modem

  1. Mgalula MzTz

    Aliyewahi kutumia modem hii anisaidie

    Nahitaji kutumia modem hii lkn sioni card slot zaidi ya memory card slot. Kwa anayejua namna ya kuitumia, anisaidie maelekezo, waungwana.
  2. hp4510

    Nahitaji modem ya TTCL Dodoma

    Wakuu nahitaji modem ya TTCL Kwa mtu yoyote ambae anauza na Yuko Dodoma please nidm Nataka Ile ambayo ina WiFi na mtu zaidi ya mmoja anaweza kukonect
  3. NetMaster

    Naweza kuitumia unlimited supakasi ya voda kwenye simu?

    Habari zenu, nimeona hii huduma ikiwa inajadiliwa sana humu ndani na ningependa kujua kama naweza kuitumia kwenye simu ya mkononi? Ni kwa matumizi ya familia nikiwa nyumbani hasa kuanzia mida ya jioni lakini nikiwa ofisini nataka niwe nayo.
  4. Mr Kazembe

    Natafuta mtaalamu wa ky unlock modem hii e3372h-607 ya ttcl

    Wakuu natafuta mjuzi wa hii modem nimejaribu mimi binafsi nimekwama nimeona nije hapa wajuzi mnaweza nipa muongozo au kama yupo mtu anazi unlock uniunge nae nitshukuru... Found Applications port COM7 Found modem : E3372 Model : Huawei AuthVer 4 modem (New) IMEI...
  5. platozoom

    Ku-link modem na hotspot

    Mimi si mzuri kwenye matumizi ya hizi gadgets nk. Nina modem na inafanya vizuri tu, nimeambiwa inaweza kutumiwa (internet) na device nyingine wakati natumia kwenye PC yangu. Naomba kuelekezwa settings zake ili niweze kuwaunganisha na wengine. Modem nilinunua dukani imeandikwa wireless 4g USB...
  6. TTCL Customer Care

    Jipatie modem ya TTCL yenye spidi ya 4G kwa gharama ya Tsh 60,000/= tu.

    Furahia wikiendi yako ukiwa na Modem ya TTCL yenye kasi zaidi. SIFA ZAKE: ✅Ina spidi kali ya 4G🔥 ✅Ina uwezo wa kuunganisha watu zaidi ya 3 ✅Unaweza kuitumia kama USB GHARAMA: ✅ Gharama ya modem hii ni Tsh 60,000/= tu. Tembelea kituo chetu chochote cha Huduma kwa Wateja kilichokaribu nawe...
  7. teac kapex

    Msaada wako tafadhali kuhusu Modem k3772-z

    Kama kichwa cha habari kinavyosema naomba msaada wa..... hebu ngoja nitoe kwanza maelezo ili mjue nahitaji nini. Hapo mwanzo nilikuwa naitumia modem tajwa hapo juu lkn sijui nilikosea wapi ile setup ikaondoka nasasa hivi haipo mwanzoni nilikuwa nikichomeka modem kwa mara ya kwanza inajiinstall...
  8. TTCL Customer Care

    TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

    Ndugu mteja, Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu? Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi. Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya: - Ni tatizo gani? (T-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika...
  9. sam green

    MODEM 4G

    wadau kwa wanaotumia modemu za 4g naomba kuuliza hapo kwenye speed huwa inasoma ngap? natanguliza shukran
  10. Mr Snow

    Naomben msaada wa ku_unlock modem ya Huawei E3372

    Habari wakuu, Naomben msaada wa ku_unlock modem ya Huawei E3372.
  11. Mnyakyusa Ipinda

    Msaada wa modem na router connection problem

    Habari wakuu. Nina changamoto kwenye suala la connection ya internet kwenye computer nahitaji msaada wa anaeweza kujua jinsi ya kusolve hili tatizo. Pc yangu ni DELL ina window 10, nilichange window siku ya juma tatu (25-01-2020) sababu window 10 ya mwanzo nilokua nayo ilikua ni Japanese...
  12. teac kapex

    Jamani Modem yangu imekufaje MSAADA

    Nina modem ya vodacom zile za zamani sijui nimeikorofisha wapi mara baada ya kui unstall na kui install Join air, hapo ndomkosa likaanzia. zamani ilikuwa ukiichomeka kwenye computer inajiinstall yenyewe automatic lkn sasa hivi wala haifanyi hivyo tena na hata ile dashboard yake haipo kwa hiyo...
  13. teac kapex

    Nahitaji dashboard ya Modem

    Wakuu siku nyingi za nyuma kulikuwa na Dashbord ya modem iliyokuwa inatumika kupiga simu hata kwa hizi modem ambazo hazijachakachuliwa ili zitumie line zote. Ni muda mrefu enzi zile akina mtimkavu ndo walikuwa wataalamu, sasa nimejaribu kutafuta thread iliyokuwa inazungumuzia hayo nimekoswa...
  14. C

    Je, unapotumia Modem kuna uwezekano mdogo wa kutumia matumizi ya MB?

    Eti endapo utatumia Internet kwenye PC ambayo ni Hotspot kutoka kwenye simu na Endapo utatumia internet kupitia kifaa cha Modem Ni sehemu gani kunakuwa na Unafuu wa kusave MB?
  15. McMahoon

    Namna ya ku-unlock modem ya D-link 222 (DWM-222) itumie laini ya mtandao wowote

    Kwa njia hii utaweza kufungua modem ya dlink 222 na kutumia laini ya mtandao wowote ule Mahitaji Pakua D-link 222 (DWM-222) Unlocked Firmware SIM Card (laini) ya mtandao wowote ule Modem ya Dlink 222 Maelezo 1. Pakua D-link 222 (DWM-222) Unlocked Firmware kisha extract kwenye computer yako...
  16. McMahoon

    Namna ya kuunlock modem ya D-link 157 (DWM-157 Zantel) itumie laini ya mitandao yote

    Kutokana na watu wengi kuhangaika sana jinsi ya kuunlock modem ya Zantel Dlink 157. Leo nimewaletea solution bure. Hakuna gharama yoyote Baada ya kuunlock modem yako. Utaweza kutumia laini ya mtandao wowote ule kama vile Vodacom, Airtel, Halotel n.k Mahitaji Pakua D-link 157 (DWM 157) Unlocked...
  17. e2themiza

    Mada: Fahamu namna ya kufungua (Ku- unlock) Moderm za aina mbalimbali

    Pata kujua jinsi watu wanavyounlock modem unakaribishwa kwa maswali na utasaidiwa. BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU JAMBO HILI --- --- === UFAFANUZI WA JUMLA WA NAMNA YA KUFANYA JAMBO HILI A. Jinsi ya kuunlock modem ya E303s-1 Kwa njia hii utaweza kuunlock modem zote za...
  18. mabuladaud

    Naomba mnisaidie, modem yangu nikiiunganisha na mobile hotspot inazima

    HAbari zenu wakuu? Naomba mnisaidie, modem yangu nikiconnect inazima mobile hotspot. Je, niwezeje kushare internet kwenye computer nyingine. Pia sms zikiingia zingine hazisomeki, yaani zinakuja alama za maneno tu. Nmejaribu ku unistall tatzo bado lipo.
  19. Murano

    Ni Modem gani ya 4G inayoweza kufanya kazi kwenye Macbook pro MOJAVE OS bila shida?

    Habari wakuu, eti Ni USB Modem gani ya 4G inayoweza kufanya kazi kwenye Macbook pro MOJAVE OS bila shida yoyote? kama unajua mahali zinapouzwa nijuze pia. Maana niimejaribu D Link na huawei wanaishia kusoma kwenye windows tu ila kwenye mac yenye updated OS hazisomi
Back
Top Bottom