Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,127
- 13,358
Picha iko wapi?Nimemuona amechorwa kwenye maabara, maduka ya madawa na mahospitalini pia.
Nyoka amejiviringisha kwenye glass ya wine halafu anakunywa damu.
Naomba kueleweshwa uhusiano wa nyoka huyu na taasisi za afya.
Sasa pale c aliponya ugonjwa wa ugwadu kat ya Adam na Eva. LolNyoka huyo huyo bustani ya heden alionekana kumdanganya adam na eva kula tunda la kati kati uyo uyo anaponya tuamini lipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Usicheke bhan ni kweli iv aan,