ndalichako

Joyce Ndalichako is Tanzania's current Minister of Education, Science, Technology and Vocational Training.

View More On Wikipedia.org
  1. Bajeti ya kunguru

    Kwa Jenister Mhagama na Prof. Joyce Ndalichako

    Wasalaam waheshimiwa mawaziri, waziri wa kazi,ajira, vijana na walemavu mh. Jenister Mhagama na waziri wa elimu sayansi na teknolojia mh. Prof. Joyce Ndalichako. Awali ya yote ninayo furaha kutoa pongezi zangu kwenu kwa uteuzi mlioupata, ni kwamba mpaka sasa taifa lina matumaini na mategemeo...
  2. proff g

    Mama ndalichako tafadhali litazameni hili la ufaulu wa kutoka kidato cha pili kuingia cha tatu

    SERA Tangu sera mpya ya Elimu ya mwaka 2014 iliyopitishwa na Raisi wa awamu ya nne Dr Jakaya M Kikwete pamoja na waziri wa elimu wa wakati huo Dr Shukuru Kawambwa kumefanyika mabailiko katika mambo mbalimbali. Kubwa hasa nihili linalotambua kuwa Elimu msingi ni kuanzia darasa la awali, darasa la...
  3. Chachu Ombara

    Uchaguzi 2020 Profesa Ndalichako achukua fomu kuomba ridhaa Ubunge jimbo la Kasulu Mjini

    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako, leo Julai 14, 2020, amechukua fomu ya kuomba ridhaa chama chake ili kiweze kumteua, aweze kugombea Ubunge katika jimbo la Kasulu Mjini kupitia CCM. ==== Joyce Ndalichako alikuwa mhadiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuanzia 2000...
  4. Chizi Maarifa

    Serikali ni wakati wa kutoa mwongozo kuhusiana kuhusu ulipaji wa ada shuleni baada ya tamko la Rais shule kufunguliwa

    Kwa miezi mitatu mpaka mitatu na nusu wanafunzi wamekuwa nyumbani kutokana na janga la Corona. Na sasa masomo yamekuwa resumed tunaamini yataendelea na mwishoni mwa mwezi wa 11 au katikati ya mwezi Dec kutakuwa na likizo mpaka Januari. Shule ni Huduma. Tunalipia huduma ambayo ktk miezi hiyo...
  5. BLUE BALAA

    Mama Ndalichako tusaidie Marian Girls wanataka kutuibia wazazi bila aibu

    Naandika kwa niaba ya wazazi 115 wa watoto wa Pre-form V mwaka 2020 ambapo watoto wanatakiwa kujiunga na form five 24/7/2020 baada ya kumaliza Pre V. Watoto wetu walijiunga na Pre V mnamo tarehe 8/2/2020 ambapo tulilipa 1.6m kama gharama za tuition, malazi na chakula ambazo ni kwa ajili tu ya...
  6. ndanda masasi

    Waziri wa Elimu, Profesa Ndalichako ataka busara itumike suala la ulipaji ada

    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako ametaka busara itumike kati ya wazazi na bodi za shule kuhusu suala la ulipaji wa ada na malimbikizo ya ada za muhula uliopita kwani janga la Corona limeathiri watu wengi
  7. spencer

    Rais Magufuli: Shule na Shughuli zote kufunguliwa tarehe 29 Juni, 2020

    Rais ametangaza kwamba tarehe 29/06/2020 shule zote zifunguliwe. Amesema hali ya Corona nchini inaendelea vizuri na imepungua sana. Amesema shughuli nyingine zote kama kufunga ndoa nazo ziendelee na maisha lazima yarudi kama ilivyokuwa awali. Ameyasema hayo akihutubia wananchi kupitia kikao...
  8. H

    Waziri Ndalichako nakupongeza kwa kazi nzuri ila dhibiti udanganyifu wa mitihani

    Tangu awamu ya tano iingie madarakani kuna mabadiliko mengi katika sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya elimu. Binafsi kama mtanzania mzalendo nahuzunishwa na tabia za baadhi ya taasisi za elimu kufanya udanganyifu wa mitihani. Mhitimu wa darasa la saba anafaulu vipi kwa daraja B na C wakati...
  9. Mzukulu

    Huenda Tanzania ya sasa chini ya Rais Magufuli ikawa imepata Waziri bora wa Elimu Ndalichako tokea Uhuru wake

    Yaani Watoto wamekaa karibia Miezi Mitatu bila Masomo, huku wengi Wao wakiwa tayari wameshaathirika Kisaikolojia kulingana na Hofu iliyokuwepo na bila shaka wengine hata Topiki zao hawakumaliza anatokea Mtanzania Mmoja anasema watafanya Mtihani yao Wiki chache zijazo. Hivi hawa Watoto...
  10. DolphinT

    Mmiliki wa Shule za Tusiime jitafakari na uwalipe wafanyakazi stahiki zao

    Kwa kile ambacho hakikutarajiwa na wengi Ni suala la wamiliki wa Shule za Binafsi ikiwemo Tusiime ambayo inamiliki Tusiime nursery, primary na secondary kukaidi kulipa mishahara ya watumishi wake wakiwemo walimu. Mmiliki wa Tusiime aliitisha kikao na wafanyakazi mnamo tarehe 17/4 kwa nia ya...
  11. M

    Suala la Academic International School kudai ada ya muhula wakati huu halikubaliki, Serikali tunaomba muingilie kati

    Mh Waziri wa Elimu na Serikali tunaomba muingilie kati hili linaloendelea katika hii shule ya Academic International School ya hapo Dsm kwani wanawalazimisha Wazazi kulipa Ada ya term nzima wakati huu ambao tupo kwenye janga la Corona, shule zote zimefungwa na haijulikani ni lini hali itarudi...
  12. N

    Ahsante sana mama Ndalichako!

    Nilikuwa na tatizo kubwa la kuogopa kuongea Kiingereza mbele za watu sababu sijakijua vizuri na kwa bahati mbaya sana shughuli zangu zinanihitaji nifanye hivyo mara kwa mara......nilikuwa napata shida kwelikweli na kujisikia mnyonge. Jana ni clip ya pili ya mama yangu Ndalichako naiona...
  13. Stuxnet

    Joyce Ndalichako na Kiingereza kibovu tena

    Joyce Ndalichako anapenda kuongea Kiingereza lakini Kiingereza hakimpendi. Hebu aliyemuelewa hapa atuambie alikuwa anataka kusema nini? Hii ni mara ya 2 ndani ya siku 60 kwa Waziri kuongea Kiingereza chenye uvunjifu wa sarufi na tafsiri ya neno kwa neno toka Kiswahili kuja Kiingereza. Ya...
  14. Suley2019

    Waziri Ndalichako aagiza mhandisi, mshauri elekezi ujenzi wa VETA kukamatwa

    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, Profesa Joyce Ndalichako ameagiza kukamatwa mhandisi wa mradi wa ujenzi wa chuo cha Veta mjini Sumbawanga mkoani Rukwa, Dingi Fubing na mshauri elekezi, Swalehe Kyabega kwa kutosimamia kikamilifu ujenzi huo. Sumbawanga. Waziri wa Elimu...
  15. SONGOKA

    Ndalichako hana nia njema kwa CCM

    Hivi Ndalichako hali ukijua wazee wa ufipa wanamkutano wao leo kwa nini umeamua kuwapa ajenda na hoja za kunogesha kikao chao? Hali ukijua kuwa uchaguzi mkuu unakuja kwa nini unaanza kuigonganisha serikali na wanafunzi wa vyuo vikuu wakati unatambua kabisa hawa ndo wapiga kura walio wengi. Una...
  16. Erythrocyte

    Nakukumbusha Waziri Ndalichako kwamba Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana. Utaondoka na kukiacha kama wengine walivyokiacha

    Kuna wakati ulipokuwa NECTA ulilalamikiwa kwamba hutumii weledi huku baadhi ya wadau wakitaka ung'olewe , tulikutetea sana kuliko maelezo , Kwa taarifa yako sisi ndio tulikupendekeza uteuliwe Waziri wa Elimu ili ukaweze kutatua changamoto zinazoikabili sekta ya elimu nchini Tanzania ikiwemo...
  17. Luqman mohamedy

    Profesa Ndalichako aagiza uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuwachukulia hatua viongozi wa serikali ya wanafunzi

    Mama hafahamu mwenye njaa haogopi kufa, kwani hata njaa itamuua. Kuna muda nawaza hawa watu wamesomeshwa na mission nini? Hawajui njaa kabisa. Tuliopitia huu msoto kipindi kile tunaelewa. ===== Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako ameuagiza uongozi wa Chuo Kikuu...
Back
Top Bottom