Imesema endapo msanii yeyote atabainika anajihusisha na shughuli hizo bila kuwa na usajili, atachukuliwa hatua kali za kisheria.
Katibu Mtendaji wa Basata, Godfrey Mngereza, alisema hayo jana wakati wa ufunguzi wa kongamano la Fursa kwa Wasanii wa Wilaya ya Siha lililofanyika katika ukumbi wa...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa humu jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
PLEASE ANZA KWA KUSOMA HII THREAD YANGU...
Kwa yaliyotolewa na mwenyekiti wa klabu ya Yanga,aisee inasikitisha,boat inaendelea kuzama
Hali ya kipesa ni mbaya zaidi kwenye klabu hii ya wananchi
Madeni zaidi ya bilioni 2 ni hatari hata kama ni mwekezaji ataogopa madeni ya Yanga
Tunaomba uongozi wa Yanga urudishe bakuli kwa wananchi...
Salute.
Wagiriki wana msemo wao unaitwa πολυμαθής "polymaths" wakimaanisha aliye na elimu pana au ni mtu ambae
anauwezo mkubwa katika mambo mbalimbali, anaweza kusovu mafumbo na kutatua au kutengeneza mambo magumu.
Unapotaja polymaths basi unakua unamtaja Leonardo Davinci baba wa vipaji...
Meneja wa WCB, Babu Tale amefunguka kuzungumzia ishu ya baadhi ya wasanii wa label hiyo nyota zao kushindwa kung’aa.
Lebo hiyo ina wasanii watano, ambao ni Diamond, Rayvanny, Mbosso, Lavalava pamoja na Queen Darleen.
Katika mahojiano maalum na gazeti la Mwananchi, Babu Tale alikiri kwamba...
Nimeweka list ya viwanda ninavyoweza kumbuka, ambavyo ilikuwa ni mkombozi wa ajira kwa TZ. Vingi viliajili zaidi ya watu 1000. Mbali na viwanda hivi, kuna mashirika ambayo sikuyaweka. Lakini hii ilikuwa enzi ya Mwalimu.
Marais waliofuata walifanya nini? ni halali leo hii vijana kukosa ajira...
Kwa mujibu wa utafiti wa CNN, Diamond ni moja kati ya Wasanii wa Africa wanaofanya vizuri
Wasanii wengine ni
1. Burna Boy: Nigeria
2. Angelique Kidjo: Benin
3. Diamond Platnumz: Tanzania
4. Yemi Alade: Nigeria
5. Tiwa Savage: Nigeria
6. Wizkid: Nigeria
7. Mr.Eazi: Nigeria
8. Sho...
Vigezo vyangu
A. Mashairi
B. Ujumbe
C. Heshima ndani ya Mashairi
D. kucheza na jukwaa
E. Muda wa Mziki wake kudumu
Hizo index mbele zimetokana na Calculator ambayo imeshusisha umri wa wasikilizaji, kukubalika, muda wake kudumu, Rate ya vyombo vya habari kumkuza mtu nje ya uhalisia.
1. Dr...
Msafara ulioondoka bungeni jijini Dodoma ambapo Kiongozi wa Upinzani bungeni hakuonekana uliwajumuisha Waziri mkuu mh Majaliwa, Spika wa bunge mh Ndugai, Waziri Mwakyembe na mbunge Musukuma.
Kadhalika safari hiyo ilimuhusisha pia Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru ambaye aliomba kujumuika nao kama...
Uteuzi wa wanasiasa katika nafasi ya Ukurungezi wa Halmashauri, Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Katibu Tawala, Viti Maalumu, WABUNGE, Ubalozi wa nchi mbalimbali utasaidia kukutana na wanasiasa wenye jeuri ya FEDHA na Dharau ya maamuzi...
Utamu WA Siasa upo hapa mwenye maoni atume Kwa makamu wa...
Wasalaam,
Nimesikia tangazo kutoka radioni linalomuhusu msanii wa bongo fleva Joe Makini Mwamba wa Kaskazini akihamasisha wananchi kupigia kura CCM Nov 24 kabla hata kampeni hazijaanza nikajiuliza amepewa shilingi ngapi na itamsaidie nini? Katika uchaguzi huu ambao mshindi ameshajulikana watu...
Nikiangalia hizi show wanazotoa hapa Wasafi Tv kwenye Wasafi Festival nachoka kabisa. Wanachoweza wao ni kupiga makelele, kuwasumbua watu wanyanyue mikono juu na kuuza sura na makalio.
kwa sasa kiwanda cha burudani kimechangamka na kimechangamshwa na uhasama wa Media houses mbalimbali za hapa nyumbani,
kila media sasa ina Tamasha lake, pia kuingiza mkono kwenye matamasha mengine kama Udhamini wa matamasha yanayoandaliwa na Makampuni makubwa ya simu, vinywaji baadhi yao hupewa...
Habari wanajamii.
Nimekuja na swali hili baada ya kumsikiliza Ali Kiba alipotutangazia anakuja na kitu babukubwa tukamsubiri kwa hamu lakini alipoanza tu ile intro ni kama mtu anaeongea na masela tu kitaa hajui kama anaongea na East Africa nzima.
Hata Diamond huwa ana huo ugonjwa, yaani...
Habarini za muda huu wakuu.
Natumai mu wazima wa afya. Kijana wenu nimejitupa jamvini leo nikiwa nahitaji tujadili kidogo namna sanaa ya nchi yetu inavyokwenda. Kijana wenu nilijaaliwa kusoma fasihi ya Kiswahili na sanaa kwa uchache sana. Aidha, katika harakati hizo za kusoma fasihi...
Uongozi wa WCB chini ya Diamond ni moja kati ya lebo inayowanyanyasa na kuwanyonya wasanii wake na kuwasainisha mikataba ya kina Chief Mangungo isiyokuwa na haki na iliyojaa unyonyaji wa kupita kiasi.
Ni hawa hawa waliokuwa wanailalamikia clouds kupitia na wakurugenzi wao kuwa ni wanyonyaji...
Napenda kuchukua nafasi hii hapa jamvini, kuwashauri wasaniii wafuatao warudi katika mstari waache tabia hiyo. Sitaki kusema ni tabia gani lakini hii list mtu akisoma atajua ni tabia gani wanafanya. Hii itawakosti siku moja wasipoacha.
List ni hii:
1. TID
2. Daz Baba
3. Squezer
4. Chid Benzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.