zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
- Thread starter
- #201
Si jambo la kufurahia sana hii misaada tunayo pewa na hawa weupe. tutakuja juta. kila kitu kinacho fanyika utasikia wafadhiri wamechangia. "take care" malipo yake yatakuwa makubwa sana> mimi naona Tanzania ni kama tumeisha laaniwa, unshobokea misaada we uana akili timamu? na kuhusu rais kutoa uhuru wa vyomb avya habari, hii ni seheu ya unafki "akumulikae mchana usiku hukuchima 'mind you. mtakwisha kwa ubwege wenu
Mitumba yao mizuri na unatambia!