mtera

Mtera Dam is a hydroelectric dam in Tanzania. The dam is located midway between Iringa and Dodoma on the border between the Iringa Region and the Dodoma Region. The travel time from Dodoma is about two hours on a tarmac road.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Kukabiliana na Wanyama waharibifu, TAWA yaua Mamba 3 na Boko 2 Bwawa la Mtera

    MAMLAKA YA USIMAMIZI WA WANYAMAPORI TANZANIA TAARIFA KWA UMMA HATUA ZINAZOCHUKULIWA NA TAWA KATIKA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA MAMBA NA BOKO KATIKA BWAWA LA MTERA Hivi karibuni kumekuwepo na ongezeko la matukio ya wanyamapori wakali na waharibifu wakiwemo mamba na boko kujeruhi na wakati...
  2. mirindimo

    Inawezekana vigogo wanachepusha maji yasiingie Mtera

    Haiwezekani TANESCO mkatuambia kwamba hizi mvua zote zinazoharibu mashamba ya miwa kufanya sukari iuzwe 5000 kilo eti haziingii kwenye bwawa la kuzalisha umeme, kweli? Hivi mnatuonaje? Marehemu Magufuli alisema mliwahi kuchepusha maji yasiingoe Bwawani si ajabu tena mmerudia huo mchezo maana...
  3. voicer

    Je, ni kweli January Makamba na Maharage Chande waliamuru maji yafunguliwe na kumwagika kwenye bwawa la Mtera?

    Uzembe na utendaji mbovu ukiandamana sambamba na hujuma na ufisadi, katika wizara ya Nishati.Ndio hasa imekuwa chanzo cha sakata la kuadimika kwa nishati ya umeme nchini kwa sasa. Wakati hali ikiwa hivi ilivyo. Kuna tetesi hizi hapa ya kwamba, nanukuu. KIPARA na Maharage mwezi Machi 2023...
  4. M

    Je ni kweli upungufu wa umeme ni kutokana na kumwagwa kwa maji kwenye Bwawa la Mtera?

    Za chinichini zinasema maji ya Bwawa la Mtera yalifunguliwa kumwagika mwezi machi 2023 ili Bwawa lisibomoko, pamoja na ushauri wa wataalamu kuwa yasifunguliwe, inasemekana wakubwa walisisitiza yafunguliwe yamwagike. Je haya ni kweli? Kama ni kweli nini lengo la wahusika? Na kwanini wasishitakiwe...
  5. BARD AI

    Iringa: Kina cha Maji Bwawa la Mtera chapungua na kuathiri uzalishaji Umeme

    Kina cha maji cha Bwawa la Mtera, Mkoani Iringa kimepungua na hivyo kupunguza Uzalishaji wa umeme kutoka megawati 80 mpaka 72. Hayo yamebainika leo Septemba 9, 2023 baada ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kutembelea bwawa hilo ili kuona uzalishaji wa umeme. Mwenyekiti wa Kamati...
  6. Dr Akili

    Changamoto ya umeme nchini ilianza na Awamu ya Tatu, sasa ni mbaya zaidi. Kwanini maji ya Ziwa Victoria yasipelekwe hadi Mtera na JNHPP kupata suluhu?

    Awamu ya baba wa taifa na ile ya mzee ruhusa hakukuwa na changamoto la katika katika kwa umeme maeneo ambayo huduma hii ilikuwa imeyafikia. Ni kweli kwamba maeneo hayo yalikuwa hasa kwenye miji mikubwa ya nchi. Shughuli za kiuchumi wa viwanda hazikuwa nyingi kama ilivyo sasa ambapo tumesambaza...
  7. Adverse Effect

    William Malecela, ikikupendeza gombea ubunge jimbo la Mtera

    Salamu kwako Lemutu Baharia. Nakushauri 2025 chukua fomu ya ubunge kwa chama utakachoamua katika jimbo la Mtera. Asubuhi na mapema kabla jua halijachomoza, utakuwa umempiga chini Lusinde. Uonyeshe njia na koneksheni vijana wa Mtera waende USA. Endeleza legacy ya Mzee Malecela alipoishia.
  8. Stress Challenger

    Kibajaji hata akijipendekeza kumtukana Bashiru, Mtera harudi tena 2025

    Huyu mbunge wa Mtera bwana Livingston Lusinde ana kiherehere sana. Ila analiwa timing. Asidhani Kinana, Mkwere, Nape, Makamba sr &jr pamoja na Membe wamemsahau. Enzi za Jiwe aliwatukana sana kwa kujipendekeza jinsi anavyojipendekeza sasa hivi kumtukana Bashiru. Ana kiherehere na kujipendekeza...
  9. BARD AI

    Mitambo ya Bwawa la Mtera yapata hitilafu, mikoa 14 kukosa umeme

    Shirika la Umeme Tanzania TANESCO limethibitisha kutokea kwa hitilafu hiyo kwenye moja ya mitambo ya kuzalisha umeme ya Bwawa la Mtera na kusababisha upungufu wa Umeme. Mikoa 14 itakayokosa Umeme kwa muda usiofahamika ni pamoja na Ruvuma, Mbeya, Mwanza, Iringa, Manyara, Singida, Geita, Arusha...
  10. Faana

    Kwanini bwawa la Mtera linazalisha umeme kidogo kuliko bwawa la Kidatu?

    Kwanini bwawa la Mtera ni kubwa kuliko Kidatu lakini production yake ni 80MW wakati Kidatu ambalo ni dogo kuliko Mtera linatoa 200MW Mtera Dam Kidatu Dam
  11. Rumi96

    Msaada kujua tender ya kusambaza umeme wa REA Mtera Dodoma alipewa client gani.

    Wakuu habarini, naomba kujuzwa tender ya kusambaza umeme wa REA Mtera Dodoma alipewa contractor gani. Supply and Installation of 220/33 kV, 2 x 10 MVA substation Extension in Mtera. Tender hii ilitangazwa mwaka 2013 kama sijakosea. Natangauliza shukrani.
  12. mwananyaso

    Tulitaka kutengenezewa ukame bwawa la Mtera, tupazeni sauti tukiona ndivyo sivyo

    “Kwa kina hiki cha mita 5.76 tunaweza kuzalishha umeme kwa kiwango cha juu cha megawatts 80 kwa miezi saba ijayo hata kama tone moja la mvua halitaingia kwenye bwawa la Mtera” - Meneja wa Kituo cha kuzalisha umeme Mtera, Elias Mwalupilo
  13. Analogia Malenga

    Mtera: Wavuvi 12 wauawa na viboko kwa kipindi cha kuanzia Februari 2020 hadi Agosti 2021

    Wavuvi 12 wamepoteza maisha na wengine 15 kujeruhiwa katika kipindi cha mwezi wa pili 2020 hadi mwezi wa nane 2021 kufuatia matukio ya kuvamiwa na mnyama kiboko wakiwa ndani ya Bwawa hilo katika shughuli zao za uvuvi. Hayo yamezungumzwa katika Ziara Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo...
Back
Top Bottom