boycott and abstinence
Following a brutal punishment given to gate crusher at disco, of being burned to death; I call on a boycott for the resort and all its services.
Hoteli inatakiwa iwe imefungwa.
Si ajabu kishatoa bulungutu ndiyo maana bado iko wazi.
Si ajabu kishatoa bulungutu ndiyo maana bado iko wazi.
kama ni ndugu na wananchi wameamua kuvamia hyo hotel nimefurahi sana kwa sababu inasikitisha kwa hao washenzi kupoteza maisha ya ndugu yetu mtanzania mwenzetu kwa sababu ya anasa za kidunia
Vibaka wanachomwa moto kila siku hapo mtaani kwako, mbona hujawasaidia kisheria?
Last year watu kwa tabia zao chafu walichoma moto mtumishi wa serikali huko MWANZA ati ni kibaka. Afisa utumishi aligeuka kuwa kibaka na walidai alitoboa dirisha aibe nguo. siyo tabia nzuri hata kidogo na inapaswa kudibitiwa mara moja.
Hawa wenzetu wenye rangi inayofanana na wazungu namacho yanayofanana na sisi sijui kwanini hwapendi kuelewa kuwa attitude zao ni mbaya katika jamii. It once happened to me pale city garden; nilipaki gari langu kwenye parking meneja wa hiyo hotel akiwa katika gari lake akataka kupaki hapo karibu na mimi dereva wake akaona ile nafasi ni ndogo akashuka kuangalia then dereva wangu alikuwa hapo karibu alipomwona kamwambia hapo hawezi kupaki atakwangua gari sasa akamwambia acha mimi nilitoe gari langu ili ninyi mpaki mimi nitafute parking sehemu nyingine. Dereva wangu actually na yeye aliona huyo mzungu mweusi anahaki zaidi ya sisi wakati parking ile ni yakulipiwa na hakuna reserve pale tulipopaki. Wakati madereva wanajadiliana boss akaona yeye hastahili ile hali akamnyang'anya funguo dereva wake akaingia ndani ya gari kabla hajaliweka vizuri akaligonga gari langu. I was just in a distant watching, alipoligonga watu wakaja juu wakaanza kumzonga yule boss akaona zile kelele hazimhusu akaingia ndani ya ofisi yake. Then mimi nikanyanyuka naku mwita dereva wangu nilitaka niite trafic aje pale asilitoe lile gari pale. Akaja officer wa hotel kumbe yule alikuwa akichungulia whats going on akasema kaka sory huyu dereva wetu kaligonga gari lako bahati mbaya so boss anaomba uende ofisini umwambie ni kiasi gani kitatosha utengeneze hilo gari. Kwakweli I felt very bad yaani yule boss mimi nimfuate ofisini kwake wakati yeye ndiyo mkosaji? Then amebadilisha issue na kumsingizia dereva while I was seeing what was happening. Nikamwambia nadhani hii kesi haimhusu yeye (ofisa) ila nadhani traffic maana ni mambo ya magari na parking na si hotel basi naomba asijali naita traffic waje then wahusika wataenda kujitetea mahakamani mimi sina haja ya kuongea na mtu. Lakini likaja wazo la leagal enforcement nikajiona very small for the first time lakini nikaamua kulinda heshima yangu nakumwambia I know what I will do ila kwa sasa siko tayari kumwona huyo boss wako ila mwambie nitatumia njia nyingine kukomesha hii tabia yake na wote wanaofanana na yeye.
Thats actually why am so much involved in opposition maana raia watanzania kwakweli serikali yao imeshindwa kuwalinda wao na mali zao. Si rahisi kujua ila mpaka ukutane na mambo haya ndo utagundua jinsi raia wanavyo nyanyaswa. Pale nilipokuwa vijana wengi waliona kama vile am somebody with mighty power kumfunza adabu yule msomali maana kazidi kuwanyanyasa; I knew why they thought that way not knowing mimi kama nilivyo was as helpless as them. Na yule msomali pia aliogopa kwasababu ya mawazo yake juu yangu ambayo hayakuwa na ukweli wowote; kumbe maskini I was just as any other Tanzanian barabarani asiye na msaada kama serikali yake haimsaidii. I learnt kwamba Tanzania si sheria inayotawala bali majina something which even rulers dont know siku raia wakichoka wao ndo watakuwa victim wakubwa. Nobody is safe kama hakuna utawala wa sheria.
sio JK kweli?
wewe jamaa sio mtanzanaia kama sni mtanzania hujawahi kuishi nchi za nje ukabaguliwa hata kwa sekunde moja tu, usingesema haya maneno yakoVibaka wanachomwa moto kila siku hapo mtaani kwako, mbona hujawasaidia kisheria?