Habari zenu, nimeona hii huduma ikiwa inajadiliwa sana humu ndani na ningependa kujua kama naweza kuitumia kwenye simu ya mkononi?
Ni kwa matumizi ya familia nikiwa nyumbani hasa kuanzia mida ya jioni lakini nikiwa ofisini nataka niwe nayo.
Wakuu natafuta mjuzi wa hii modem nimejaribu mimi binafsi nimekwama nimeona nije hapa wajuzi mnaweza nipa muongozo au kama yupo mtu anazi unlock uniunge nae nitshukuru...
Found Applications port COM7
Found modem : E3372
Model : Huawei AuthVer 4 modem (New)
IMEI...
Mimi si mzuri kwenye matumizi ya hizi gadgets nk. Nina modem na inafanya vizuri tu, nimeambiwa inaweza kutumiwa (internet) na device nyingine wakati natumia kwenye PC yangu. Naomba kuelekezwa settings zake ili niweze kuwaunganisha na wengine.
Modem nilinunua dukani imeandikwa wireless 4g USB...
Furahia wikiendi yako ukiwa na Modem ya TTCL yenye kasi zaidi.
SIFA ZAKE:
✅Ina spidi kali ya 4G🔥
✅Ina uwezo wa kuunganisha watu zaidi ya 3
✅Unaweza kuitumia kama USB
GHARAMA:
✅
Gharama ya modem hii ni Tsh 60,000/= tu.
Tembelea kituo chetu chochote cha Huduma kwa Wateja kilichokaribu nawe...
Kama kichwa cha habari kinavyosema naomba msaada wa..... hebu ngoja nitoe kwanza maelezo ili mjue nahitaji nini. Hapo mwanzo nilikuwa naitumia modem tajwa hapo juu lkn sijui nilikosea wapi ile setup ikaondoka nasasa hivi haipo mwanzoni nilikuwa nikichomeka modem kwa mara ya kwanza inajiinstall...
Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (T-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika...
Habari wakuu.
Nina changamoto kwenye suala la connection ya internet kwenye computer nahitaji msaada wa anaeweza kujua jinsi ya kusolve hili tatizo.
Pc yangu ni DELL ina window 10, nilichange window siku ya juma tatu (25-01-2020) sababu window 10 ya mwanzo nilokua nayo ilikua ni Japanese...
Nina modem ya vodacom zile za zamani sijui nimeikorofisha wapi mara baada ya kui unstall na kui install Join air, hapo ndomkosa likaanzia. zamani ilikuwa ukiichomeka kwenye computer inajiinstall yenyewe automatic lkn sasa hivi wala haifanyi hivyo tena na hata ile dashboard yake haipo kwa hiyo...
Wakuu siku nyingi za nyuma kulikuwa na Dashbord ya modem iliyokuwa inatumika kupiga simu hata kwa hizi modem ambazo hazijachakachuliwa ili zitumie line zote.
Ni muda mrefu enzi zile akina mtimkavu ndo walikuwa wataalamu, sasa nimejaribu kutafuta thread iliyokuwa inazungumuzia hayo nimekoswa...
Eti endapo utatumia Internet kwenye PC ambayo ni Hotspot kutoka kwenye simu na Endapo utatumia internet kupitia kifaa cha Modem
Ni sehemu gani kunakuwa na Unafuu wa kusave MB?
Kwa njia hii utaweza kufungua modem ya dlink 222 na kutumia laini ya mtandao wowote ule
Mahitaji
Pakua D-link 222 (DWM-222) Unlocked Firmware
SIM Card (laini) ya mtandao wowote ule
Modem ya Dlink 222
Maelezo
1. Pakua D-link 222 (DWM-222) Unlocked Firmware kisha extract kwenye computer yako...
Kutokana na watu wengi kuhangaika sana jinsi ya kuunlock modem ya Zantel Dlink 157. Leo nimewaletea solution bure. Hakuna gharama yoyote
Baada ya kuunlock modem yako. Utaweza kutumia laini ya mtandao wowote ule kama vile Vodacom, Airtel, Halotel n.k
Mahitaji
Pakua D-link 157 (DWM 157) Unlocked...
Pata kujua jinsi watu wanavyounlock modem unakaribishwa kwa maswali na utasaidiwa.
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU JAMBO HILI
---
---
===
UFAFANUZI WA JUMLA WA NAMNA YA KUFANYA JAMBO HILI
A. Jinsi ya kuunlock modem ya E303s-1
Kwa njia hii utaweza kuunlock modem zote za...
HAbari zenu wakuu?
Naomba mnisaidie, modem yangu nikiconnect inazima mobile hotspot. Je, niwezeje kushare internet kwenye computer nyingine.
Pia sms zikiingia zingine hazisomeki, yaani zinakuja alama za maneno tu. Nmejaribu ku unistall tatzo bado lipo.
Habari wakuu, eti Ni USB Modem gani ya 4G inayoweza kufanya kazi kwenye Macbook pro MOJAVE OS bila shida yoyote? kama unajua mahali zinapouzwa nijuze pia. Maana niimejaribu D Link na huawei wanaishia kusoma kwenye windows tu ila kwenye mac yenye updated OS hazisomi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.