Alama/ logo ya Nyoka katika fimbo kwenye mambo ya afya ina maana gani?

The WHO emblem

WHO's emblem was chosen by the first World Health Assembly in 1948. The emblem consists of the United Nations symbol surmounted by a staff with a snake coiling round it. The staff with the snake has long been a symbol of medicine and the medical profession.

It originates from the story of Asclepius who was revered by the ancient Greeks as a god of healing and whose cult involved the use of snakes. (Asclepius, incidentally, was so successful at saving lives that, the legend goes, Hades the god of the underworld complained about him to the supreme god Zeus who, fearing that the healer might make humans immortal, killed Asclepius with a thunderbolt.)

Tatizo lugha lakini jibu copy yako ni jibu tosha..
 
Alama ya mungu wa madawa na matibabu its an ancient symbol in greek relating to freemasonic sighns
 
Ahahaha. Mkuu Cham Bee, hapo inamaanisha matumizi ya alama hiyo ya nyoka asili yake ni hadithi ya Asclepius ambaye alikuwa akiabudiwa na wagiriki wa kale kama mungu wao wa uponyaji na ambaye waumini wake walitumia nyoka katika kuponya au kuponywa kwao.

Na huyo Asclepius aliyekuwa na mafanikio makubwa sana katika kuokoa maisha ya wengi kwa kutumia nyoka hao alikuja kulalamikiwa na mungu mwingine aliyeitwa Hades.

Huyu Hades alilalamika kwa mungu mkuu wao aliyeitwa Zeus aliyehofia kwamba Asclepius angeweza kuwafanya binadamu wasife, hivyo akaamua kumwua kwa njia ya radi. Hivyo ndivyo mimi nilivyoelewa.
 
Hesabu 21:4-9 "Waisraeli walifunga safari kutoka mlima Hori wakapitia njia inayoelekea bahari ya Shamu ili waizunguke nchi ya Edomu....
''Wakiwa njiani wakaanza kumnung'unikia MUNGU na pia Musa wakisema kwa nini mmetutoa Misri tuje kufia humu jangwani? Humu hamna chakula wala maji,nasi tumechoshwa na chakula hiki duni....MUNGU akapeleka nyoka wenye sumu miongoni mwa watu,wakawauma hata watu wengi wakafa....wakatambua baadaye kuwa walikuwaa wametenda dhambi mbele ya MUNGU na Musa pia,wakamwendea Musa wakimtaka awaombee.Musa akawaombea na Mungu akamwambia"tengeneza nyoka wa shaba,umtundike juu ya mlingoti.Mtu yeyote atakayeumwa na nyoka akimtazama nyoka huyo wa shaba atapona.Basi Musa akatengeneza nyoka wa shaba akamtundika juu ya mlingoti.Kila mtu aliyeumwa na nyoka mwenye sumu akimtazama huyo nyoka wa shaba,mtu huyo ALIPONA.
Kwa hiyo alama ya nyoka ni uponyaji yaani TIBA.

Mku asante sana kwa maeleo yako Nilikuwa najua inahusiana na historia katika dini. Bahati mbaya sikujua ni katika maandiko yapi!
 
Hapo Sasa Kama Ni Biblia Ndo Napata Wasiwasi Kabisaa Maana Nyoka Alilaaniwa Na Akatumika Tena Kama Alama Ya Uponyaj Kwa Wana Wa Izrael Na Bado Bdo Tuna Mtafsir Shetan Kama Joka

Hapa hata Mimi nataka wataalamu wa Theolojia watusaidie Binafsi hapa pananichanganya
 
Hesabu 21:4-9 "Waisraeli walifunga safari kutoka mlima Hori wakapitia njia inayoelekea bahari ya Shamu ili waizunguke nchi ya Edomu....
''Wakiwa njiani wakaanza kumnung'unikia MUNGU na pia Musa wakisema kwa nini mmetutoa Misri tuje kufia humu jangwani? Humu hamna chakula wala maji,nasi tumechoshwa na chakula hiki duni....MUNGU akapeleka nyoka wenye sumu miongoni mwa watu,wakawauma hata watu wengi wakafa....wakatambua baadaye kuwa walikuwaa wametenda dhambi mbele ya MUNGU na Musa pia,wakamwendea Musa wakimtaka awaombee.Musa akawaombea na Mungu akamwambia"tengeneza nyoka wa shaba,umtundike juu ya mlingoti.Mtu yeyote atakayeumwa na nyoka akimtazama nyoka huyo wa shaba atapona.Basi Musa akatengeneza nyoka wa shaba akamtundika juu ya mlingoti.Kila mtu aliyeumwa na nyoka mwenye sumu akimtazama huyo nyoka wa shaba,mtu huyo ALIPONA.
Kwa hiyo alama ya nyoka ni uponyaji yaani TIBA.

Kwenye noti ya 500 kuna tiba gani?
 
Najibu kama mtaalamu wa kada ya afya kwa mujibu wa W.H.O ambao hao ndio waasisi wa ile logo ni kwamba kuna aina ya mnyoo ambae alisumbua sana sasa baada ya kupata tiba ndipo WHO wakaweka logo ile kama kumbukumbu.

Sasa jamii na taasisi zingine zimechukua toka hapo WHO. hii ni kwa mujibu wa somo la Environmental Health katika mtaala wa kufundishia clinical medicine wa wizara ya afya
 
Yule sio nyoka N aina ya minyonyoo iliyokuwa inatumika enzi hizo kama tiba au kutoa sumu sehem iliyopata jeraha.
 
Ni mnyoo Anaitwa GUINEA WORM au LITTLE DRAGON OF MEDINA ni huyo mnyoo kumtoa mwilini ilikua lazima uchomeke stick na kuizungusha ndio umtoe....


sasa baada ya jaribio hilo kufaulu ni alama ya ushindi kwenye sekta ya afya ulimwenguni.


ila wataalamu wa udakitari na afya wanajuza vizuri kuliko mimi

Raas@ Asante sana. Jibu alilolitoa Raas ndo hasa. Yule si nyoka ni mnyoo
 
Habar,nimekuwa Nikijiuliza Maswal Juu Ya Hi Logo Inayo Onesha Nyoka Amejikunja Katka Kijit Ama Fimbo Kwanin Inatumia Na Mambo Yahusuyo Matibabu Ama Dawa , Nimejaribu Pia Kuangalia Baadh Ya Hospital Za Kidin Na Binafsi Zikiwa Na Nembo Hii Naomba Mwenye Kufaham Maana Ya Hii Atufungue Macho, Natanguliza Shukran Kwenu

Binafsi nimekuwa nikijihoji sana kuhusu hili bado nalitafiti nikijiridhisha na matokeo yake nitarejea
 
Habar,nimekuwa Nikijiuliza Maswal Juu Ya Hi Logo Inayo Onesha Nyoka Amejikunja Katka Kijit Ama Fimbo Kwanin Inatumia Na Mambo Yahusuyo Matibabu Ama Dawa , Nimejaribu Pia Kuangalia Baadh Ya Hospital Za Kidin Na Binafsi Zikiwa Na Nembo Hii Naomba Mwenye Kufaham Maana Ya Hii Atufungue Macho, Natanguliza Shukran Kwenu


Mimi mwenyewe jana nimeiona hospitali ya machame ambayo ni ya kanisa KKKT.nikashindwa kuelewa ina maana gani.
 
So Mungu Huyu ameuumba nyoka kwanza akawauwe watu.. theni baadaye akahitaji kumtumia musa atengeneze nyoka wa wa shaba mpaka wamuangalie ndo wapone Je wana israel walioumwa na nyoka wakati mussa hayupo na hivo ikapelekea kushindwa muona huyo nyoka wa shaba si waliendela kufu?

Je kwa nn tu Mungu asingewaua wale nyoka wa sumu moja kwa moja wasiue watu.. Maana nadhan wingi wa wana israel walivokua tena jangwan (i hope walikua scatterd) wengi wao hawakuweza muona huyo nyoka wa shaba!! Je na hawa waliouawa hizo karne za kipindi cha yesu nao pia wanasubiri HUKUMU?
 
Habar,nimekuwa Nikijiuliza Maswal Juu Ya Hi Logo Inayo Onesha Nyoka Amejikunja Katka Kijit Ama Fimbo Kwanin Inatumia Na Mambo Yahusuyo Matibabu Ama Dawa , Nimejaribu Pia Kuangalia Baadh Ya Hospital Za Kidin Na Binafsi Zikiwa Na Nembo Hii Naomba Mwenye Kufaham Maana Ya Hii Atufungue Macho, Natanguliza Shukran Kwenu
Mkuu yule siyo nyoka ila ni Mnyoo
 
Haina haja hata mimi naweza kuelezea. Mwanzoni hata mimi nilikuwa nafikiri ni nyoka lakini nilipofuatilia nikaambiwa yule sio nyoka ila ni MNYOO

Mkuu yule siyo nyoka ila ni Mnyoo

1448000408434.jpg 1448000417698.jpg 1448000428250.jpg 1448000440802.jpg 1448000452460.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom