Haki ya kufa, mara nyingi hujulikana kama kujiua kwa msaada wa daktari (PAS), ni suala tata na nyeti. Hata hivyo, kupuuza mateso ya watu wanaopitia maumivu makali kwa muda mrefu kutokana na sababu mbalimbali kunakuwa kukosa kuheshimu haki yao ya msingi ya heshima(dignity).
Katika uwanja wa haki...
Why Choose Power Query Training with Us?
Hands-On Learning: Our training is practical and hands-on, ensuring you gain real-world skills that you can apply immediately.
Expert Guidance: Learn from experienced instructors who will guide you through the ins and outs of Power Query.
Supportive...
Naitwa Mundu nimezaliwa kwenye familia ya watoto saba. Baba yangu alifukuzwa kazi sababu ya ulevi na upinzani wa kisiasa mwaka 1996, mwaka mmoja tu baada ya mimi kuzaliwa nikiwa mtoto wa nne kati ya watoto saba.
Familia haikuwa na amani sana mwanzoni kwa sababu ya ulevi uliopindukia na msongo...
Kustaafu ni kufikia uwezo wa kifedha wa kuweza kufanya chochote utakacho kulingana na kiasi cha utajiri wako.
Kwangu mimi kustaafu sio kuacha kufanya kazi (ajira au biashara). Neno kustaafu nimekutumia kwa lengo la kumaanisha kueleza hatua anayofikia mtu ya kifedha.
Sina maana uache kufanya...
Hivi karibuni, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amekuwa akitoa majibu na kauli zisizojitesheleza pale anapotakiwa kutoa ufafanuzi kuhusu mambo ya msingi yanayohusu masuala ya amani na usalama ndani ya Taifa letu hasa ikizingatiwa yeye ndiye Waziri mwenye dhamana ya Wizara...
Nauliza tu wataalamu wa mambo ya serikali ya muungano maana naona ndugu zetu Wazenji ni kama wameishia kwenye Unaibu Waziri.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Mungu ni mwema wakati wote!
Mhe. Waziri,
Watumishi wako wana miezi 3 hawajalipwa nauli za kwenda majumbani kwao baada ya kustaafu.
Watumishi wako wana miezi 4 toka wastaafu hawajalipwa Pensheni na mliahidi na Jenister Mhagama kuwa mtarahisisha malipo ya pensheni kuchukua muda mchache sana, pamoja na kujaza fomu zote na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.