Serikali ya wanafunzi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam imeandika barua kuiomba radhi Serikali, Wafanyakazi wa Chuo, Wanafunzi wa chuo kutokana na kusababisha taharuki kubwa wakati wa harakati za kudai na kutatua changamoto za Mikopo ya wanafunzi wa chuoni hapo.
Aidha, katika barua hiyo Uongozi...
Mama hafahamu mwenye njaa haogopi kufa, kwani hata njaa itamuua.
Kuna muda nawaza hawa watu wamesomeshwa na mission nini? Hawajui njaa kabisa. Tuliopitia huu msoto kipindi kile tunaelewa.
=====
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako ameuagiza uongozi wa Chuo Kikuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.