Ahsante Kikwete - Chuo Kikuu Kingine

Na kimeanza kwa course ya mwaka mmoja!!!!!!!! duuuu hizi universities za JK degree one yr tu??
By the way one year is enough kufundisha jinsi ya kukabiliana na CDM
 
Okey,ni nzuri sana,...itapendeza zaidi kikiwa kwa ajili ya wana jeshi peke yake
ili kuwekeza kwenye security ya nchi zaidi.

By the way,nafasi za kujiunga JWTZ zinatoka lini?
 
Mzee wa autopilot...matukio ya kuuana hapa nchini yeye kama hayupo anazurula tu!kweli rahisi tunae walahi...ndio maana wajomba zake wamemuonyesha mbegu alizopanda zimemea vizuri sana!wameandamana na kushinikiza na wamefanikiwa asubiri shinikizo lao jipya wakiwa nje ya lango la ikulu!!!!!
wivu utakuua kijana
 
Badala ya kutatua matatizo ya walimu na kuongeza walimu ktk shule za kata anaongeza vyuo huku watoto wanahitumu std 7 pasipokujua kusoma sasa sijui nani atakaekuja kusoma ktk hivyo vyuo, naifananisha na mtu anaejenga nyumba kwa kuanza msingi wa tope na kuanzia kwenye lenta akatumia tofali kumalizia nyumba sidhani kama itadumu

Ni pigo kubwa kwa wengi wasioweza kuyatazama na kuyasifu mafanikio ya Kikwete. Miaka 7 Ya Kikwete, tuna wanafunzi wengi wanaoingia shule za msingi, shule za sekondari, vyuo vya ufundi, vyuo vya ualimu, vyuo vya tiba na vyuo vikuu kuliko wakati wowote katika Historia ya nchi hii toka ilipoanza kuandikwa (labda toka ilipoumbwa). Kila mwaka vyuo vikuu vinaongezeka kwa zaidi ya kimoja toka ashike madaraka, haijawahi kutokea.

Jakaya Mrisho Kikwete anastahili kila sifa. Tunampenda.
 
Na kimeanza kwa course ya mwaka mmoja!!!!!!!! duuuu hizi universities za JK degree one yr tu??
By the way one year is enough kufundisha jinsi ya kukabiliana na CDM
hata CDM wanaruhusiwa,muhimu make mkijua lazima upimwe mkojo na damu, sasa nyie wazee wa msuba itakua ngumu sana kupata nafasi.
 
Elimi gani unayozungumzia, hii ya kata??? Ambapo watoto wetu wanafaulu huku hawajui kuandika wala kusoma..najua unamapenzi sana na ccm A ila si kihivyo.

Hiyo kauli mbiu bado ipo? Na hii inflation ya 20%+, kwangu ni kichefu chefu nikisikia hayo maneno.

Ufunguzi wenyewe mnaongea kiingereza why?? Au sababu ni misaada?? Be careful kijana.

Ulimaanisha Ulimi?

Annual headline inflation rate for July 2012 eased to 15.7 percent compared to 17.4
percent recorded in June 2012

Source: http://www.bot-tz.org/Publications/MonthlyEconomicReviews/MER_AUG_2012.pdf
 
Siyo Monduli, Monduli ni chuo cha kijeshi lakini si chuo kikuu. Hiki ni Chuo Kikuu (University) cha Kijeshi na kipo Dar.

News bulletin 8pm, Rais amesema ni 'chuo cha taifa cha ulinzi' na kitahusika na masuala ya 'strategia'. Hiki sio chuo kikuu (University) bali ni kwa ajili ya kutoa mafunzo specific individuals kwenye sekta mbalimbali i.e energy, ujenzi etc. Kwa kifupi ni cha mafunzo yenye kulenga kupanua wigo wa mabwepande na mwaka huu watachukuwa wanafunzi 20!

NB: Chinese Takeway!
 
Umefurahiii?!!!! Akili yako haiko sawa wewe
HATA MIMI NIMEFURAHI! sasa wewe ulitaka afungue chuo cha siasa kingine kama kile cha kivukoni huko songea, ndio ufurahie? Ulaya imejengwa na elimu na sio midomo ya makada wa siasa unalijua hilo? kalaga baho!
 
Ntashukuru kama hiki hakitakuwa kama UDOM. Kashfa kibao za udini kuanzia mlinzi duh!
 
Hongera sana Rais Kikwete kwa kufungua chuo kikuu.

1:Jiulize unampa hongera kwa kupewa heshima kuwa mgeni rasmi kufungua au kwa kujenga ?( maana waliojenga ni wachina kwa msaada)
2:kama mtu mzima jiulize nini kipaumbele cha watanzania kwa sasa , ni chuo cha kijeshi au nini?

maoni yangu: ningefurahi kusikia rais kafungua CT - SCAN mpya muhimbili au wodi ya wazazi kijijini mpwayungu dodoma! Chuo kikuuu cha kijeshi si kipaumbeke cha WA TZ kwa sasa, ni sawa na kupeleka msaada wa ndizi mbeya wakati kwao zimejaa tele.
 
Ni pigo kubwa kwa wengi wasioweza kuyatazama na kuyasifu mafanikio ya Kikwete. Miaka 7 Ya Kikwete, tuna wanafunzi wengi wanaoingia shule za msingi, shule za sekondari, vyi vya ufundi, vyuo vya ualimu, vyuo vya tiba na vyuo vikuu kuliko wakati wowote katika Historia ya nchi hii toka ilipoanza kuandikwa (labda toka ilipoumbwa). Kila mwaka vyuo vikuu vinaongezeka kwa zaidi ya kimoja toka ashike madaraka, haijawahi kutokea.

Jakaya Mrisho Kikwete anastahili kila sifa. Tunampenda.

Nyoo nape kazi
 
Hivi unajua jeshi linatengewa tsh ngapi ktk bajeti? Ni chuo kimejengwa na pesa za walipa kodi wa Tanzania sasa huyo jk kajenga yeye!! Hiyo ni kazi ya serikali.
 
Back
Top Bottom