Alama/ logo ya Nyoka katika fimbo kwenye mambo ya afya ina maana gani?

Hesabu 21:4-9 "Waisraeli walifunga safari kutoka mlima Hori wakapitia njia inayoelekea bahari ya Shamu ili waizunguke nchi ya Edomu....

''Wakiwa njiani wakaanza kumnung'unikia MUNGU na pia Musa wakisema kwa nini mmetutoa Misri tuje kufia humu jangwani? Humu hamna chakula wala maji,nasi tumechoshwa na chakula hiki duni....

MUNGU akapeleka nyoka wenye sumu miongoni mwa watu, wakawauma hata watu wengi wakafa.... wakatambua baadaye kuwa walikuwaa wametenda dhambi mbele ya MUNGU na Musa pia,wakamwendea Musa wakimtaka awaombee.

Musa akawaombea na Mungu akamwambia "tengeneza nyoka wa shaba, umtundike juu ya mlingoti.Mtu yeyote atakayeumwa na nyoka akimtazama nyoka huyo wa shaba atapona.

Basi Musa akatengeneza nyoka wa shaba akamtundika juu ya mlingoti.Kila mtu aliyeumwa na nyoka mwenye sumu akimtazama huyo nyoka wa shaba, mtu huyo ALIPONA.

Kwa hiyo alama ya nyoka ni uponyaji yaani TIBA.
 
Alama ya uponyaji, rejea katika biblia kipindi Musa anawakomboa wana wa Israel toka utumwani Misri kuna wakati walimkosea Mungu akaamua kuwashushia majoka yakawa yanawauma wanakufa. Ndipo Musa akamlilia Mungu awasamehe.

Mungu akasikia akamwamuru Musa atengeneze nyoka wa shaba ambaye walipoumwa na nyoka walimtazama na wakapona.kwa hiyo daktari ni nyoka wa shaba au mponyaji, japo sisi tuna watupaga mabwepande huko, hata hospitali ni nyoka wa shaba pia, kwani ni mahali pa uponyaji
 
Hapo sasa kama ni biblia ndio napata wasiwasi kabisa maana nyoka alilaaniwa na akatumika tena kama alama ya uponyaj kwa wana wa Israel na bado bado tuna mtafsiri shetani kama joka
 
Hesabu 21:4-9 "Waisraeli walifunga safari kutoka mlima Hori wakapitia njia inayoelekea bahari ya Shamu ili waizunguke nchi ya Edomu....
''Wakiwa njiani wakaanza kumnung'unikia MUNGU na pia Musa wakisema kwa nini mmetutoa Misri tuje kufia humu jangwani? Humu hamna chakula wala maji,nasi tumechoshwa na chakula hiki duni....MUNGU akapeleka nyoka wenye sumu miongoni mwa watu,wakawauma hata watu wengi wakafa....wakatambua baadaye kuwa walikuwaa wametenda dhambi mbele ya MUNGU na Musa pia,wakamwendea Musa wakimtaka awaombee.Musa akawaombea na Mungu akamwambia"tengeneza nyoka wa shaba,umtundike juu ya mlingoti.Mtu yeyote atakayeumwa na nyoka akimtazama nyoka huyo wa shaba atapona.Basi Musa akatengeneza nyoka wa shaba akamtundika juu ya mlingoti.Kila mtu aliyeumwa na nyoka mwenye sumu akimtazama huyo nyoka wa shaba,mtu huyo ALIPONA.
Kwa hiyo alama ya nyoka ni uponyaji yaani TIBA.

Lakini kabla ya huo uponyaji nyoka huyo huyo ilikuwa alama ya mauti, au? Maana hao waliopona kwa kumwangalia nyoka, walikuwa wameumwa na nyoka.
 
Lakini kabla ya huo uponyaji nyoka huyo huyo ilikuwa alama ya mauti, au? Maana hao waliopona kwa kumwangalia nyoka, walikuwa wameumwa na nyoka.

Alikuwa nyoka wa nyama, alitengenezwa nyoka wa shaba
 
Habar,nimekuwa Nikijiuliza Maswal Juu Ya Hi Logo Inayo Onesha Nyoka Amejikunja Katka Kijit Ama Fimbo Kwanin Inatumia Na Mambo Yahusuyo Matibabu Ama Dawa , Nimejaribu Pia Kuangalia Baadh Ya Hospital Za Kidin Na Binafsi Zikiwa Na Nembo Hii Naomba Mwenye Kufaham Maana Ya Hii Atufungue Macho, Natanguliza Shukran Kwenu

Usijali tuna makungwi wengi tu humu kama kina Doctor Mzizi mkavu mshana jr.
 
Lakini kabla ya huo uponyaji nyoka huyo huyo ilikuwa alama ya mauti, au? Maana hao waliopona kwa kumwangalia nyoka, walikuwa wameumwa na nyoka.

Hata Palipo Na Uovu Pana Utakatifu Pia. Ukienda Cassino Tarajia Kutoka Na Kitu Chema Cha Kujifunza Mfn. Unaweza Ukashuhudia Kule Uchafu Na Kughairi Kwenda Cassino Milele,hapo Utakuwa Umepokea Utakatifu Kwa Kwenda Cassino
 
Ni mnyoo Anaitwa GUINEA WORM au LITTLE DRAGON OF MEDINA ni huyo mnyoo kumtoa mwilini ilikua lazima uchomeke stick na kuizungusha ndio umtoe....

sasa baada ya jaribio hilo kufaulu ni alama ya ushindi kwenye sekta ya afya ulimwenguni.

ila wataalamu wa udakitari na afya wanajuza vizuri kuliko mimi
 
Ni mnyoo Anaitwa GUINEA WORM au LITTLE DRAGON OF MEDINA ni huyo mnyoo kumtoa mwilini ilikua lazima uchomeke stick na kuizungusha ndio umtoe....


sasa baada ya jaribio hilo kufaulu ni alama ya ushindi kwenye sekta ya afya ulimwenguni.


ila wataalamu wa udakitari na afya wanajuza vizuri kuliko mimi
Binafsi nashawishika kuamini kwamba hili ndilo jibu sahihi kwa swali lililoulizwa.
 
Alama Ya Uponyaji, Rejea Katika Biblia Kipindi Musa Anawakomboa Wana Wa Israel Toka Utumwani Misri Kuna Wakati Walimkosea Mungu Akaamua Kuwashushia Majoka Yakawa Yanawauma Wanakufa. Ndipo Musa Akamlilia Mungu Awasamehe, Mungu Akasikia Akamwamuru Musa Atengeneze Nyoka Wa Shaba Ambaye Walipoumwa Na Nyoka Walimtazama Na Wakapona.Kwa Hiyo Daktari Ni Nyoka Wa Shaba Au Mponyaji,japo Sisi Tuna Watupaga Mabwepande Huko, Hata Hospitali Ni Nyoka Wa Shaba Pia,kwani Ni Mahali Pa Uponyaji

Si Kweli Kwmb Ni Uponyaji. Na Lile Tendo La Nyoka Wa Shaba Lina Maana Kubwa Tofauti Kabsa Unavyodhani. Lile Ni Tendo La Imani Ambapo Musa Aliambiwa Na Mungu Afanye Na Ndio Maana Matokeo Yakaonekana.

Sasa Swali, Hiyo Alama Ya Nyoka Inayotumika Kwny Hosptal Ni Mtumishi Wa Mungu Gani Alyetoa Huo Unabii Leo? Na Je, Wagonjwa Leo Wanapona Kwa Kuangalia Alama Hiyo?

Mimi Kama Mchungaji Ninakemea Hilo Jambo,na Kila Kusudi Lilokusudiwa Kwa Mamlaka Ya Jina La Yesu Kristo.
 
The WHO emblem

WHO's emblem was chosen by the first World Health Assembly in 1948. The emblem consists of the United Nations symbol surmounted by a staff with a snake coiling round it. The staff with the snake has long been a symbol of medicine and the medical profession.

It originates from the story of Asclepius who was revered by the ancient Greeks as a god of healing and whose cult involved the use of snakes. (Asclepius, incidentally, was so successful at saving lives that, the legend goes, Hades the god of the underworld complained about him to the supreme god Zeus who, fearing that the healer might make humans immortal, killed Asclepius with a thunderbolt.)
 
Si Kweli Kwmb Ni Uponyaji. Na Lile Tendo La Nyoka Wa Shaba Lina Maana Kubwa Tofauti Kabsa Unavyodhani. Lile Ni Tendo La Imani Ambapo Musa Aliambiwa Na Mungu Afanye Na Ndio Maana Matokeo Yakaonekana.

Sasa Swali, Hiyo Alama Ya Nyoka Inayotumika Kwny Hosptal Ni Mtumishi Wa Mungu Gani Alyetoa Huo Unabii Leo? Na Je, Wagonjwa Leo Wanapona Kwa Kuangalia Alama Hiyo?

Mimi Kama Mchungaji Ninakemea Hilo Jambo,na Kila Kusudi Lilokusudiwa Kwa Mamlaka Ya Jina La Yesu Kristo.

Baba mchungaji ni nyoka huyuhuyu alitumika kumdanganya hawa na mwishowe hawa akafanikiwa kumshawishi Adam wale tunda na pia ni nyoka huyu alitumika enzi za kina Musa kutoa uponyaji ,na pia ni nyoka huyuhuyu alilaaniwa na kwa tumbo atatembea mavumbini ,atagongwa kichwa chake na mwanadamu naye atamgonga mwanadamu kisigino

Mungu alikua na kusudi gani kumtumia kiumbe aliye mlaani kama alama ya uponyaji ????
 
Zamani kabla elimu ya afya haijapanuka sana na kuwa na vifaa vibgi, maeneo mengi ulaya kulitojea tatizo kubwa la watu kupata minyoo aina ya GUINEA mwembamba mwenye rangi nyeupe.

Akiomaa huws mrefi karibia m 1. mnyoo huu hutoboa ngozi na kutoka. Ili kumtoa ilibidi kumviringa kwenye kijiti na kunvuta kidogokidogo hadi aishe.

Na watu walitumia njia ile kujipobya na huo ukawa km teknokojia iliyotukuka kwa wakati ule na ndio ikakubalika kimataifa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom