kupewa fursa sawa wanapoanzisha kampuni zao ,ujinga ujingaa tuu mpaka kiama
 
Nimejikuta natetemeka baada ya kusoma hii habari!! Siku zote tukatae tukubali hizi ngozi nyeupe zina assume superioty complex!! Kama wamefkia hatua ya kuamrsha mtu achomwe moto hadharani!!! Ths is terrible!! Watanzania tulio wengi hasa vijana hatuna akili ya kupima mambo! Kila cku twalalama nchi imeuzwa,iko mikononi mwa watu!lakin tukiwaona hatuwafanyi kitu!? Swali gumu ni je,MHINDI katoa amri sawa,,waliomchoma je,nao ni Wahindi??kama tunaweza kuamriwa kufanya unyama huo na tukafanya,nani mjinga na mpumbavu?? Tukiendelea hivi hawa wataendelea kutuona Tabu la lasa sawa sawa na babu zetu walio sain mikataba ya ukoloni!! UKOMBOZI UKO MIKONONI MWETU!!
nimekuwa natafakari (kwenye red) juu ya mustakabari wetu na saa nyingine ni vigumu kuamini kinachoendelea! Mungu apishe mbali, inaonekana enzi za utumwa wa kwanza fikra za watu wakati huo labda zilikuwa zaidi ya sasa maana kukata tamaa na kukosa mwelekeo hakukuwa kama sasa. Na machifu wa wakati huo walishindwa kwa sababu ya kutoelewa kilichokuwa kinaendelea kuliko sasa ambapo wanaoelewa mambo wanafanya 'against' na wanachokiamini na kukijua!
 
Back
Top Bottom