Ahsante Kikwete - Chuo Kikuu Kingine

kiukweli chuo hicho kimefika wakati muhafaka kabisa,kwani aiwezekani vyuo vingine vya kiraia kuongezeka kila siku ilihali vile vya kijeshi kutokuongezeka katika hili serikali imeona mbali sana.raia wanapojiendeleza vivyo hivyo na jeshi lazima lijiendeleze ili kukabiliana na changamoto mbalimbali za kiulinzi pamoja usalama wa nchi.
 
Mungu wangu,hivi uliyoandika unamaanisha au,because this is empty talk.Na hayo maisha bora kwa kila Mtanzania unayo-ongelea yako wapi.Wewe you deserve a bullet,kwa kuwa sasa unawakebehi Watanzania.Maisha bora kwa kila Mtanzania yanapatikana kwa huo utitiri wa vyuo unaotoa wasomi fake,ambao ni literally untrainable.Mbaya zaidi ni kwamba wengi wameingia vyuoni kiujanja ujanja na kufaulu kiujanja ujanja tu.Ninajua ninacho ongea, kwa kuwa wengi wamepitia mikononi mwangu and I know how they look like.Ni upuuzi mtupu.

Naomba pita pale Kunduchi halafu waambie hao wanajeshi nyie "wasomi feki" - Kwi kwi kwi teh teh teh!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, ameendelea kuweka rikodi iliyotukuka katika nyanja ya Elimu na katika kuendeleza kauli mbiu ya Maisha Bora kwa Kila Mtanzania, amefunguwa Rasmi Chuo Kikuu Cha Kwanza Kijeshi Cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania.

Hongera sana Kikwete, mpaka sasa tunaona juhudi zako na hii ni rekodi nyingine adhimu kwako na kwa Taifa.

Kwa hakika Elimu pekee ndio itayompa Maisha Bora kila Mtanzania. Na unafanya kweli!

Elimi gani unayozungumzia, hii ya kata??? Ambapo watoto wetu wanafaulu huku hawajui kuandika wala kusoma..najua unamapenzi sana na ccm A ila si kihivyo.

Hiyo kauli mbiu bado ipo? Na hii inflation ya 20%+, kwangu ni kichefu chefu nikisikia hayo maneno.

Ufunguzi wenyewe mnaongea kiingereza why?? Au sababu ni misaada?? Be careful kijana.
 
Mzee wa autopilot...matukio ya kuuana hapa nchini yeye kama hayupo anazurula tu!kweli rahisi tunae walahi...ndio maana wajomba zake wamemuonyesha mbegu alizopanda zimemea vizuri sana!wameandamana na kushinikiza na wamefanikiwa asubiri shinikizo lao jipya wakiwa nje ya lango la ikulu!!!!!
 
Kingine kizuri zaidi katika chuo hiki ni kwamba hata raia wanaruhusiwa kupata mafunzo pale so ile dhana ya kijeshi isitumike katika kubeza kizuri hiki.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, ameendelea kuweka rikodi iliyotukuka katika nyanja ya Elimu na katika kuendeleza kauli mbiu ya Maisha Bora kwa Kila Mtanzania, amefunguwa Rasmi Chuo Kikuu Cha Kwanza Kijeshi Cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania.

Hongera sana Kikwete, mpaka sasa tunaona juhudi zako na hii ni rekodi nyingine adhimu kwako na kwa Taifa.

Kwa hakika Elimu pekee ndio itayompa Maisha Bora kila Mtanzania. Na unafanya kweli!

Nina mashaka na elimu yako! An academician will never appreciate such any known substandard innovations!
 
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni

Napongeza hii progress na napongeza sana walioanzisha idea ya hiki chuo, walioendeleza wazo, na waliokamilisha wazo

Je tunaweza kupata historia fupi ya hii development hadi kufikia kwenye matunda?? nani alipanda mbegu, nani alimwagilia, nani alilinda ngombe wasile majani hadi leo

CONGRATS TO KJ AND ALL INVOLVED KULETA HAYA MAENDELEO

Wapongeze wachina kwa kutusaidia kujenga chuo cha kijeshi.
 
Kujenga Chuo ni jambo jema, lakini kukiendesha kwa misingi ya kitaaluma ndio ubora wa chuo. Tulimsifia baada ya UDOM, then tukasikia wanafunzi wamegoma kwa kutokupewa pesa za mafunzo ya vitendo, why? Huu ujenzi wa mavyuo utakuwa sawa na ule ujenzi wa secondary za Kata, zinazozalisha --------------------
Hakuna cha Pongezi, mpaka tuone uendeshaji
 
Sisi kwetu mkao mzima kuna XRAY moja tu!!!!!!!!sijui ni lini tutapata XRAY kila wilaya na aje kuzindu!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, ameendelea kuweka rikodi iliyotukuka katika nyanja ya Elimu na katika kuendeleza kauli mbiu ya Maisha Bora kwa Kila Mtanzania, amefunguwa Rasmi Chuo Kikuu Cha Kwanza Kijeshi Cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania.

Hongera sana Kikwete, mpaka sasa tunaona juhudi zako na hii ni rekodi nyingine adhimu kwako na kwa Taifa.

Kwa hakika Elimu pekee ndio itayompa Maisha Bora kila Mtanzania. Na unafanya kweli!

Badala ya kutatua matatizo ya walimu na kuongeza walimu ktk shule za kata anaongeza vyuo huku watoto wanahitumu std 7 pasipokujua kusoma sasa sijui nani atakaekuja kusoma ktk hivyo vyuo, naifananisha na mtu anaejenga nyumba kwa kuanza msingi wa tope na kuanzia kwenye lenta akatumia tofali kumalizia nyumba sidhani kama itadumu
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, ameendelea kuweka rikodi iliyotukuka katika nyanja ya Elimu na katika kuendeleza kauli mbiu ya Maisha Bora kwa Kila Mtanzania, amefunguwa Rasmi Chuo Kikuu Cha Kwanza Kijeshi Cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania.

Hongera sana Kikwete, mpaka sasa tunaona juhudi zako na hii ni rekodi nyingine adhimu kwako na kwa Taifa.

Kwa hakika Elimu pekee ndio itayompa Maisha Bora kila Mtanzania. Na unafanya kweli!


huyu mtu watakuja sana kumkumbuka time will tell, hakuna raisi aliyechia uhuru wa vyombo vya habari kama kikwete, freedom of expression JK utawala wake umeachia sana kiasi kwamba hadi wengine wanavuka mipaka lakini JK anabaki kuwa mvumilivu , kwa hili la chuo kikuu nampa 5 rais wangu Dr. JK

 
Back
Top Bottom