zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
- Thread starter
- #81
News bulletin 8pm, Rais amesema ni 'chuo cha taifa cha ulinzi' na kitahusika na masuala ya 'strategia'. Hiki sio chuo kikuu (University) bali ni kwa ajili ya kutoa mafunzo specific individuals kwenye sekta mbalimbali i.e energy, ujenzi etc. Kwa kifupi ni cha mafunzo yenye kulenga kupanua wigo wa mabwepande na mwaka huu watachukuwa wanafunzi 20!
NB: Chinese Takeway!
WIZARA YA ULINZI YAKABIDHIWA CHUO KIKUU CHA KIJESHI
Soma zaidi: WIZARA YA ULINZI YAKABIDHIWA CHUO KIKUU CHA KIJESHI - Global Publishers