Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 213
Vibaka wanachomwa moto kila siku hapo mtaani kwako, mbona hujawasaidia kisheria?
Kwani huyu alikuwa KIBAKA? Huna hata soni?
Vibaka wanachomwa moto kila siku hapo mtaani kwako, mbona hujawasaidia kisheria?
Tukiacha kasaidia eti kwa sababu vibaka wanachomwa moto kila siku bila msaada itakuwa ni makosa,na kwa kuwa mwanzo wa kuhesabu ni moja basi huu uwe mfano na mwanzo mzuri.Vibaka wanachomwa moto iku hapo mtaani kwako, mbona hujawasaidia kisheria?
mmmh....isije ikawa ndio kumekucha tena......hebu mwingine aliyesikia atuhabarishe
Hata mie nimesikia mara mbili na sasa hivi nasikia vidogo vidogo kama baruti. Ila kama maeneo ya Mjimwema.
Navy si iko kule Machava? Au?
Nini kinaendelea wakuu!